Wakati naanza tu 2nd year chuo, siku moja nikaingia zangu darasani mida ya mchana naona kuna kamrembo kadogo kadogo, keupe hivi kamekaa siti ya nyuma peke yake. Huwa navipendaga sana videmu vya namna hii, inakuwaje sijawahi kuka-notice, nikasejisemea katakuwa ni container jipya [Wanaoanza chuo tulikuwa tunasema "container jipya limetema"]. Nikakaa kama rows tatu mbele yake nikafungua laptop yangu nikaanza kujisomea huku kichwani nawaza namna namng'oa huyu binti.
Nikajisemea huyu nitumie strategy ya kibaharia inaitwa "jifanye una shida, akusaidie". Nikaamua kukaachia laptop. Nikamfuata nikampa salam then nikamwambie nimeitwa na lecturer mara moja naomba uniangalizie laptop yangu. Akaniambia anaweza akaondoka muda wowote kwenda kula [Nilijua atanipa story za kuondoka hivi karibuni]. Okay, nikamwambia ngoja nikupe namba yangu, incase ukitaka kuondoka kabla sijarudi, nitafute. Akachukua namba, nikamwambia ni-beep ili ukipiga nijue ni wewe. In truth, wala sikwenda mbali, dakika tano tu nimerudi. Asante sana, tushajuana na got her number now.
Kidogo, nikamtext, "Am very sorry, umenisaidia hata jina sijakuuliza, hata kukusave nimeshindwa", akanijibu jina lake. Mimi nikamwambia, una jina zuri but mimi nakubatiza jina abc, [Lilikuwa la kifaransa maana yake pretty young thing - Baharia chukua hii trick, sio unasave mtu Sikudhani, msave pretty eyes, wanawake vitu vidogo vidogo vinawachanganya sana]. Tukaendelea kuchat pale hilo jina maana yake nini, nikamwambie it's for to find out, ame-google akafurahiiii. Moyoni nikasema amekwisha huyu.
Coincidence ikaja, kumbe anakaa na sister yake njia moja na mimi, huwa nashuka kama vituo vinne mbele yake. Nikamwambia jioni tuondoke wote, ila itabidi tu upitilize ukaone ninapoishi; halafu utarudi zako home, akakubali. Jioni hao kwenye daladala, mpaka home [nilikuwa naisha nyumba nzima peke yangu]. Kufika kashangaa nyumba kubwa upo peke yako blah blah blah, lakini mimi sikai. Nikamwambia let me cook something for you huwezi ondoka na njaa. Nikaingia kwa frigde toa mayai kadhaa na sausage, tengeneza spanish omelette yenye sausage ndani, nikamwekea mtoto mezani. Akaniuliza sasa wewe ya kwako ikwapi, nikamwambia usijali mimi nitakula baadae, this is for you baby.
Wakati anakula nikamfuata kwenye dining table, nikazunguka nyuma yake nikakata kipande kidogo, nikapitisha upande wake wa kulia nikamlisha, then nikamkiss kwenye shingo upande wa kushoto. Na yeye akarudisha favor, ila round hii tutapeana french kiss matata sana. Chakula kikawekwa pembeni, nikampandisha kwenye dining table akapigwa kimoja hapo hapo. Tukaingia bafuni, nikalamba kingine; tuakaamia chumbani nikalamba kingine. Tumemaliza, nikaona katoa simu anampigia sister yake atachelewa anaenda kwenye Birthday party ya classmate, na anaweza asirudi. Nikajisemea, mambo si ndio haya.
Kale katoto tuliendana sana, maana kanapenda mashine kama her life depends on it. Ila tulikuja kushindwana na tabia ya kuniganda sana. Siku nyingine nawaletea ya mlokole wa fesibuku