Demi Joannah Labella kuna mwamba huku anaswma akili zenu zinapenda ushindani na mke. Njooni mnipe jibuUkitaka kuwapata Wanawake kirahisi alafu wasikusumbue.
Ukishamfamiana kwanza mwambie una Mke na watoto, alafu ndo umtongoze
Atakukubalia , na sababu ya kukubalia, atakua anataka ashindane na Mkeo.
Akili zao 🤣🤣