Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hellow Guyz,

Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" . Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakini ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then.

Na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.

Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.

Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february; Shemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.

Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile.

Ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.

Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.

Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya? And how did it happen?

Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED?
Mbona unaonekana umechanganyikiwa sana kwanza una umli gan ,? Na unadhan kueleza uzinz wako hapa
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika Ineed somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika yake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?

===========

TAKE NOTE:

===========

Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Mbona kama umechanganyikiwa sana, na kwanza una umli gan mana unawaza uzinzi ukiona ni sifa tuu Sasa tukusaidieje labda wenzio wanaleta nyuzi nzur wew unaleta mapenz utakufanmaskin take care
 
Iko hivi, sehemu kubwa ya watu wana ma-bichwa makubwa lakini akili kiduchu

Ili kufanya mgawanyo na uwiano mzuri wa akili na kichwa, ni vyema kutingisha kichwa chako vizuri kabla ya kukitumia

Ni agizo, kama unabisha, andamana
Huna akili we dogo
 
Hellow Guyz,

Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" . Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakini ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then.

Na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.

Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.

Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february; Shemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.

Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile.

Ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.

Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.

Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya? And how did it happen?

Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED?
Mimi ilitokea mwaka 2005/6 nikiwa njiani naenda songea kidato Cha sita! nilikutana na dada mmoja alikua na
katoto kadogo ivi Sasa njiani mm nikawa kama Mzazi mwenza tulipofika njombe bahati mbaya basi likaharibika nakumbuka enzi hizo basi maarufu Njia Ile Kwa watu wa kipato Cha kati ilikua Kilimanjaro truck. Sasa kufika njombe basi ikabidi tufanye mpango wa kulala maana hakukua na uwezekano wa kufaulishwa na kama unavyojua safari ya dsm hadi njombe obviously mda ulishaenda Sana. Sasa yule binti Kwa wakati ule alikua na umri kama 23+ akawa analalamika Hana hata Hela ya kununua chakula Kwa mtoto yeye alijipanga angefika songea mapema aende kwao ni maeneo ya njiani .

Sasa Kwa huruma ikabidi nimsaidie hela ya chakula tulilala kwene basi siku hiyo ,kesho yake tukaanza safari asubuhi mwendo wa sanne ivi tukaingia songea sa Saba mchana . Basi tukaagana pale akanielekeza kwao kumbuka kipindi hicho simu hazikua common mm nikamwachia address ya shule nikapanda kisumapai nikaenda zangu kigonsera sec.

Maisha yakaendelea Sana kama miezi miwili ivi nikapokea barua kama unavyojua mambo ya shule kama hujazoea kutumiwa barua siku ikiitwa Kila mtu anashangilia , basi Mzee nikapokea barua dah ni yule dada aliandika mambo kibao yanayohusu maisha yake kijijini na toka wakati ule alisema hakuweza kurudi tena dsm maana alifukuzwa na aliezaa nae. Alinishukuru Sana Kwa mambo machache niliyomsaidia pale njombe na kuahidi ipo siku atalipa wema sikumwelewa lkn nilikubali na ikawa ni kawaida kunitumia barua hadi 2007 nilipomaliza advance.

Siku natoka kigonsera ndo nimemaliza six nikaamua kumtembelea maana kwao sio mbali na songea mjini ni mwendo wa nusu sawa tu Kwa haice nakumbuka ilikua mwezi wa pili songea mvua zilikua zinanyesha balaaa. Nakumbuka nilikua najua jina lake na la baba yake pamoja na kaka yake ambaye Kwa wakati ule alikua amemaliza diploma ya ualimu matogoro. Nilipofika huo mtaa wao niliuliza mtu mmoja tuu nikaelekezwa hadi Kwa wazazi wake na Kwa kuwa alishanieleza aina ya familia Yao ilibidi nifanye kuwa nimemtembelea kaka yake si yeye kuepusha maswali na kumbuka Bado ndo kwanza katoka kuachwa kama miezi michache iliopita.

Aisee bro alinipokea Kwa heshima Sana nikakaribishwa nikatambulishwa ehee mara majirani nao wakaja wachache nikawa na waza kwanini yote haya yanafanywa nikahisi labda ndo ukarimubwa wangoni ila badoo sikuelewaelewa . Basi muda ukawa umeenda nikabidi nianze kuaga maana nishakata tiketi yakwenda dsm na Nina safari nyingine ya kwenda kijijini Moshi, nikaaga pale Kwa bahati mjomba wa Binti alikua na simu asee nakumbuka laini ilikua ni celtel nikaomba namba nikaaga nikapelekwa barabarani nikapanda haice mbele hadi town nikalala asubuhi nikaamua safari nikaingia dsm sakumi na moja jioni.

Nilipofika ubungo chakwanza nikapiga Ile namba kuwajulisha nimefika na kweli nikawasalimia pamoja na yule binti niawa napiga mara Kwa mara Kwa namba tofauti Hadi nilipopata simu yangu ya kwanza mwezi wa kumi mwaka huohuo nikiwa mwaka wa kwanza chuoni. Basi bwana yule dada maisha yakaendelea akawa analima huko kijijini wakiuza ananitumia kidogo na bahati bro nae akaajiriwa mwaka unaofata akawa mshkaji Hadi kipindi flani akanitembelea chuo kumbuka yeye tayari yupo kwene payroll nikawa napona mara chache chache.

Maisha yaliendelea ilipofika 2010 June nikamaliza chuo kumbuka toka Feb 2007 hatukuwahi onana ila salamu nyingi tulipeana na kwakua nilikua na simu tulikua tunaongea Sana that time sikupitia Tena Kwa mjomba maana hata yeye alikua tayari anasimu. Sasa nilipomaliza chuo nilitakiwa nirudi Moshi na kumbuka chuo ilikua dsm Sasa nikapima nikaona nikienda Moshi sitapata sababu Tena ya kwenda songea ikabidi nilazimishe sababu home kuwa vyetinvya advance vinatakiwa basi nikatumiwa Hela nikapanda gari Hadi songea mjini tukiwa tunawasiliana Hadi nikafika nikamkuta mjini ananisuburia wakati huo yule mwanae ana kama miaka mitano au sita ivi katoto ka kike na alikuja nacho Hadi hapo nilipowakuta.

Sasa baada ya stori na kukumbushana mambo ya zamani ikabidi nichukue chumba na yeye akaniahidi anarudi Hadi home then atakuja kesho yake wakati nitakapotoka mbinga kigonsera kufata cheti so Ile siku ya mwisho atakuja tuongeee zaidi .

Basi kesho yake nikaenda zangu shule nikachukua cheti nikarudi town nikamcheki akaja this time peke yake mm kama kijana nikaelewa Zawadi ya ushindi inakaribia nikawa mtulivu nisionekane mroho na mhuni tukaongea Sana nakumbuka kilichonishtua ni kimoja aliniambia anaomba yule mwanae awe mwanangu Yani niwe baba yake , sikumwelewa kabisa ukizingatia ndo kwanza namaliza chuo Sina kazi sijui pakwanzia ila yeye akasisitiza nikubali japo nilikua nikiachana nae hakuna nitakachofanya wakati huo mtoto ndo kana 5+ivi.

Usiku uliingia tukaenda nilipojichimbia tukafanya mechi rafiki asubuhi nikaaga huyooo nikajua sitaweza kwenda tena songea maana sitakua na kitakachonipeleka huko maana hata mikoa niliyojiandikisha ajira ilikua dsm Arusha na klm. Nikifika dsm salama tukawa tuanachati Sana Hadi nikwa nishafika Moshi baada ya siku kama nne ivi akaanza kumuomba aje afahamu huku kaskazin! mm nilikwepa maana Kwa aina ya familia yetu isingekua poa na mahali tunaishi ni kijijini hakuna hata guest Hadi mjini mjini ambapo mm kwenda ingekua pia taabu.

Alisisitiza Sana akahidi anakuja Kwa garama zake mm nitafte tu mazingira apafahamu kwetu . Kwakweli ilishindikana ikabidi nimpigie danadana hadi mwezi wa desemba nikawa nimeipata tempo mahali nikatoka kijijini hiyo ilikua 2010 nakaribia 2011 January nikapata ajira serikalini nikaamua maisha yangu Arusha nikamwita akaja nakumbuka alifika Arusha Kwa basi la shabibu songea Arusha via chalinze hapo ni miezi kama miezi Saba toka nitoke songea baada ya kumaliza chuo June 2010.

Basi sikuamini alikuja na mwanae lkn kipindi hicho alikua tofauti alikua mjamzito dadeki kumbe Ile June nilisababisha na alijua na alidhamiria ndio maana alitaka Sana kufahamu nyumbani kwetu. Kwakua nilikua na mshahara nilitarajia nitamwacha apumzike alafu nimpe nauli arudi lkn siku zilipozidi kwenda mwenzangu akawa ndio anakolea basi ikafika mahali ikabidi nikubali maana ujauzito ukawa kama unamlazimisha Sana awe karibu na mm Sasa sijui ni kweli au ndo alikua ana ni set I don't know.

Nikahudimia wote mama na mwanae ilipofika march 23 akajifungua mtoto mwingine wa kike hapo hakuna hata ndg mmoja anejua nikahudimia Hadi akawa sawa uzazi nikamlisha mwenyewe kumbuka Mila za kichagga alitakiwa alishwe na mama yangu lkn kwakua ilikua kama masihara sikuwashurikisha maisha yakaendelea ivyo hadi mei 17 nakumbuka dada yangu nilimpigia nikamweleza akalipokea akalipeleka yeye Kwa wazazi then wakaja ninapokaa wakamwona baadae mama nae akaja hapo inaingia June 2011 maisha yakaanza rasmi nakumbuka kaka yangu na mm tulibidi tusafiri Hadi songea nilipofika Kwa Binti wazee walikua wananikumbuka maana miaka kama mitano nilishawahi kwenda (kumbuka kipindi nilipomaliza advance) (Ile safari ya pili nilipomaliza chuo sikushuka kwao tulikutana town ) kaka akajitambulisha tukaweka jamvi tukakunaliana mahari tukatoa kiasi.

Tukarudi Arusha wote mm Binti na bro kuanzia hapo hadi leo tupo Arusha yule mtoto nilimnunulia chakula njombe ambae mama yake alifukuzwa akiwa nae dsm tukakutana safarini nikwa naenda mbinga kigonsera ana miaka 21 yupo AIA mwaka wa kwanza yule aliezaliwa march 2011 ana miaka 16 alimaliza mwaka Jana form Four na ametoka na div 1pts12 aliefata mwaka 2014 ndie yupo form alimaliza srd 7 mwaka Jana yupo form 1.

Naafurahia maisha mama yake alijiendeleza QT then PC badae six akajiendeleza diploma ya maendeleo ya jamii Mungu so athuman akapata ajira ya utendaji mwaka juzi 2023 akaripoti miezi sita baadae nikafanya michongo akarudi kata ya wilaya ya jirani anaenda asubuhi jioni anarudi. Ndio maisha yetu nina 39yrs yeye ana 41yrs maisha yanasonga kama injili. Kimasihara nikajipatia Mke nikajipatia binti mkubwa wakufikia na anatumia jina langu na wengine nikawazaa mwenyewe.
 
yule aliezaliwa march 2011 ana miaka 16 alimaliza mwaka Jana form Four na ametoka na div 1pts12 aliefata mwaka 2014 ndie yupo form alimaliza srd 7 mwaka Jana yupo form 1
Hizi hesabu ni za uongo mkuu kwenye umri mbona umekosea hapo

All in all story nzuri
 
Kuna tukio mojasitokaa nisahau
Mwaka 2020. Alinipigia simu dada yangu, akaniambia kuna binti ndugu upande wa ..... (akamtaja jamaa flani ambaye hata mimi namfahamu). Huyo binti amechaguliwa kuja kusoma diploma mkoa nilipo. kwa hiyo wakiangalia ndugu wa karibu ni mimi naweza kumpokea, alale kwangu alafu siku inayofuata ataendelea na safari ya kwenda chuo. Kwa maelezo ya ule undugu, yule binti ananiita mjomba, japo nikipiga mahesabu ya undugu pale hakuna undugu, ni ule undugu wa kuforce tu ili mradi mtu asaidiwe. Basi siku ya safari ikawadia binti akaja, nikaenda kumpokea. Wazazi wake ni kabila tofauti baba na mama ila wote wanatokea kaskazini mikoa inayoongoza kwa kuwa weupe. Huyo binti kila nikimwangalia nilikuwa nachanganyikiwa. Mara ya kwanza akaja, akenda chuo. Likizo fupi wakaomba abaki kwangu. Likizo ndefu akatoka chuo, akalala kwangu alafu akaendelea na safari ya kwenda kwao. Sasa siku katoka chuo kama kawaida yake akaniomba nikamchukue stendi. Kale katoto kanadeka sana. Nahisi ule uzuri wake ndo ulikuwa unampa kiburi. Nikatoka job, nikawasha gari mida ya saa moja jioni nikamfuata. Siku hiyo nikawa namtania nione uchangamfu wake. Tukiwa njiani akakunjua siti ya gari akajilaza, sasa naendesha gari huku nikiangalia mapaja yakenayaona. Nikajifanya kama bahati mbaya mkono wangu wa kushoto nikaugusisha na paja lake, kana kwamba nabadili gia ya gari (ilikuwa janja tuu, gari lenyewe hizi za automatic hakuna cha kubadilisha gia).

Akashtuka kidogo, macho yakagongana, nikasema sorry, ooh. Akabaki tu ananiangalia alafu ni kama hakushangaa sana, wakati tunasikiliza muziki mtamu sana wa kubembeleza. Tukafika sehemu nikapaki gari, akili yangu ishavurugwa kila nikirusha jicho naona paja namba 8 la mtoto wa miaka 21, mweupe anang'aa, ngozi laini. Ule weupe wake ungetosha kabisa kuombea mkopo wa milioni 10 benki!!! Nikasimama, nikamuamsha, najaribu kumsemesha lakini hata namna ya kuanza sielewi, kiufupi nilijihisi kuchanganyikiwa. Hatimaye nikajilipua, liwalo na liwe, nikampiga sound mtoto. Akasema tutaongea, hapo moyo wangu ukapiga paaaah. Maana najua mabinti wa siku hizi akisema tutaongea basi hiyo imeisha. Nikawasha gari, hapo sasa naendesha taratibu, huku nimepandisha vioo vyote. giza la saa 2 usiku limeanza. Ninapoishi hakuna sehemu ya kupaki gari, so huwa kuna sehemu naenda kupaki kwa kulipia. Tukiwa tunaenda taratibu, na muziki umekolea, nikawa huru kupitisha mkono kiunoni mwake, nazishika chuchu saa 6, nikashusha chini ya kitovu, nikapenyeza vidole viwili kwenye k.... mtoto akaanza kugugumia,nikasugua sana kinembe, sugua vzuri, pitisha kidole, ingiza kidole, kitu bado kiko tight haijatumika ila sasa imelowa kwa utelezi. Namuangalia anatetemeka kwa hisia zimempanda, nakaribia sehemu ya kupaki gari. Akaniambia kwa sababu nimemchokoza nihakikishe namaliza gemu leo leo. Mwamba akili ikaruka. Nikisema nirudi town kutafuta lodge, huku home nitatafutwa maana nilishatoa taarifa kuwa tunakuja. Nikafika pa kupaki gari, nikamwambia arukie siti ya nyuma. Nikaendesha gari mpaka sehemu ya kupaki,pale pana magari mengi tuu na mengine yanakuja. Pale tunapopaki magari hakuna nyumba yenye familia. kuna mlinzi alafu nyumba zipo nje ya fensi ya tunapopaki magari.

Nikamfuata mlinzi tunafahamiana naye. Nikamwita pembeni, nikamwambia mkuu, pale kuna kuku naenda naye home ila anataka nimchinje kabla hatujafika home. Jamaa akashtuka, nikamwelekeza, nikammwambia naomba nikapaki kule kwa nyuma ambapo wengi hawapendi kupaki magari. Kabla hajajibu nikamkatia buku 5 za kupoza koo. Akacheka, akasema wee jamaa hata huelekei kwenye hizo issue, nikamwambia tulia basi. Akasema poa nenda kapaki. Kule nyuma kumepoa sana, nikatoa gari kwenda kupaki mle nyuma. Nilimchapia mtoto huko huko kwenye gari. Kumbe mtoto alikuwa amemisi sana shughuli. Nilimpelekea moto kama dakika 10, baadaye akasema nisiitoe,yeye akawa anaikalia style flani hivi alikojoa akapiga kelele nikawa namziba mdodo. Sasa ikawa yeye kamaliza mimi bado, nikaanza kuingiza analalamika namwumiza. Ikabidi nianze tena kumchezea akalowa tena nikaanza kupiga show nikawa namleta taratibu ila kwa uhakika. Akaja tena mara ya pili ile anakojoa na mm nakojoa tulifika wote kwa pamoja alitaka kuning'ata. Tukatoka hapo akatoa khanga akanifuta, na yeye akajifuta. Tulipofika home mm niliwahi bafuni mrs asije akashtukia harufu ya mwanamke mwingine mwilini. Yule mtoto mtamu sana, tukawa tunakulana sana ila alipomaliza chuo ndo ikawa atuonani tena nasikia kaolewa siku hizi
umetisha sana mzeiya
 
Mimi ilitokea mwaka 2005/6 nikiwa njiani naenda songea kidato Cha sita! nilikutana na dada mmoja alikua na
katoto kadogo ivi Sasa njiani mm nikawa kama Mzazi mwenza tulipofika njombe bahati mbaya basi likaharibika nakumbuka enzi hizo basi maarufu Njia Ile Kwa watu wa kipato Cha kati ilikua Kilimanjaro truck. Sasa kufika njombe basi ikabidi tufanye mpango wa kulala maana hakukua na uwezekano wa kufaulishwa na kama unavyojua safari ya dsm hadi njombe obviously mda ulishaenda Sana. Sasa yule binti Kwa wakati ule alikua na umri kama 23+ akawa analalamika Hana hata Hela ya kununua chakula Kwa mtoto yeye alijipanga angefika songea mapema aende kwao ni maeneo ya njiani . Sasa Kwa huruma ikabidi nimsaidie hela ya chakula tulilala kwene basi siku hiyo ,kesho yake tukaanza safari asubuhi mwendo wa sanne ivi tukaingia songea sa Saba mchana . Basi tukaagana pale akanielekeza kwao kumbuka kipindi hicho simu hazikua common mm nikamwachia address ya shule nikapanda kisumapai nikaenda zangu kigonsera sec. Maisha yakaendelea Sana kama miezi miwili ivi nikapokea barua kama unavyojua mambo ya shule kama hujazoea kutumiwa barua siku ikiitwa Kila mtu anashangilia , basi Mzee nikapokea barua dah ni yule dada aliandika mambo kibao yanayohusu maisha yake kijijini na toka wakati ule alisema hakuweza kurudi tena dsm maana alifukuzwa na aliezaa nae. Alinishukuru Sana Kwa mambo machache niliyomsaidia pale njombe na kuahidi ipo siku atalipa wema sikumwelewa lkn nilikubali na ikawa ni kawaida kunitumia barua hadi 2007 nilipomaliza advance. Siku natoka kigonsera ndo nimemaliza six nikaamua kumtembelea maana kwao sio mbali na songea mjini ni mwendo wa nusu sawa tu Kwa haice nakumbuka ilikua mwezi wa pili songea mvua zilikua zinanyesha balaaa. Nakumbuka nilikua najua jina lake na la baba yake pamoja na kaka yake ambaye Kwa wakati ule alikua amemaliza diploma ya ualimu matogoro. Nilipofika huo mtaa wao niliuliza mtu mmoja tuu nikaelekezwa hadi Kwa wazazi wake na Kwa kuwa alishanieleza aina ya familia Yao ilibidi nifanye kuwa nimemtembelea kaka yake si yeye kuepusha maswali na kumbuka Bado ndo kwanza katoka kuachwa kama miezi michache iliopita. Aisee bro alinipokea Kwa heshima Sana nikakaribishwa nikatambulishwa ehee mara majirani nao wakaja wachache nikawa na waza kwanini yote haya yanafanywa nikahisi labda ndo ukarimubwa wangoni ila badoo sikuelewaelewa . Basi muda ukawa umeenda nikabidi nianze kuaga maana nishakata tiketi yakwenda dsm na Nina safari nyingine ya kwenda kijijini Moshi, nikaaga pale Kwa bahati mjomba wa Binti alikua na simu asee nakumbuka laini ilikua ni celtel nikaomba namba nikaaga nikapelekwa barabarani nikapanda haice mbele hadi town nikalala asubuhi nikaamua safari nikaingia dsm sakumi na moja jioni. Nilipofika ubungo chakwanza nikapiga Ile namba kuwajulisha nimefika na kweli nikawasalimia pamoja na yule binti niawa napiga mara Kwa mara Kwa namba tofauti Hadi nilipopata simu yangu ya kwanza mwezi wa kumi mwaka huohuo nikiwa mwaka wa kwanza chuoni. Basi bwana yule dada maisha yakaendelea akawa analima huko kijijini wakiuza ananitumia kidogo na bahati bro nae akaajiriwa mwaka unaofata akawa mshkaji Hadi kipindi flani akanitembelea chuo kumbuka yeye tayari yupo kwene payroll nikawa napona mara chache chache. Maisha yaliendelea ilipofika 2010 June nikamaliza chuo kumbuka toka Feb 2007 hatukuwahi onana ila salamu nyingi tulipeana na kwakua nilikua na simu tulikua tunaongea Sana that time sikupitia Tena Kwa mjomba maana hata yeye alikua tayari anasimu. Sasa nilipomaliza chuo nilitakiwa nirudi Moshi na kumbuka chuo ilikua dsm Sasa nikapima nikaona nikienda Moshi sitapata sababu Tena ya kwenda songea ikabidi nilazimishe sababu home kuwa vyetinvya advance vinatakiwa basi nikatumiwa Hela nikapanda gari Hadi songea mjini tukiwa tunawasiliana Hadi nikafika nikamkuta mjini ananisuburia wakati huo yule mwanae ana kama miaka mitano au sita ivi katoto ka kike na alikuja nacho Hadi hapo nilipowakuta. Sasa baada ya stori na kukumbushana mambo ya zamani ikabidi nichukue chumba na yeye akaniahidi anarudi Hadi home then atakuja kesho yake wakati nitakapotoka mbinga kigonsera kufata cheti so Ile siku ya mwisho atakuja tuongeee zaidi . Basi kesho yake nikaenda zangu shule nikachukua cheti nikarudi town nikamcheki akaja this time peke yake mm kama kijana nikaelewa Zawadi ya ushindi inakaribia nikawa mtulivu nisionekane mroho na mhuni tukaongea Sana nakumbuka kilichonishtua ni kimoja aliniambia anaomba yule mwanae awe mwanangu Yani niwe baba yake , sikumwelewa kabisa ukizingatia ndo kwanza namaliza chuo Sina kazi sijui pakwanzia ila yeye akasisitiza nikubali japo nilikua nikiachana nae hakuna nitakachofanya wakati huo mtoto ndo kana 5+ivi. Usiku uliingia tukaenda nilipojichimbia tukafanya mechi rafiki asubuhi nikaaga huyooo nikajua sitaweza kwenda tena songea maana sitakua na kitakachonipeleka huko maana hata mikoa niliyojiandikisha ajira ilikua dsm Arusha na klm. Nikifika dsm salama tukawa tuanachati Sana Hadi nikwa nishafika Moshi baada ya siku kama nne ivi akaanza kumuomba aje afahamu huku kaskazin! mm nilikwepa maana Kwa aina ya familia yetu isingekua poa na mahali tunaishi ni kijijini hakuna hata guest Hadi mjini mjini ambapo mm kwenda ingekua pia taabu. Alisisitiza Sana akahidi anakuja Kwa garama zake mm nitafte tu mazingira apafahamu kwetu . Kwakweli ilishindikana ikabidi nimpigie danadana hadi mwezi wa desemba nikawa nimeipata tempo mahali nikatoka kijijini hiyo ilikua 2010 nakaribia 2011 January nikapata ajira serikalini nikaamua maisha yangu Arusha nikamwita akaja nakumbuka alifika Arusha Kwa basi la shabibu songea Arusha via chalinze hapo ni miezi kama miezi Saba toka nitoke songea baada ya kumaliza chuo June 2010. Basi sikuamini alikuja na mwanae lkn kipindi hicho alikua tofauti alikua mjamzito dadeki kumbe Ile June nilisababisha na alijua na alidhamiria ndio maana alitaka Sana kufahamu nyumbani kwetu. Kwakua nilikua na mshahara nilitarajia nitamwacha apumzike alafu nimpe nauli arudi lkn siku zilipozidi kwenda mwenzangu akawa ndio anakolea basi ikafika mahali ikabidi nikubali maana ujauzito ukawa kama unamlazimisha Sana awe karibu na mm Sasa sijui ni kweli au ndo alikua ana ni set I don't know. Nikahudimia wote mama na mwanae ilipofika march 23 akajifungua mtoto mwingine wa kike hapo hakuna hata ndg mmoja anejua nikahudimia Hadi akawa sawa uzazi nikamlisha mwenyewe kumbuka Mila za kichagga alitakiwa alishwe na mama yangu lkn kwakua ilikua kama masihara sikuwashurikisha maisha yakaendelea ivyo hadi mei 17 nakumbuka dada yangu
nilimpigia nikamweleza akalipokea akalipeleka yeye Kwa wazazi then wakaja ninapokaa wakamwona baadae mama nae akaja hapo inaingia June 2011 maisha yakaanza rasmi nakumbuka kaka yangu na mm tulibidi tusafiri Hadi songea nilipofika Kwa Binti wazee walikua wananikumbuka maana miaka kama mitano nilishawahi kwenda (kumbuka kipindi nilipomaliza advance) (Ile safari ya pili nilipomaliza chuo sikushuka kwao tulikutana town ) kaka akajitambulisha tukaweka jamvi tukakunaliana mahari tukatoa kiasi tukarudi Arusha wote mm Binti na bro kuanzia hapo hadi leo tupo Arusha yule mtoto nilimnunulia chakula njombe ambae mama yake alifukuzwa akiwa nae dsm tukakutana safarini nikwa naenda mbinga kigonsera ana miaka 21 yupo AIA mwaka wa kwanza yule aliezaliwa march 2011 ana miaka 16 alimaliza mwaka Jana form Four na ametoka na div 1pts12 aliefata mwaka 2014 ndie yupo form alimaliza srd 7 mwaka Jana yupo form 1 naafurahia maisha mama yake alijiendeleza QT then PC badae six akajiendeleza diploma ya maendeleo ya jamii Mungu so athuman akapata ajira ya utendaji mwaka juzi 2023 akaripoti miezi sita baadae nikafanya michongo akarudi kata ya wilaya ya jirani anaenda asubuhi jioni anarudi. Ndio maisha yetu nina 39yrs yeye ana 41yrs maisha yanasonga kama injili. Kimasihara nikajipatia Mke nikajipatia binti mkubwa wakufikia na anatumia jina langu na wengine nikawazaa mwenyewe.
hadithi nzuri sana
 
Mimi ilitokea mwaka 2005/6 nikiwa njiani naenda songea kidato Cha sita! nilikutana na dada mmoja alikua na
katoto kadogo ivi Sasa njiani mm nikawa kama Mzazi mwenza tulipofika njombe bahati mbaya basi likaharibika nakumbuka enzi hizo basi maarufu Njia Ile Kwa watu wa kipato Cha kati ilikua Kilimanjaro truck. Sasa kufika njombe basi ikabidi tufanye mpango wa kulala maana hakukua na uwezekano wa kufaulishwa na kama unavyojua safari ya dsm hadi njombe obviously mda ulishaenda Sana. Sasa yule binti Kwa wakati ule alikua na umri kama 23+ akawa analalamika Hana hata Hela ya kununua chakula Kwa mtoto yeye alijipanga angefika songea mapema aende kwao ni maeneo ya njiani . Sasa Kwa huruma ikabidi nimsaidie hela ya chakula tulilala kwene basi siku hiyo ,kesho yake tukaanza safari asubuhi mwendo wa sanne ivi tukaingia songea sa Saba mchana . Basi tukaagana pale akanielekeza kwao kumbuka kipindi hicho simu hazikua common mm nikamwachia address ya shule nikapanda kisumapai nikaenda zangu kigonsera sec. Maisha yakaendelea Sana kama miezi miwili ivi nikapokea barua kama unavyojua mambo ya shule kama hujazoea kutumiwa barua siku ikiitwa Kila mtu anashangilia , basi Mzee nikapokea barua dah ni yule dada aliandika mambo kibao yanayohusu maisha yake kijijini na toka wakati ule alisema hakuweza kurudi tena dsm maana alifukuzwa na aliezaa nae. Alinishukuru Sana Kwa mambo machache niliyomsaidia pale njombe na kuahidi ipo siku atalipa wema sikumwelewa lkn nilikubali na ikawa ni kawaida kunitumia barua hadi 2007 nilipomaliza advance. Siku natoka kigonsera ndo nimemaliza six nikaamua kumtembelea maana kwao sio mbali na songea mjini ni mwendo wa nusu sawa tu Kwa haice nakumbuka ilikua mwezi wa pili songea mvua zilikua zinanyesha balaaa. Nakumbuka nilikua najua jina lake na la baba yake pamoja na kaka yake ambaye Kwa wakati ule alikua amemaliza diploma ya ualimu matogoro. Nilipofika huo mtaa wao niliuliza mtu mmoja tuu nikaelekezwa hadi Kwa wazazi wake na Kwa kuwa alishanieleza aina ya familia Yao ilibidi nifanye kuwa nimemtembelea kaka yake si yeye kuepusha maswali na kumbuka Bado ndo kwanza katoka kuachwa kama miezi michache iliopita. Aisee bro alinipokea Kwa heshima Sana nikakaribishwa nikatambulishwa ehee mara majirani nao wakaja wachache nikawa na waza kwanini yote haya yanafanywa nikahisi labda ndo ukarimubwa wangoni ila badoo sikuelewaelewa . Basi muda ukawa umeenda nikabidi nianze kuaga maana nishakata tiketi yakwenda dsm na Nina safari nyingine ya kwenda kijijini Moshi, nikaaga pale Kwa bahati mjomba wa Binti alikua na simu asee nakumbuka laini ilikua ni celtel nikaomba namba nikaaga nikapelekwa barabarani nikapanda haice mbele hadi town nikalala asubuhi nikaamua safari nikaingia dsm sakumi na moja jioni. Nilipofika ubungo chakwanza nikapiga Ile namba kuwajulisha nimefika na kweli nikawasalimia pamoja na yule binti niawa napiga mara Kwa mara Kwa namba tofauti Hadi nilipopata simu yangu ya kwanza mwezi wa kumi mwaka huohuo nikiwa mwaka wa kwanza chuoni. Basi bwana yule dada maisha yakaendelea akawa analima huko kijijini wakiuza ananitumia kidogo na bahati bro nae akaajiriwa mwaka unaofata akawa mshkaji Hadi kipindi flani akanitembelea chuo kumbuka yeye tayari yupo kwene payroll nikawa napona mara chache chache. Maisha yaliendelea ilipofika 2010 June nikamaliza chuo kumbuka toka Feb 2007 hatukuwahi onana ila salamu nyingi tulipeana na kwakua nilikua na simu tulikua tunaongea Sana that time sikupitia Tena Kwa mjomba maana hata yeye alikua tayari anasimu. Sasa nilipomaliza chuo nilitakiwa nirudi Moshi na kumbuka chuo ilikua dsm Sasa nikapima nikaona nikienda Moshi sitapata sababu Tena ya kwenda songea ikabidi nilazimishe sababu home kuwa vyetinvya advance vinatakiwa basi nikatumiwa Hela nikapanda gari Hadi songea mjini tukiwa tunawasiliana Hadi nikafika nikamkuta mjini ananisuburia wakati huo yule mwanae ana kama miaka mitano au sita ivi katoto ka kike na alikuja nacho Hadi hapo nilipowakuta. Sasa baada ya stori na kukumbushana mambo ya zamani ikabidi nichukue chumba na yeye akaniahidi anarudi Hadi home then atakuja kesho yake wakati nitakapotoka mbinga kigonsera kufata cheti so Ile siku ya mwisho atakuja tuongeee zaidi . Basi kesho yake nikaenda zangu shule nikachukua cheti nikarudi town nikamcheki akaja this time peke yake mm kama kijana nikaelewa Zawadi ya ushindi inakaribia nikawa mtulivu nisionekane mroho na mhuni tukaongea Sana nakumbuka kilichonishtua ni kimoja aliniambia anaomba yule mwanae awe mwanangu Yani niwe baba yake , sikumwelewa kabisa ukizingatia ndo kwanza namaliza chuo Sina kazi sijui pakwanzia ila yeye akasisitiza nikubali japo nilikua nikiachana nae hakuna nitakachofanya wakati huo mtoto ndo kana 5+ivi. Usiku uliingia tukaenda nilipojichimbia tukafanya mechi rafiki asubuhi nikaaga huyooo nikajua sitaweza kwenda tena songea maana sitakua na kitakachonipeleka huko maana hata mikoa niliyojiandikisha ajira ilikua dsm Arusha na klm. Nikifika dsm salama tukawa tuanachati Sana Hadi nikwa nishafika Moshi baada ya siku kama nne ivi akaanza kumuomba aje afahamu huku kaskazin! mm nilikwepa maana Kwa aina ya familia yetu isingekua poa na mahali tunaishi ni kijijini hakuna hata guest Hadi mjini mjini ambapo mm kwenda ingekua pia taabu. Alisisitiza Sana akahidi anakuja Kwa garama zake mm nitafte tu mazingira apafahamu kwetu . Kwakweli ilishindikana ikabidi nimpigie danadana hadi mwezi wa desemba nikawa nimeipata tempo mahali nikatoka kijijini hiyo ilikua 2010 nakaribia 2011 January nikapata ajira serikalini nikaamua maisha yangu Arusha nikamwita akaja nakumbuka alifika Arusha Kwa basi la shabibu songea Arusha via chalinze hapo ni miezi kama miezi Saba toka nitoke songea baada ya kumaliza chuo June 2010. Basi sikuamini alikuja na mwanae lkn kipindi hicho alikua tofauti alikua mjamzito dadeki kumbe Ile June nilisababisha na alijua na alidhamiria ndio maana alitaka Sana kufahamu nyumbani kwetu. Kwakua nilikua na mshahara nilitarajia nitamwacha apumzike alafu nimpe nauli arudi lkn siku zilipozidi kwenda mwenzangu akawa ndio anakolea basi ikafika mahali ikabidi nikubali maana ujauzito ukawa kama unamlazimisha Sana awe karibu na mm Sasa sijui ni kweli au ndo alikua ana ni set I don't know. Nikahudimia wote mama na mwanae ilipofika march 23 akajifungua mtoto mwingine wa kike hapo hakuna hata ndg mmoja anejua nikahudimia Hadi akawa sawa uzazi nikamlisha mwenyewe kumbuka Mila za kichagga alitakiwa alishwe na mama yangu lkn kwakua ilikua kama masihara sikuwashurikisha maisha yakaendelea ivyo hadi mei 17 nakumbuka dada yangu
nilimpigia nikamweleza akalipokea akalipeleka yeye Kwa wazazi then wakaja ninapokaa wakamwona baadae mama nae akaja hapo inaingia June 2011 maisha yakaanza rasmi nakumbuka kaka yangu na mm tulibidi tusafiri Hadi songea nilipofika Kwa Binti wazee walikua wananikumbuka maana miaka kama mitano nilishawahi kwenda (kumbuka kipindi nilipomaliza advance) (Ile safari ya pili nilipomaliza chuo sikushuka kwao tulikutana town ) kaka akajitambulisha tukaweka jamvi tukakunaliana mahari tukatoa kiasi tukarudi Arusha wote mm Binti na bro kuanzia hapo hadi leo tupo Arusha yule mtoto nilimnunulia chakula njombe ambae mama yake alifukuzwa akiwa nae dsm tukakutana safarini nikwa naenda mbinga kigonsera ana miaka 21 yupo AIA mwaka wa kwanza yule aliezaliwa march 2011 ana miaka 16 alimaliza mwaka Jana form Four na ametoka na div 1pts12 aliefata mwaka 2014 ndie yupo form alimaliza srd 7 mwaka Jana yupo form 1 naafurahia maisha mama yake alijiendeleza QT then PC badae six akajiendeleza diploma ya maendeleo ya jamii Mungu so athuman akapata ajira ya utendaji mwaka juzi 2023 akaripoti miezi sita baadae nikafanya michongo akarudi kata ya wilaya ya jirani anaenda asubuhi jioni anarudi. Ndio maisha yetu nina 39yrs yeye ana 41yrs maisha yanasonga kama injili. Kimasihara nikajipatia Mke nikajipatia binti mkubwa wakufikia na anatumia jina langu na wengine nikawazaa mwenyewe.
Aisee mzee kweli hii kimasihara
 
Back
Top Bottom