nakuita mara tatu maliedo,maliedo,maliedo.....demu gani huyoo tuse au??
 
Wadada pia njooni mtoe stori zenu za kumtafuna/kutafunwa na msela kihasarahasara
 
Tungepata wakwel kma nyie hii thread ingebamba zai[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Alipata kazi demu mmoja matata, siyo boss, sisi ma slum doggy, wafanyakazi wote wa kampuni ambao tuna share nao jengo moja, Kila mtu alikuwa anapambania amle, wakumtoa lunch, wa lift, wa dinner ilimradi upewe kipochi mavuzi, Yani trip ikitokea lazima boss asafiri nae na dereva, ila bosi alitoswa mbaya akakituliza. Trip inayo kuja bosi akaniweka niende nae, na mwenzangu wakiume ambae pia nae anataka japo keshaoa na demu alisharopoka siku "I don't do married man". Sema jamaa ana cash mbaya, anajiweza kiuchumi ni wale katokea familia Bora sana, so tumeenda wilayani tunapoa huko wiki nzima tunazunguka wilaya had wilaya. Kanuni yangu ya kwanza lodge wenzangu wanayo shukia binafsi siwez shukia naenda tafuta ya hatua kadhaa mbele, ili nijipigie pisi zangu za wilayani week nzima, picha ikaanza kesho yake asubuhi wananipitia tukapige kazi, wananipigia simu nitoke sijapokea simu, muda huo Niko bafuni naoga nilikuwa na mtoto tumefanyana usiku kucha na bado Yuko room. Wakamtuma yule demu akaniite akaja kugonga yule demu akamfungulia akaniulizia akamwambia anaoga, akasema mwambie afanye haraka, kutoka kwenye gari alinitania Sana, ndo hapo tukawa na mazoea ya social achana na yaki ofisi. Basi jion tumerud wakanishusha nikaingia lodge piga maji, nashangaa demu anajichatisha WhatsApp njoo tunywe bia au unapewa Mambo na yule dada? Nikamwambia hapana ata Niko bored tu. nikaenda nikamkuta na dereva na yule mfanyakazi mwingine, piga bia na chakula minika waacha, aakaanza nitania ushaitiwa penzi I was like no, nikasepa. Nafika room nimevua nguo na pasi yule demu huyu hapa, it was the best week ever kula mama balaaa, adi akahama ile lodge nyingine kaja kwa slum doggy, tumerudi ofisini wale jamaa tuliokuwa nao wakavujsha, so tukaacha ujinga asahv tuna flirt tu na kulana Everytime one of us is horny, more of friends with benefits
 
Huyo alitaka kukupa dudu tu. Utalalaje na nzigo usiule?
 
Ukiona demu anakufananisha fananisha ujue kakupenda
 
Hahah dah

Wakina Hannah wakiwa na miasira huwa wanatufanyia mabaya saana.
 
Hapo ndio vijana Wa kitanzania wanapenda sana story kama hizi hapo mtu anatununua bado la GB 10 kwaajili ya kuandika stor kama hizi lakn ukiuliza ufugaji Wa kuku wote wanakuwa kimya
 
Wengine hapa wanatunga tu stori japo kuna wengi hapa wanatoa ushuhuda wa kweli. Kiukweli, kama mtu uwe mwanamke au mwanaume una umri zaidi ya miaka 10 tangu umeanza migegedo, ni lazima tukio moja au mbili za kula mzigo kiutani utani litakuwepo tu.
 
Hapo ndio vijana Wa kitanzania wanapenda sana story kama hizi hapo mtu anatununua bado la GB 10 kwaajili ya kuandika stor kama hizi lakn ukiuliza ufugaji Wa kuku wote wanakuwa kimya

Tatizo lako unataka kama umefanikiwa na kila mtu afanikiwe kama wengine ..ni hivi wengine hawapendi na usitake unacho taka wewe kufanya na wengine wafanye

Na maisha ndio yako hivyo ..
 
Nyingine..

kwenye kilimanjaro music tour (tour ya wasanii walioshinda tuzo za kili music)

Nimeenda zangu sina hili wala lile, nikaona mtoto mkali sana yaani Zari fulani hivii amekaa jukwaani, nikampa hi akaitikia , kumbe alikuwa amekuja peke yake, basi katika kupiga story mbili tatu nikaanza kumtomasa chuchu (mkono wangu ni mwepesi sana huwa sikawii kushika chuchu), msichana yeye yuko poa tuu anacheka.. Nikasema leo mambo Bull Bull...

Basi nikampanga mtoto twende nje sehemu fulani hivi ina giza ipo opposite na shule moja ya msingi, nikamuinamisha mzee doggy, takroo kubwa sana yaani nikawa napiga zangu taratibu hiviiii... cha ajabu msichana alikuwa ananiambia ana nyege kote kote (huenda anatoa nonihinooo)

la haulaa, nakaribia kumalizia kumbe mapolisi walikuwa wamebana sehem wanatucheki wako na defender na mbwa kadhaa, walikuja pale na tochi yaani walituzingua hataari yaani , mi nilikuwa hata sijamwaga yaani, wakanifunga pingu mi mwenyewwe wakatuzingua sana mixa kuomba laki 3 tuachwe walipoona hatuna hela wakatuachia.... tena wakasema nendeni mkamalizie kut*****mbana sasa sisi tunawalinda, nilikataaa katu katu kwa hofu niliyokuwa nayo pale nilikaribia kufa mashine yenyewe isingeweza kusimama [emoji28][emoji28][emoji28]

cha ajabu yule msichana hana hofu wala nini, ningekubali ushauri wa polisi ningepiga mashine tuuu,,,, sijawah tena kuonana nae yule dem , bahati kweli haziji mara mbili .
 

Kisa cha kweli kabisa uwongo dhambi Joanahh ananijua vizuri mimi! Mi juzi ndani ya huu mwezi Septemba 2019 ndo nilijua dunia hii imekwisha duhhh! Niliingia Namnani hotel pale nimsubirie chumbani demu wangu under 25 tu hivi! Sasa wakati niko mapokezi nachukua chumba, nikaona kademu kazuri sana naye anachukua chumba kapewa hela na jamaa yake atangulie room jamaa yuko kazini anasubiri atoke amkute room. Kila mmoja wetu akachukua ufunguo wake tukawa tunaelekea floor ya pili, kumbe vyumba viko jirani yeye yuko mbele mi nafuata kwa nyuma. Wakati anafungua mlango wake, nikamsalimia vizuri tu lakini nikiwa nimemkazia macho sana mpaka akahisi nimemtamani. Nikamuuliza wewe ni mgeni umefikia hoteli hii au kuna mtu unakutana naye? Akatabasamu kidogo, akasema namsubiri jamaa yangu anatokea kazini. Nikasema okay byee. Nikapita nikaingia room yangu nikaanza tu kumuwaza kiajabuajabu tu. Dakika 5 hivi bila ajizi nikaenda kumgongea mlango, ile kufungua tu nikajifanya nimekosea room akasema hamna shida kwani vipi? Nikamuuliza vipi jamaa ameshafika? akasema amemwambia baada ya saa moja hivi ndo atafika kutegemea na foleni. Nikasema naomba niingie ndani kidogo nione room yako akasema anaogopa hanifahamu, nikamsisitiza akasema chukua namba yangu tutachat we rudi chumbani kwako, nikafanya hivyo. Nikiwa room nikatumia simu yangu nyingine ya kimagumashi nikamtext kuwa asishangae wala asiogope kwani nami namsubiria demu wangu. Nikamwambia ujue ni hulka tu za sisi wanaume na kiubinadamu tu nimeona umbo lako dahh umenichanganya. Akasema tufahamiane kwa vile namba ipo tutafutane siku nyingine tuongee. Nikamwambia embu njoo room kwangu mara moja akasema anaogopa demu wangu anaweza kumkuta, nikamwambia mpaka aje na mpaka nimwelekeze room nilipo siyo rahisi kumkuta yeye. Akasema lakini ashavua nguo amepumzika, nikamwambia si unavaa tu hilo gauni ndefu (alikuwa amevaa gauni free hivi kama dera) njoo tu dk moja nitakupa kazawadi kadogo hapa. Akasema sawa ila iwe dk moja kweli, yaani kweli akaja na kidera tu hana chupi wala sidiria wala chochote. Alipoingia tu nikafunga mlango, nikashika elfu 20 mkononi, anaiona kiaina, nikachukua condom anaiona, nikamwambia dk moja tusije kubambwa na jamaa yako! Kanabishabisha ohhh kaka sikufahamu. nikamwambia nimebanwa sana, huku nimemkumbatia kanasema ohhh sasa demu wako atatukuta, ohhh sasa jamaa yangu atagundua nishasex nikasema we niachie mi nikojoe wewe usikojoe, akasema fanya fasta. Nikapiga mzigo dk 5 kashatoa goli moja nami nikatoa basi kakachukua buku 20 kakarudi room kwake. Ilikuwa saa 9 alasiri hivi. Saa mbili usiku anasema ameshaagana na jamaa yake, je bado uko room na demu wako? Nikasema nitafute kesho, hapo hapo nikadelete namba. Nadhani naye alipoteza namba yangu hajanitafuta hadi leo.

Mpaka sasa kisa hiki nakifikiria nasema dunia imekwisha, najisikitikia mwenyewe nimekulaje mzigo kizembe hivi japo nimetumia condom lakini hata mtu simjui mimi kwangu ni kituko sijawahi. Nadhani kisa hiki kitanifanya niokoke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii balaaa...!! Itakuwa alikuwa anamsubiri jamaa nae alimbook aisee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…