Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Tumeenda kunywa vizuri, akasema tukitoka tunaend, sasa baada ya kunywa, amegoma kapanda boda. Nilishalipa 50k hotel.

Kuanzia leo sitaki shobo nae tena, kanitoa hasara ya 50, bora ningemtumia mama watoto akanunua hata kijora
 
Tumeenda kunywa vizuri, akasema tukitoka tunaend, sasa baada ya kunywa, amegoma kapanda boda. Nilishalipa 50k hotel.

Kuanzia leo sitaki shobo nae tena, kanitoa hasara ya 50, bora ningemtumia mama watoto akanunya hata kijora
Kwahiyo pombe zimekata kichwani?

Wacha ujinga Malaya wapo wengi
 
Hiyo hatari
 

Attachments

  • 20240704_093444.jpg
    20240704_093444.jpg
    1.3 MB · Views: 48
Yangu mm ni ya last month
Ipo hivi mtaa naokaa jirani kuna duka la bwana bwashee and kuna kabint kako hot sana kana chuchu msumari na mguu wa haja na kanajua kujipangilia kodi ( mavazi ).

Uyu bint uwa sinaga mazoea nae kabisa hata ya salamu namim mtaani hapo nipo hivyo ni cool guy may be kwa wana tena nao ni mara moja moja kupiga story kadhaa tofauti na hapo i'mma busy guy, na sina shobo haswa kwa hawa mabinti kabisa.

Sasa siku moja uyu binti akawa anashida smartphone yake ikawa inasumbua akampalekea uyo jamaa muuza duka amrekebishie mana jamaa bwashee anamazoea nao kutokana na kazi yake muda mwingi wanaenda hapo kupata mahitaji, mim muda wote bwashee anahangaika na simu ya dada mm nipo nyumba nayokaa kwa nje kilichotokea yule bwashee si akamdirect yule dada kuwa mfate jamaa anaweza kukusaidia baada ya bwashee kushindwa kumtatulia. Kweli yule dada kwa aibu akaja nikamrekebishia chapu hakuamini tangu hapo ila akaonyesha kuwa angehitaji zaidi vitu vingine nimrekebishie. Nikasema sikuombi namba kama unashida utaomba kweli yule binti ikawa ndiyo mwanzo wa salamu wakati kabla alikuwa ananipita tu. Siku moja baada yakuniwekea mitego mingi nakipangua akaja mwnyewe akanikuta nimekaa nje akaomba simu yangu sikuelewa anataka yanini kumpa akachora namba zke kisha akaondoka speed kiangalia namba, nkacheka kisha nkamtext palepale ikawa mwanzo wa conversation za hapa na pale siku moja kama masihara akanitext uko wapi nkamwmbia nipo ghetto nmelala njoo tulale akaleta vimaringo fulani nikampotezeaa with no idea kama angerespond naona simu inaita kungalia bint akaja kweli ghetto kwa mara ya kwnza what happened nilichapa chap tangu hapo mpaka sasa naitwa baby na nishaikung'uta mara nne mpaka leo hii navyoongea. Ninazo nyingi ila uandishi shida.
 
Back
Top Bottom