masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Hahahahaaa Demiss naona mabaharia wamepumzika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa Demiss naona mabaharia wamepumzika
Hahahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Haitakuwa bhana. Mi niko Dar hii Week...Tarehe 24 December nitakuwa Dom.
Mkuu dondosha vitu achana nao hao wanaona wivu tuSalaam Mabaharia!
Nimesikitishwa na response yenu ya mimi kula tunda ktk send-off,eti ni chai.! Jamani haya mambo yapo.
Soon nadondosha nyingine nilivyokula tunda Disko!
[emoji3] [emoji3] [emoji3]SIKU moja ninarudi nyumbani nakuta mwanamke amekaa sebuleni, mzuri kweli kweli, namfuata, nambusu, nikala tunda palepale sebuleni kimasihara, mwanamke huyo ni mke wangu mpenzi.
Mimi Nakupenda Demiss achana nao hao wenye wivuAlafu kwenye comment yangu tu jaman wanajf hawanipendi kiasi hiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nimeamini yeyote anaweza kuwa yeyote...Nyingine hii
Back in days nikiwa O'level Moshi, kuna dem tulisoma nae alikuwa kikojozi sana,mbaya zaidi hakuwa akijipenda na kwao maisha yalikua magumu shule anakuja mchafu, unform zake zimechakaa viatu mtihani, yule dem tulimpa jina la utani "Kimchelee" hili tulikuwa tunalijua sisi wana tu,na tulimpa jina hili kutokana alikuwa ananuka ka harufu flan hivi kama mchele ule unanukiaa, na kama mnataniana mtu akikwambia "dem wako kimchelee"lazima umind hata wasichana wenzake walimtenga!!
Basi bwana,baada ya miaka mingi kupita,mimi nko chuo apo mwaka wa 2,masomo magumu,nina stress balaa napiga Hamza Kanun mojamoja town posta mpya pale,nasikia naitwa na sauti ya kike "chineduu"nikageuka sikuona mtu ninayemfaham nikawaza labda si mimi ukizingatia jina langu ni popular sana, kila nikienda nasikia naitwa tu, mara mtu ananigusa bega kugeuka Aisee!!sikutarajia...
Alikuwa mtoto mmoja mkali vibaya mno, kajaliwa sura, shepu hatari, kavaa uniform za Supermarket moja kubwa na maarufu hapa mjini, ila mimi sikua namkumbuka huyu dem kwa io nkawa sielew kipindi, akaanza za siku, umekuwa mkubwa bla bla bla kibao akawa anaongea yeye tu mimi namtizama, akanambia hakutegemea kuniona hivo nmpe ata 20-30 hivi tukae sehem tuzungumze, kwel tulikaa sehem lakin sikua bado namjua ni nani japo kwenye mazungumzo alionesha kunijua sana!!
Kwa alkil ya haraka haraka nikahisi tulisoma nae, lakini nmesoma mikoa kama 4 hivi tofauti tofauti kwanzia primary-A level.kwenye story akawa anaulizia wanangu nliosoma nao Moshi kwa io nikajua nmesoma nae wap,ila huyu ni nani sina idea,baadae nkamuuliza maswal ya tecnik ambayo majib yake ndo nikajua aaah kumbe huyu ni Kimchelee!! Aisee nilishangaa sana alivyokua, basi story story pale nkachukua namba tukatawanyika ila nilibaki nikistaajabu sana!!
Tuliendelea kuchat nae kawaida tu,na mara nyingi alikuwa akianzisha yeye story,sikua na mawazo ya kumtafuna kwanza alionekana ni wale madem wa tabaka flan hiv,Jumapil moja akanialika kwake Kinondoni,nkamuulza kuhusu shemeji akasema njoo utamkuta hana shida, basi nikaenda kichwani nikiwa na mawazo kwamba natembelea familia ya mke na mume! Nmefika pale nmepokelewa njiani na ma hug mbele za watu adi najisikia soo, maana dem anamwil shepu mzuri alafu mimi dah!!
Tumefika kwake dem amepanga nyumba upande mzima,story mbili tatu nkakaribishwa menyu nmepiga fresh nkamuuliza mbona shem simuoni akanambia kaenda kusoma abroad,bas dem akasema anasikia joto ngoja akajimwagie maji, kaenda karudi aisee Mungu anaumba si mchezo!
Basi dem kaja kakaa pembeni yangu yani 0 distance,japo sebule kubwa, akaanza kuniulizia dem wangu wa o'level nkamwambia aliniacha dem akasikitika kizushi pale me namchora tu, mara ooh sorry nmekukumbusha vidonda wakati nlikuwa normal tu, naona mtu ananikumbatia ananilazia kwenye matiti yake, apo nkaacha uzembe nkajibu mashambulizi pale piga romance ya atari,nkamtenga apo piga sana!! Baadae dem anaanza kulia eti haamini kama kanipata ooh nilikuwa nakupenda tangu O'level ila nilidhan sitokupata kwa sababu ulikuwa unapendwa na wengi!!
Basi niliendelea kujipigia yule dem mpaka bwana ake alivyorudi akamuoa wakahamia Kenya ambako anafanya kazi mshkaji huko, huwa nawasiliana nae mara chache chache sana, na nikiri tu sijawahi kupata dem mzuri kama huyu Tangu nizaliwe!!
Nilichojifunza kwamba unaemdharau leo hii kesho huwezi jua atakuwa nani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipotelea wapi Masai dada ?Hahahahahahahah "eti mtu anateseka kwa umalaya wa mtu mwingine"
Demis kaja kuharibu uzi ni story tuKuanzia hiyo jinsia nyingine ivamie humu, uzi umeanza kuyumba sana. Comments 200 story 2...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hili jamaa linajiita Mama Deborah kumbe dume zima litakua halina malindaUmeona sasa nillichokua namaanisha!!
Yaani kwa kuwa 'umesikia' kwamba baadhi ya wake za watu hutoka nje ya ndoa basi nawe kutwa kucha unajiachia tu kuvuliwa chupi kupanua mapaja unapigishwa katerero weeee ufike mshindo ufurahi.
Aisee, sikujui hunijui...
But serious this is not something mwanamke aliye smart upstairs kuwa 'proud of'
Naona wanaume wanaku kenulia meno tu hapa.
Mie Nakuchana live.
Alafu hili mbona linavuruga uzi hiliWewe mtembeza kengele acha kuzunguka jukwaa....
Hata wewe naamini kabisa mpaka hapa huyu mwanamke akikuvulia chupi umtie buree huwezi...
Na ukiweza condom tatu kwa mpigo zinahusika!!!