Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Pole sana Mkuu, endelea kupambana na maisha. Hawa wanawake wachukulie poa sana.Weka namba nikununulie bia mzee wangu
Ni mwendo wa “hatuuzi wala hatutoi bure”😂😂😂😂Nihudumiwe na nani nije nikupe bure 😅😅😅😅inabidi tutoe Press release kuhusu sisi 😅😅😅😅😅😅😅
Alikuwa anajua hadi shanga nimenunua na nikamwambia nitamvaliasha wakati wa tendo na akachagua hadi rangi ya shanga hujiongezi.hapoIlitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.
Sasa anamuacha mtu aje tu hajasem chochote. Wenzake kabla ya kutuma nauli huwa wanahakikisha mwanamke karidhia kutoa papuchi na akituma nauli tu hapo hapo sexting zinaanza utasikia “enhe babe niambie utanipa style gani[emoji23][emoji23][emoji23]” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.
Unyama unyamani.Ugoro kwa masai ni jero tu bro......nauli yako itatumika vizuri au unataka maelezo zaidi,,,we mpeleke viwanja ale vyombo akiamka asubuhi nauli yako na gharama za vyombo atakuta ameshazirudisha uzuri huku sio kwa mabeberu
Ewaaaaa si ndo hapo, sasa kashindwa kumpanga demu kisaikolojia ili ajue akitia timu analiwa, kakaa tu kutoa mihela.Ilitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.
Sasa anamuacha mtu aje tu hajasem chochote. Wenzake kabla ya kutuma nauli huwa wanahakikisha mwanamke karidhia kutoa papuchi na akituma nauli tu hapo hapo sexting zinaanza utasikia “enhe babe niambie utanipa style gani😂😂😂” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.
Shukuru Allah kakuepusha juu ya jambo fulaniUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
DuhKama kaingia period unataka afanye nini? Mle basi, we ni pumbavu!
Kwanza sitaki kupotezewa muda 😅😅😅😅Ni mwendo wa “hatuuzi wala hatutoi bure”😂😂😂😂
Nimsaidie nn wakati hela anayoSasa ungekata tiketi ya ndege 'go and return' si ndipo ungezirai..
Kiukweli nikuchane tu we ni mshamba.. tena shamba boy la karne...
We unaelewa hali yako taabani, ndio maana basi la VIP kwako unaona kama amepanda dreamliner? au private jet... halafu unavimba kumtoa mwanamke Mwanza ili umgonge, kafika kakunyima uchi umemfungulia uzi...
Kwa hali yako ya kiuchumi ungetafuta mwanamke katika mazingira yako, wapo wengi...
Halafu si kila mwanamke unayemsaidia utake reward ya uchi...
Wakachili kwani jamaa anauza chips?Kwani ni lazima m do? Mnaweza enda geto mkachili tu.
mnajuana vizuri. hayo yooote mtaongea yey hakuambii kama kashachinja kuku ila ngoja utume mzigo kwanza. utashangaa mlolongo wa visingizio unaanza na ikitokea amekuja ndo utakuta swagga izo apo...ndomaana mm naunga mkono busara za wakuu wanaosema apo hakuna namna mwamba achomeke bluetuth kwenye tundu lolote lingine lililokaribu naye.Ilitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.
Sasa anamuacha mtu aje tu hajasem chochote. Wenzake kabla ya kutuma nauli huwa wanahakikisha mwanamke karidhia kutoa papuchi na akituma nauli tu hapo hapo sexting zinaanza utasikia “enhe babe niambie utanipa style gani😂😂😂” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.