mtegemea Mungu
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 290
- 507
Vijikwazo Kwenye ndoa haviepukiki bi shosti...sema cha muhimu ni kuchukuliana tu (I bet you know what am talking about).
Baba chanja kuwa na wivu na wewe hyo ni lazimaa yaani...hv unajijua vzuri...sidhani...nadhani baba chanja anakujua vizuri..Mimi huwa Nina jicho la rohoni..niamini wewe ni MWANAMKE....narudia MWANAMKE...naomba tu umlee baba chanja vzuri mpaka mzeeke wote...si unajua tena kwa wanandoa mara nyingi wanaotangulia kufa ni wanaume (Sijui ni usumbufu wa wanawake???Sijui)
Natamani niendelee kuandika ila ngoja niache tu. Kila la kheri Kwenye ndoa yenu jamani... Mwenyenzi Mungu awabariki sana sana sanaaaaaaaa..
Yeah ni kweli kuchukuliana ndio kila kitu kwenye maisha sababu hakuna aliekamilika! Wote tunakoseana hvy haina haja ya kujikweza na kua mtoa hukumu kwa mwenzio anapokosea.
Huyu baba Chanja anakuaga ba wivu mpk kuna muda hua anajishtukia mwenyewe na kuona aibu anabaki kujisemesha tu "eeh lzm nipanick kila abiria achunge chake nikishangaa ukachukuliwa je[emoji23]" kuna muda unachukia na ww km umekwazika unaishia kucheka tu yanaisha!
Naogopaga sana kufikiria siku ntayoondoka peke yng na kumuacha(kifo) au siku atayoniacha mimi na kuondoka sababu siku zitazobaki zitakua ngumu sana ila Mungu ni mwema nina imani ataendelea kutulinda na kututetea!
Natamanigi niambie wakaka ambao hawajaoa hakuna mwanamke mkamilifu na hua natamani niwaambie wadada ambao hawajaolewa hakuna mwanaume mkamilifu wakilijua hilo itakua rahisi kwao kusameheana na inaweza ikawa sababu ya wao kuishi muda mrefu wa mahusiano na Ndoa!
Nashukuru sana kwa maombi yako mema juu ya ndoa yng nina imani maombi mema km haya ndio yanafanya tuendelee kuwepo na si kwa uwezo wetu peke yetu natamsni kila mtu akae vyema na mwenzi wake maana kiuhalisia maumivu ya mapenzi yanauma sana!
Shukrani mkuu[emoji1431]