Chai
 
Hapo mwisho hapo yaaani..!!!
 
Mkuu zini kwa amani hio ilikuwa mada nyingine kabisa mtu aliifungua huko kuuliza kama kufanya mapenzi ni dhambi. Sasa mods wakaileta huku kuwakumbusha kwamba wazinzi na waasherati hamtauona ufalme wa Mungu.
Your browser is not able to display this video.

CC mamdogo Amehlo, dadaangu wa kufikia Bantu Lady, shemela mwenyewe Evelyn Salt, mamaaa wa JLK Madame B et el
 
Umenena vyema kabisa, Manyanza.
Sio rahisi kuelewa lakini hata darasani aliyesoma PCM na HKL, aliyesoma PCM alikuwa anakaza sana na aliyekuwa anasoma HKL msuli alikuwa anapiga yupo ndani ya Net. Lakini matokeo yake leo yanaonekana.

Na ndio kilichomo humu story za kimasihara inasaidia sana kupunguza mikazo lakini hazina permanent solution. Tofauti na kuingia kwenye jukwaa la Biashara na uchumi 😃😃😃
 
What are even doing here at the first place..
 
congratulation bro naimani huyo mwanamke anakuheshimu sana kwamaan naona ww ndio km umemfungulia njia,ila wanawake ni wajanja san😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…