Nimekuelewa kabisa huyu Demu tapeliHili ndio jibu.....sema kwa kuwa amepamisi dar na nauli kubwa amepata fala wa kupiga akakubali hivyo hivyo.
Demu anakuwa anajijua na kama anafahamu atakuwa period basi atakwambia mapema kabisa ili uamue kupanga ratib vizuri.
Marafiki kipindi uko nacho, kama huna sahau,. Believe me haijalishi ni mwanamke wa aina gani isipokuwa mamaa pekee japo naye kuna muda hizo traits utaona tuu. Hata kikao cha maamuzi kama kuna mwanamke atoke ndio nishiriki, la sivo wanadelete kwa lolote wala sitoshiriki maamuzi yaoTupe kisa
Moto ushamuwakia tayariiau hajakupenda ๐ ๐ ๐
Mademu wanapenda sana Mteremko hasa akiona wewe ni Mtoaji.Nimekuelewa kabisa huyu Demu tapeli
Weeeee. Ile hamu ya kumsubiri demu ambaye hujawahi mkamua ni noma.Kwani ni lazima m do? Mnaweza enda geto mkachili tu.
Wanasema mishangazi ya jf inapiga vizinga sana eti๐Mi staki Jamani ๐ ๐ ๐ ๐ angeagiza hata lishangazi la JF
Unahisi ni nani vile? ๐hii pisi ninayo iona niwewe?๐๐๐
Ndo HAPO SasaMademu wanapenda sana Mteremko hasa akiona wewe ni Mtoaji.
Hapo amepukutisha Waleti yako 500k. Lakini atarudi Mwanza kumpa K mtu asiyempa hata elfu 30
Ngoja nikutumie namba PM. Bora hata shoga yangu apate babe.Nipe huyo mwajumaaaa
Weka namba nikununulie bia mzee wanguMademu wanapenda sana Mteremko hasa akiona wewe ni Mtoaji.
Hapo amepukutisha Waleti yako 500k. Lakini atarudi Mwanza kumpa K mtu asiyempa hata elfu 30
Nihudumiwe na nani nije nikupe bure ๐ ๐ ๐ ๐ inabidi tutoe Press release kuhusu sisi ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Wanasema mishangazi ya jf inapiga vizinga sana eti๐
Umedhihirisha "undezi" waziwazi.Mama angetokea mburahati sawa nauli 3000 kwenda na kurudi mtu ametoka mwanza Go and return vip 220,000 kuspend hapa mjini 200,000 na mambo mengine imentoka laki 5 fanya masihara nini na mzigo sjapata
ShukranUmedhihirisha "undezi" waziwazi.
Ipo siku yakoUmedhihirisha "undezi" waziwazi.
๐๐๐๐ atakudharau trust me, huyo ukimkazia anajua alternativeHuyu wala kidole simgusi nilitaka nimrudishe na gari mbovu ila Dem mwenyewe hela ipo ningejizalilisha namlipia VIP ile ile arudi ,nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
Kitambo kwenye game, sipigwi kidwanzi.Ipo siku yako
Ilitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita โhappenโ ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.Weeeee. Ile hamu ya kumsubiri demu ambaye hujawahi mkamua ni noma.
Kama ni mali safi alafu na kahela umetoa lazima roho iwe juu juu. Ila kama kweli yuko P na mwamba ni kambale lazima afosi kuzama topeni.
Kulamba Tena?Mkuu wanakuwaga waongo sana hao haoni tabu kuweka tomato sosi, weka kidole ulambe kuhakikisha kama ni kweli