Tamuu, nimeipenda mpaka nasiinzia. kwakweri in magu voice
Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂hi ya maziwa nahisi
 
Nimecheka kwa nguvu aiseeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah MTU wangu wa karibu sana sana ilimtokea hii kitu! Au ni wewe?? Ila mshkaji ilimtokea Mara mbili tena kwa mademu tofauti! Kwenye Event ya kwanza nilimsaidia Mimi.....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ustake ncheke. Maana nafikiria hofu na khofu uloyokuwa nayo. Dhakari na korodani zake ziliingia ndani kwa woga. Jasho sijui lilitoka lita ngapi. Yaani naona kabisa ilikuwa ni mchafukoge na mvurugano ndani motima wako.

Nachokiona na kuwa binti hakuwahi kujua orgasm (mshindo/kukojoa) ni kitu gani. Wanaume waluowahi mtumia, walimtumia kama choo. Yaani unafika chooni, unachukumaa, unalenga shimo/sinki, unashusha mzigi, unatawaza na kunyanyuka zako. Hujui iwapo choo kimeridhika au laa. Ulipomkojoza starehe aliyopata iliufanya ubongo usimamishe baadhi ya shughuli ("coma") ili mhusika asijekufa.

Pole Mkubwa ndio masaibu ya mabaharia hayo!

Bazazi

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah MTU wangu wa karibu sana sana ilimtokea hii kitu! Au ni wewe?? Ila mshkaji ilimtokea Mara mbili tena kwa mademu tofauti! Kwenye Event ya kwanza nilimsaidia Mimi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu ipo. Kuna jamaa ilimtokea mwezi wa sita. Kapiga demu mashine ghafla demu kazima. Sema bahati nzuri jamaa alikuwa anajua kuwa demu huwa anazima. Anasema palikuwa hapatoshi wakati mtu kazima. Alishajiandaa kusepa ndo anashangaa mtu anashtuka.
 
Haya mambo yapo aisee. Yaliwahi kunikuta, na pia kuna mshkaji wangu mmoja naye yalimkuta. I can confirm he's not lying.
Nimeyasikia kwa mshkaji pale SUA mwaka 2007. Mshkaji alitoka na Mrs wa mtu mwenye watoto 2 lakini hajawahi kojozwa tangu azaliwe. Alizimia kwa dakika kadhaa na kwa kuwa walikuwa ".nyumba za wenyeji" zile za kujitegemea (self contained rooms), alimwagia ndoo nzima ya maji ndo "akafufuka".

Malawi kuna malaya aliwahi uwa mzee wa watu sababu ya utamu

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee nimecheka mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madomo zege hawawezi kuamini maana kwao kutongoza demu ni mtihani achilia mbali kula kimasihara

Halafu kwani wameambiwa humu kuna uthibitisho wa video kwamba mabaharia tunatakiwa tuuweke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wanawake wachache sana wenye uelewa km huyo mwanamke mwenzangu aliokuwa nao

Sent using i phone x
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…