Hii tabia unasafiri unaenda kituoni wapiga debe wanakupigia unapata kampani na pesa kidogo ya kulegeza mafuta.
Natokea moshi nafika segera nikalamba zangu vichwa vitatu dar mida ya jioni viwili vinaenda moro. Basi ikanilazimu nipite ya mlandizi japo siipendi nikawashushe chalinze waendelee na safari. Baasi tano usiku ndio tunakatiza chalinze kuhamaki wanashuka madume tu kabakia yule dame ndio anaelekea daslam.
Alikua siti ya nyuma nikamwbia pita mbele.
Stori zikaanza mbona unasafiri usiku mtoto wa kike peke yako?
Akaniambia alikua na wenzake gari ilijaa akabakia yeye.
Tukaenda kufika maeneo ya ruvu nasinzia tu ata sijielewi.
Basi kufika mlandizi kiroho safi nikamrudishia nauli yake apande tu gari ingine mi safari ndio imeishia hapo natafuta gesti nilale nishachoka.
Nitaendelea...
 

Gwangili
 
Hapa wenye thread sidhani kama watakuelewa!!
 
Mbona hadi sahivi, watoto wanafumia mipira, ili iwe inadundaa km bolii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah!! Ila miaka ya 90 ilikuwa adimu sana. Sahivi kila kona hadi kiduka kidogo kabisa unakuta zipo. Ila hapo kwa watoto kufumia mipira (Chandimu)
 
Ipo hivii vijana wa kiume tujitahidi kuzitafuta pesa na kujipenda na kuwa wajanja.

Maana pesa bila maujanja ya kuzitumia bado wewe ni fala kama sio boya.

Mtoto wa mchungaji huyo baada ya kumgusisha tu tayari kasha zama mazima. Ile nimemtoa out of town na kwenda nje ya mji nae na kukutana na wengine tukiwa kila mtu na demu wake kama Mr nice.

Alikua na aibu mwanzoni ila baada ya kuzoea tu akaililia na kuitaka tena nami ni nani nimnyime mtoto wa nabii japo kalitaka kuleta pozi nikacheza karata zangu na kupindua meza.

NB
Wanaume kuna mambo matam nje na kuitana mageto na lodge haya mambo ukimpa demu yoyote wala hauta tumia nguvu yoyote kumuweka karibu na wewe kazi yako itakua ni ku select wa kutoka nae siku husika....yale mambo ya kujilizaliza kwenye ma inbox na mameseji yatakuisha.

#Nabii nisamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…