Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mgalatia [emoji1373][emoji1373][emoji1373] nakubali
Mgalatia [emoji1373][emoji1373][emoji1373] nakubali
Wagalatia na mabinti wa KO kama mgonjwa na uji...,nilipataga wangu pia kutoka KO,kuna jamaa nilikuwa nakaa naye cube moja pale chai,yeye alienda kwenye graduation akaniletea namba,tulikuwa tunaongea usiku kucha na hatujawahi kuonana, siku nimemaliza form six nkakutana naye Dar, alikuwa mrembo ila sio sana...., mambo mengine yaliendelea ila now she's married....I miss you F.
Balaaaa saaana nyinyi senzy saaana. Lile li cube lenu lilikuwa la mabraza meni sasa hao jamaa wengi mdio walikuwa wanamiliki mademu sita sita sisi wengine hata connections hatukuwa nazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahuni tupu nawakumbuka kasoro wewe tuu ulikuwa bize na madaftari. Hahah ngoja tusizidi weka code hapaHahaha, nimewamis sana vijana wangu.
Ile cube yetu ilikuwa ni balaa.
Wahuni tupu nawakumbuka kasoro wewe tuu ulikuwa bize na madaftari. Hahah ngoja tusizidi weka code hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaHuyu nafikiri ndio huyo wife anayekusonga...
Dalili zote zinaonyesha
Na kama sio basi hii ni chaiHuyu nafikiri ndio huyo wife anayekusonga...
Dalili zote zinaonyesha
Ahahahahah.View attachment 1309724
Jamani hata wao wana genye!
Ahahahahah.
U cant believe ili huyu manzi ni mtoto wa dada angu aisee..Hatar sana.Home kwao iringa maeneo flan kunaitwa makanyagio karibu na chuo cha Mkwawa.