Kuna ugonjwa mpya wa mabaka mabaka umeingia unaambukizwa kwa kugusana, sasa wewe endelea na ukitibu ngozi inabakia na makovu ya mabaka mabaka unakua km umevaa Gwanda la JW
Unaambukizwaje, jana nilipishana na mzee mmoja kababuka na alinigusa kiganjani tukipishana kariakoo.
 
Sex ni kuchomeka na kuchomoa mkuyenge kwenye papuchi kwa kurudia rudia. Mengine ni mbwembwe tu.
Ingiza kitu toa kitu, vivyo hivyo mpaka kinachotafutwa kipatikane.
Hahahah 😂 ila kujamiiana kungekuwa kunahusu kundi fulani tu la watu kungeonekana kama kitu cha ajabu mno😂😁🤣😅.
 
Unaambukizwaje, jana nilipishana na mzee mmoja kababuka na alinigusa kiganjani tukipishana kariakoo.
Ukiguswa tu hivi na akiwa na jasho jasho unao yaan hapo utatoka mafundo fundo mauvimbe au km una kinga mwili yenye nguvu utaona unaanza kuvimba viduara vinasambaa kwa kasi ya jet na ukikuna ndio unasambaza mwisho mwili mzima utakua na huo ugonjwa sasa tiba ni dawa ya kupakaa na kumeza maana ukipakaa bila kunywa dawa vinakua hujamaliza ugonjwa kwa hio lazima upige dozi Mwezi mmoja ila ukimaliza unakua na ngozi km Gwanda la JW ni mabaka mabaka mwili mzima
 
Mbona unanitisha mkuu
 
Hamna lolote mbona wazungu ndio wanafanya ngono kweli kweli na waangaliaji porno lakini maendeleo wanafanya. Sie tatizo letu ni uwoga tuu hamna lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…