Ninaposema uzinzi ni ugonjwa wa akili. Unawezaji kufanya jambo hilo kwenye gari
 
Kwa mazingira haya ni kwa nini Wakenya wasiendelee kutuburuza kwenye uchumi, siasa, kudai haki zao(Gen Z), utamamaduni, english
 
Chai ya moto hihi
 
Tumeenda kunywa vizuri, akasema tukitoka tunaend, sasa baada ya kunywa, amegoma kapanda boda. Nilishalipa 50k hotel.

Kuanzia leo sitaki shobo nae tena, kanitoa hasara ya 50, bora ningemtumia mama watoto akanunua hata kijora
Kwamba ulipo hotel za shida saaaana mpaka ulipe mapema au no ushamba wenu wasukuma?
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…