Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Unaambukizwaje, jana nilipishana na mzee mmoja kababuka na alinigusa kiganjani tukipishana kariakoo.Kuna ugonjwa mpya wa mabaka mabaka umeingia unaambukizwa kwa kugusana, sasa wewe endelea na ukitibu ngozi inabakia na makovu ya mabaka mabaka unakua km umevaa Gwanda la JW