Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kwani ni lazima m do? Mnaweza enda geto mkachili tu.
Weeeee. Ile hamu ya kumsubiri demu ambaye hujawahi mkamua ni noma.

Kama ni mali safi alafu na kahela umetoa lazima roho iwe juu juu. Ila kama kweli yuko P na mwamba ni kambale lazima afosi kuzama topeni.
 
Huyu wala kidole simgusi nilitaka nimrudishe na gari mbovu ila Dem mwenyewe hela ipo ningejizalilisha namlipia VIP ile ile arudi ,nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
😆😆😆😆 atakudharau trust me, huyo ukimkazia anajua alternative
 
Weeeee. Ile hamu ya kumsubiri demu ambaye hujawahi mkamua ni noma.

Kama ni mali safi alafu na kahela umetoa lazima roho iwe juu juu. Ila kama kweli yuko P na mwamba ni kambale lazima afosi kuzama topeni.
Ilitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.

Sasa anamuacha mtu aje tu hajasem chochote. Wenzake kabla ya kutuma nauli huwa wanahakikisha mwanamke karidhia kutoa papuchi na akituma nauli tu hapo hapo sexting zinaanza utasikia “enhe babe niambie utanipa style gani😂😂😂” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.
 
Back
Top Bottom