Ukitaka kuwapata Wanawake kirahisi alafu wasikusumbue.

Ukishamfamiana kwanza mwambie una Mke na watoto, alafu ndo umtongoze

Atakukubalia , na sababu ya kukubalia, atakua anataka ashindane na Mkeo.

Akili zao 🤣🤣
Demi Joannah Labella kuna mwamba huku anaswma akili zenu zinapenda ushindani na mke. Njooni mnipe jibu
 
Jamani jamani. Mbona mnakuwa hivyo lakini? Niambieni ukweli mna uhakika ni dhambi au mlisoma vibaya?

Mapambano ni makali sana, adui shetani anaitikisa roho yangu, nitumieni nyimbo za faraja zitakazonitoa kwenye hili jaribu.

Au semeni kama sio dhambi tujue chakufanya.

 
Wala sio ushindani ila mwanamke anafurahi kudate na mume wa mtu coz anakuwa huru kupiga show time za pembeni pindi mume wa mtu akiwa kwake na mkewe.!! 😹😹😹
Aisee bora wee umesema ukweli suala zima ni kwamba mume wa mtu anahudumia na wewe unaweza peleka mbususu yako kwa broke nigga that can fvck well
 
Demi Joannah Labella kuna mwamba huku anaswma akili zenu zinapenda ushindani na mke. Njooni mnipe jibu
Unashindanaje na mtu aliyeshindwa?mumewe kamshinda hadi anaanza kuhaha nje ndio nianze nae mashindano?kudate na mume wa mtu ni raha vile hubanwi,akikupa mtonyo wako akishasema baby goodnight mwaaah usinipigie na wewe mwaaaah bby,...KIfuatacho simu moja kwa Labella tukutane Cheupee tukafanye ukemia wetu😂😂😂
 
Kumbe nyie ni wakemia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…