Miaka kadhaa imepita tangu nile tunda la mdogo wa mke wangu kimasihara.
Tulipokea mgeni ambaye alikuwa ni mdogo wa mke wangu, huyu binti ndio alikuwa amemaliza kidato cha sita na majibu yalikuwa yameshatoka na kwa kweli alikuwa amefaulu vizuri sana akiwa na Division One. Hakuwa mgeni sana hapo nyumbani kwangu kwa maana alikuwa anakuja mara kwa mara kwa dada yake (ambaye ni mke wangu).
Licha ya uwezo mzuri darasani lakini pia alikuwa binti mrembo, mwili wa wastani,kiuno kilichojitenga vyema, tako la wastani, matiti madogo yalichongoka, black beauty fulani hivi, lips pana, dimpoz mashavuni na vimacho vyeupe vilivyochokachoka. Lakini alikuwa muongeaji na mwenye utani mwingi ninapokuwa naye. Sikuwa na wazo kabisa kama kuna siku nitasaliti ndoa kwa shemeji yangu tena kwa binti wa miaka 20.
Binti alikuwa kwenye mchakato wa kuomba chuo hivyo nilikuwa nikimsaidia baadhi ya mambo yanayohusiana na vyuo. Kwa wakati huo tukajikuta mara nyingi tunajadili juu ya vyuo na aina ya ‘’course’’ inayomfaa kulingana na masomo yake na kile anachopenda.
Siku ya tukio, nakumbuka ilikuwa weekend nikiwa natoka chumbani kuja sebuleni majira ya saa 12.30 asubuhi nikapishana naye akielekea chumbani kwake akiwa amevaa nguo ya kulalia (zile zinazoteleza ambazo zinakuwa juu kama gauni na chini zinakuwa na bukta) alikuwa akitoka jikoni alipkwenda kuandaa chai. Aliponiona aliinua mikono na kuibana kifuani ili kuficha maziwa, huku akisema ‘’shem umeshaaamka muda huu, shikamoo’’ , sijui hata kilichonipata maana nilipomkaribia nilipeleka mkono kwenye chini ya mbavu na kumtekenya, akatoa mikono kwenye maziwa na kunizuia nisimtekenye huku akicheka na kunipiga kwa mkono mwingine, kisha akasema nitakusemea kwa dada, lakini kwa sauti ambayo ilikuwa laini bila hasira huku usoni akiniachia tabasamu kali, nikatomasa titi la kushoto, shem akajipinda kisha akakimbilia chumbani kwake huku akicheka.
Niliporudi chumbani nilimkuta mke wangu akijiandaa kwenda kwenye mambo yake na muda si mrefu aliaga na kuondoka. Nikiwa chumbani huku nikiwa bado nawaza nilichomfanyia huyu binti, nikaja kugongewa mlango na shemeji lakini wakati huu akiwa amevaa gauni ndefu na kuniambia kuwa nina mgeni hapo nje. Nilitoka na kusalimiana na mgeni wangu ambaye alikuwa ni jirani yangu, mgeni aliondoka na mimi nikarudi ndani na kumuuliza shemeji kama chai ipo tayari maana ilikuwa majira ya saa mbili.
Shem alijibu huku akicheka eti ‘’niombe msamaha la sivyo sikupi chai na ninamwambia dada’’, japo alikuwa anacheka lakini moyo wangu ukaanza kwenda kasi isije ikawa anacheka lakini akaja akamwambia dada yake. Ilibidi niingie jikoni ili kuchukua chupa ya chai na vitafunwa, nikiwa nipo jikoni shemeji naye aliingia na kuniziba macho kwa nyuma, kwa kuwa tulibaki wawili humo ndani nilijua wazi kuwa ni yeye, nikaanza kupitisha mikono nyuma na wakati huu niliweza kushika maeneo ya kiuno na tumbo, aliniachia na mimi nikageuka nikamkamata na kuanza kumla mate huku nikimpapasa maeneo muhimu. Nikaona shemeji anatoa ushirikiano mzuri na amehamasika vya kutosha, nikiwa nataka nimshushe chupi akaniambia ‘’twende chumbani’’. Tukakototana mpaka chumbani kwake na nikamla binti wa miaka 20 asubuhi ile. Huu ulikuwa mwanzo wa mimi kula tunda la huyu binti, sikuwa na shida ya kwenda naye lodge maana alikuwa anakuja nyumbani dada yake akitoka nakula mzigo kama kawa.
Baadaye alipata chuo na kuhamia hostel japo niliendelea kula tunda kama kawaida kila nilipopata nafasi, nashukuru kwamba binti huyu mdogo aliendelea kumheshimu dada yake. Niliendelea kula tunda la shem kwa miaka yote mitatu aliyosoma chuo, huku mke wangu akiniona kuwa namjali sana mdogo wake na kunisifia sana kwa upendo huo huku mimi nikiwa najilia tunda kutoka kwa mdogo wake.
Iliniwia ugumu sana kuacha mahusiano na shemeji yangu huyu mpaka siku ambayo ilibaki kidogo sana mke wangu akiwa na ujauzito wa mtoto wetu wa kwanza kunifumania na huyu ndugu yake.
Shemeji yangu huyu ameshaolewa kwa sasa.
ANGALIZO:-
Sijisifu kwa kilichotokea
Simshauri mtu yoyote kuwa na mahuasiano na ndugu wa mkeo
Hii ni jambo lililopita kwa sasa nikikutana na shemeji yangu tunafurahi lakini hatukumbushii
 
wewe utengenezewe kabisa sanamu la kumbukumbu liwekwe pale JNIA Terminal 3..mwanangu una uthubutu wa level ya Bombadia
 


Sasa uliendaje kukaa business class wakati una ticket ya economy????
 
Duh ulijifaidia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Tukio ni Bonfire pale Saut
 
Oh my....
Dunia hadaa...
Umenikumbusha jambo....
Mungu atuhurumie.....
 
I Kikwetu hii unajimaliza mwenyewe kwa mana unaimaliza familia yako .
Ndugu wa mkeo tena tumbo moja ni mwiko mkubwa sana na laana itakuandamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…