Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakuita mara tatu maliedo,maliedo,maliedo.....demu gani huyoo tuse au??Enzi za ujana wa kuishi geto mitaa ya tukuyu mwisho wa mji .wanaopajua watakua wanaelewa nazungumzia nini.
Basi siku moja geto la jirani wadau waliibuka na demu mkali balaa.mimi nmetoka mizunguko yangu ile naingia geto nikaona sendo za kike mlango wa jirani na humo wanakaa wana tu.
Nikaona isiwe kesi nikaingia kama kawaida yetu.kufika kuna manzi anacheki tv.
Akili ya kazi ikaja.nikamwambia yani kumbe ni wewe? Akauliza kwani unanijua? Nikamwambia sikujui ila kuna jambo linaweza kukupata halafu mimi nakuonea huruma.
Akauliza kuna nini? Nikamwambia hawa jamaa wanataka wakupige mtungi/kolabo/future.demu akashtuka.akasema nisaidie.
Basi nikamtoa mule geto fasta sana na kwenda geto la bro alikuwa kasafiri.nikampitisha dirishani maana funguo hazikuepo.
Humo nikajilia vyote vya uvunguni na mezani.huko wana walinitafuta usiku kucha hadi home walifika.asubui walinitukana sana
Tungepata wakwel kma nyie hii thread ingebamba zai[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nimewahi kutoa tunda kimasihara nilipokuwa chuo cha veta nilipenda sana kampani za mchanganyiko .
Basi siku moja tulikuwa tunabishana jambo na mtu kijana mmoja akasema jamani katoto umependeza leo nikamwambia aka unikome katika mazungumzo tukadai hivi huwezi na weza huwezi na weza mwishoni akasema twende ukaone kama naweza basi.
Basi tukaongozana na ...... na kweli kajipatia mzigo tulikuwa mimi na msichana anaitwa pachaa .
Akajilia kwa raha zake yaani mpaka kashiba na toothpick akapatiwa .
Loh basi kila mtu anabahati yake kala toothpick na chibonge mwenye umbo namba nane walahi kaenjoy.
Kwa raha zake .
Huyo alitaka kukupa dudu tu. Utalalaje na nzigo usiule?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo demu alipanga kuliwa kabisaa,
Umenikumbusha demu mmoja tulikua tunafanya kazi wote sasa akawa anajisifu anaweza lala na mwanaume mpaka asubuhi na asimfanye kitu, nkamwambia wafanyie haohao wajinga usidhubutu kwangu akawa anabisha,
Jumamosi moja nkamcheki kama utani njoo home nna hamu na mgeni leo nimeboreka kuwa mwenyewe (ofisi ilifungwa kwa mda ikikarabatiwa).
Mida ya 12 jioni katia timu, tukapiga stori sana na kucheki muvi, imefika saa 4 akasema anataka kuondoka nkamwambia lala akagoma home kwao hawatamuelewa, nkamwambia wee ushakua mkubwa hukosi mbinu, pia akagoma nkamkumbusha leo nilitaka nione unawezaje kulala na mwanaume na asikukule akadai hashindwi akiamua kulala simfanyi kitu, nkamwambia basi nionyeshe uhodari wako leo, kuja kushtuka saa 6 usiku akaamua kulala lkn akaomba nisim'bake nkamwambia sawa...
Tumeingia kitandani mi sina hata bukta akaogopa nkamwambia mi siwezi lala na nguo, yeye kalala na nguo zake, nkamwambia si unajiamni? Nguo za nini sasa? Akadai naweza mvizia kalala nkamfanya matusi nkamwambia siwezi fanya hivyo na kama mwanamke hajakubali kwa hiari yake hata dudu haisimani, akavua akabaki na chupi na kiblauzi,
Nkawa najisemea moyoni wee hunijui, nkamtunishia dudu akajifanya haioni, baadae akasema mbona umesimamisha sasa? Nkamwambia joto lako linanifikia huku (tulilala pembeni kila mmoja upande wake) akauliza huumii? Nkamwambia sina jinsi wacha niumie tu kwani wewe mwanaume mwenzangu? Akadai niilaze nkamwambia wee lala tu mi nikilala na yenyewe italala, akageukia upande mwingine akajifanya kalala, baada ya dk 10 hv kugeuka kitu kiko pale pale, akauliza mbona hailali sasa nkamwambia iache tu umeamua kuitesa haina jinsi tena, na mi nkageukia upande mwingine nkajifanya nimelala na kukoroma kwa mbaali, akaja kuchungulia bado iko juu, akanisogelea akaniambia nakuonea huruma ngoja niichezee hadi ukojoe ilale nkamwambia sawa, akafanya yake hadi nkafika lkn haikulala (yote hayo yanaendelea wala sikumgusa popote) akauliza mbona hailali sasa? Nkamwambia hapo umeipa mchuzi wa nyama sasa inasubiria nyama yenyewe haiwezi kulala, akawa kimya km dk 2 hivi, mara akaja juu kaikalia kilichoendelea hapo ilikua historia kwetu,
Saa 4 asubuhi ndio tunashtuka kua kumekucha, tukaenda kuoga tukanywa chai akasepa, baada ya dk 20 nkamtumia sms "fyoko fyoko fyokoooo" "wafanyie hao hao" akadai alinionea huruma tu nkamwambia zile zote zilikua mbinu shirikishi tu ili nikukule bila wee kushtuka unaliwa akatukana tusi na kicheko...
Kazini kila tikionana namtania fyoko fyoko fyokoooo, Mpaka leo salam yetu ni fyoko fyoko fyokoooo.
Ukiona demu anakufananisha fananisha ujue kakupendaKuna siku nasafiri naenda KLM msibani, kuna kabinti fulani (not above 20) kakawa kananiangalia sana kwenye gari, yaani kaliniangalia hadi nikawa naogopa, ukafika muda wa kupanda basi (machame) kwa bahati akawa amekaa siti ya pembeni yangu huku akiendelea kunikodolea macho!!
Nilivyoona ananiangalia bila kuniongelesha nikampa hi halafu nikafumba macho nitafute usingizi , nimefumba tuu macho binti akachukua kitambaa anifute jasho maana AC ilikuwa haijawashwa , yaaani hapo akazidi kunishangaa, nikajiuliza hili ni jini au kiti gani.
Bwana, nikalala kuamka naona dogo ananiangalia tuu kwa macho ya huba mpaka abiria mwenzangu akaniuliza vipi mbona huyo anakuangalia sana , mnajuana au vipi? nikamwambia mi hata simfahamu.Tulipofika Babati ustaarab ukamshinda , natoka wash room ya wanaume naona mtu ananisubiri nje ! ( hofu ikanijaa ukizingatia dogo alikuwa mzuri balaaa, nikasema usikute nimetumiwa mtu wa kunitest na demu wangu au uhuni mpya hapa mjini wa kutumiana madem maana sio bure).
Sehemu ya kula Babati nikaagiza msosi, na yeye nikampa hela anunue msosi nikaachana nae , kurudi kwenye basi naona dogo ananiangalia tuu , kwa kuwa nilikuwa na simu mbili nikampa simu moja acheze hata games aache kuniangalia maana sikuwa comfortable, kabisa, nilivyompa ⁿsimu dogo akaenda kwenye message akawa kama anadraft message eti kuna mtu ananifanisha nae, alivyonipa simu nikamwambia duniani wawili kwa kuandika ⁿ hapo kwenye message , akaniuliza ninaposhukia nikamjibu, yaana hapo ananirudishia simu then nampa, tulipofika Arusha dogo akataka kushuka akaomba aendelee na safari hadi moshi kwa Bibi yake nikamuongezea hela.
Tulivyofika Moshi dogo anaforce twende wote msibani, nikamwambia aende kwa bibi yake then kesho tukutane town, mi nikaenda msibani nikamkuta Dogo mjini ananisubir, yaani nilimtafuna haswaaaa na papuchi yake ilikuwa mpya, chuchu zimesimama balaa, yaani, asubuhi akaniomba namba nikamnyima, huyooo nikachukua basi kurudi , yaani nilimla yeye hajui jina langu wala nini, lake alinitajia ila nilisahau, kale katoto sijui kalinipendea nini maana usiku kanaongolea story za kuwa na familia n.k wakati mi nawaza kukuche niamshe..
kimsingi najuta kutoichukua namba ya dogo, she was so sweet , najua kalinitafuta sana
Hahah dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu na wewe ukamtia weee hadi akokoma....
Kuna demu alikuja dukani akaandikisha mzigo wa laki 5 nkamwambia lipa akasema niandalieni nkirudi nalipa naenda kununua vitu vingine mnifungie pamoja, baada ya saa kupita karudi, kupekua begi alipe kakuta limefunguliwa kukagua wahuni wa kariakoo washapitia waleti yenye hela, akaenda bank kutoa ela nyingine kwa akaunti yake kulipia mzigo ( alitumwa na boss wake kazini)
Akawa anadai leo halali nyumbani anaenda kwa mchepuko kut*mbeka mpaka hasira za kuibiwa ziishe,
Tukajua ni utani nkamuuliza km anamaanisha kweli akanionyesha sms kamtumia jamaa mida ileile anaomba mechi, nkamuuliza ndio mpenz wake akasema hapana akanionyesha na chating zake na mpenz wake, akadai huo mchepuko aliwahi du nae mara moja tu miaka mi2 imepita lkn akawa anampotezea kumpa tena tunda.
Yaani wanawake akili zao wanazijua wenyewe.
Show kama izo Dada huwa hatukamii, tunafanya kwa kuwasaidia koo haiwezi kua heavy kiivoKwa harakaharaka inaonekana kitandani ni 0 manake kama ungekuwa unayaweza mambo lazima angekukubali....hakunaga mwanamke anayekunwa vizuri halafu akaja kumkataa mkunaji
Usicheke,jitafakari
Hapo ndio vijana Wa kitanzania wanapenda sana story kama hizi hapo mtu anatununua bado la GB 10 kwaajili ya kuandika stor kama hizi lakn ukiuliza ufugaji Wa kuku wote wanakuwa kimyaKatika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.
Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana. Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock[emoji15][emoji15][emoji33] kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.
Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
Hapo ndio vijana Wa kitanzania wanapenda sana story kama hizi hapo mtu anatununua bado la GB 10 kwaajili ya kuandika stor kama hizi lakn ukiuliza ufugaji Wa kuku wote wanakuwa kimya
Ukiona demu anakufananisha fananisha ujue kakupenda
najilaumu hadi leo.... ningemmbakisha nimfanye koloni langu kila nikija Moshi niwe napiga Mkuyenge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Hukutakiwa kumpotezea.
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.
Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana. Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock[emoji15][emoji15][emoji33] kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.
Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii balaaa...!! Itakuwa alikuwa anamsubiri jamaa nae alimbook aisee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kisa cha kweli kabisa uwongo dhambi Joanahh ananijua vizuri mimi! Mi juzi ndani ya huu mwezi Septemba 2019 ndo nilijua dunia hii imekwisha duhhh! Niliingia Namnani hotel pale nimsubirie chumbani demu wangu under 25 tu hivi! Sasa wakati niko mapokezi nachukua chumba, nikaona kademu kazuri sana naye anachukua chumba kapewa hela na jamaa yake atangulie room jamaa yuko kazini anasubiri atoke amkute room. Kila mmoja wetu akachukua ufunguo wake tukawa tunaelekea floor ya pili, kumbe vyumba viko jirani yeye yuko mbele mi nafuata kwa nyuma. Wakati anafungua mlango wake, nikamsalimia vizuri tu lakini nikiwa nimemkazia macho sana mpaka akahisi nimemtamani. Nikamuuliza wewe ni mgeni umefikia hoteli hii au kuna mtu unakutana naye? Akatabasamu kidogo, akasema namsubiri jamaa yangu anatokea kazini. Nikasema okay byee. Nikapita nikaingia room yangu nikaanza tu kumuwaza kiajabuajabu tu. Dakika 5 hivi bila ajizi nikaenda kumgongea mlango, ile kufungua tu nikajifanya nimekosea room akasema hamna shida kwani vipi? Nikamuuliza vipi jamaa ameshafika? akasema amemwambia baada ya saa moja hivi ndo atafika kutegemea na foleni. Nikasema naomba niingie ndani kidogo nione room yako akasema anaogopa hanifahamu, nikamsisitiza akasema chukua namba yangu tutachat we rudi chumbani kwako, nikafanya hivyo. Nikiwa room nikatumia simu yangu nyingine ya kimagumashi nikamtext kuwa asishangae wala asiogope kwani nami namsubiria demu wangu. Nikamwambia ujue ni hulka tu za sisi wanaume na kiubinadamu tu nimeona umbo lako dahh umenichanganya. Akasema tufahamiane kwa vile namba ipo tutafutane siku nyingine tuongee. Nikamwambia embu njoo room kwangu mara moja akasema anaogopa demu wangu anaweza kumkuta, nikamwambia mpaka aje na mpaka nimwelekeze room nilipo siyo rahisi kumkuta yeye. Akasema lakini ashavua nguo amepumzika, nikamwambia si unavaa tu hilo gauni ndefu (alikuwa amevaa gauni free hivi kama dera) njoo tu dk moja nitakupa kazawadi kadogo hapa. Akasema sawa ila iwe dk moja kweli, yaani kweli akaja na kidera tu hana chupi wala sidiria wala chochote. Alipoingia tu nikafunga mlango, nikashika elfu 20 mkononi, anaiona kiaina, nikachukua condom anaiona, nikamwambia dk moja tusije kubambwa na jamaa yako! Kanabishabisha ohhh kaka sikufahamu. nikamwambia nimebanwa sana, huku nimemkumbatia kanasema ohhh sasa demu wako atatukuta, ohhh sasa jamaa yangu atagundua nishasex nikasema we niachie mi nikojoe wewe usikojoe, akasema fanya fasta. Nikapiga mzigo dk 5 kashatoa goli moja nami nikatoa basi kakachukua buku 20 kakarudi room kwake. Ilikuwa saa 9 alasiri hivi. Saa mbili usiku anasema ameshaagana na jamaa yake, je bado uko room na demu wako? Nikasema nitafute kesho, hapo hapo nikadelete namba. Nadhani naye alipoteza namba yangu hajanitafuta hadi leo.
Mpaka sasa kisa hiki nakifikiria nasema dunia imekwisha, najisikitikia mwenyewe nimekulaje mzigo kizembe hivi japo nimetumia condom lakini hata mtu simjui mimi kwangu ni kituko sijawahi. Nadhani kisa hiki kitanifanya niokoke.
Kwa mzingira ya maisha yangu ya kila siku silioni hil likitokea even for 10 years to come labda baada ya hapoJitahidi uwahii[emoji23][emoji23][emoji23]