Hongera
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabaharia tukiwa tunakula matunda kimasihara, tukumbe tu kuwa huu ni mwezi December, huyo anaekubali kuliwa kimasihara anakuwa kajilengesha maksudi ili uwe tegemeo lake mpaka January..hakikisha baada ya kumkula kimasihara yaani kusiwepo na mawasiliano yeyote yale baina yenu..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • cheka_tu_-20191213-0001.jpeg
    41.6 KB · Views: 61
Mafisi mlikuwa mmeshaanza kumzamia doctor pm..mkidhani kuwa ni demu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
yaani hata kujaribu siwezi, nilishakutana na wana JF wengi tu wanaotumia ID as woman na avatar za kike, kumbe ni wanaume tena watu wazima na wana familiar zao kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chai ya rangi hiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi unasaidia pia kurudia tendo kwa haraka[emoji23][emoji23][emoji23], ukimwaga tu af ukaona mjomba analegea, Njoo usome story za mabaharia dude linainuka chap kwa kasi ya 4g

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu [emoji3] [emoji3] .
Hii technique Nimeitumia jána nimepiga show y'a kibabe sana. Ilikuwa bandika bandua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…