Sitasahau Siku tupo chuo hostel, Demu wa rafiki yangu akaandaa party akaniomba niwe MC hahahahaha
Nikaendesha party vizuri mpaka mwisho nikashangaa nyagi zinaletwa tukazigongaaa mwisho wa Siku mshkaji wangu Akaniambia Leo tunalala hapa hapa..... Akalala na demu wake upande ule upande mwingine kuNa demu Analala chini na mwingine juu (deka) nikamtania yule wa chini atandike kitanda tulale akatandika kweli akaniita tukalala na kulaliana Hahahahaha
Asubuhi yake Kumbe Ana test na yule demu wa rafiki yangu wakawai saa 12 ili wakajisomee test saa 1.
Walivyoondoka tu, nikampandia yule wa juu nae tukalala na kulalianaaa hahahaha Kwaiyo ki utani utani nikajikuta nimelala na madem wawili ambao hatukuwai kutongozana kabla.
One night sex stand😎😎😎
Nikaendesha party vizuri mpaka mwisho nikashangaa nyagi zinaletwa tukazigongaaa mwisho wa Siku mshkaji wangu Akaniambia Leo tunalala hapa hapa..... Akalala na demu wake upande ule upande mwingine kuNa demu Analala chini na mwingine juu (deka) nikamtania yule wa chini atandike kitanda tulale akatandika kweli akaniita tukalala na kulaliana Hahahahaha
Asubuhi yake Kumbe Ana test na yule demu wa rafiki yangu wakawai saa 12 ili wakajisomee test saa 1.
Walivyoondoka tu, nikampandia yule wa juu nae tukalala na kulalianaaa hahahaha Kwaiyo ki utani utani nikajikuta nimelala na madem wawili ambao hatukuwai kutongozana kabla.
One night sex stand😎😎😎