mica capacitor
Senior Member
- Dec 20, 2019
- 182
- 203
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa asee, tusichukulie pouwa.Nguo zakoo ni Nani atavaaa we
Watoto wako ni nani atalea we
Ogopa ukimwi, ukimwi hauna dawaa
Hicho ni kiitikio cha wimbo fulani miaka hiyo
Eti kikwetu [emoji1787][emoji1787] kwa hiyo huko kwenu ndio mnapangia watu waishi vipi? NonsenseI
Kikwetu hii unajimaliza mwenyewe kwa mana unaimaliza familia yako .
Ndugu wa mkeo tena tumbo moja ni mwiko mkubwa sana na laana itakuandamana
According to who?
Kwahiyo jambo likiwa mwiko kwenu unahisi ni mwiko kwa kila mtu?! Unaabudu mizimu [emoji23]
Haya wewe ambaye hujaandamwa na laana maisha yanaendaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maneno yako yananitisha mkuu!Mkuu huo ndiyo mwisho wako wa kula papuchi nyingine, atakutengeneza ukitoka nje machine haifanyi kazi, acheni kukimbilia walozi
Yani mganga anakuuliza umelalaje wakati alitakiwa ajue? Tena mmeshaunganisha spirits alitakiwa kama mganga kweli awe anaona kila kinachoendelea kwako.
Alafu huyo mganga huenda ni mbibi ama jini ila kajigeuza mmama mzuuuri ili akupate tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unforgetable
Mh
Umeniogopesha mkuu
mh mbona mi naona yupo simple tu kawaida mkuu?Umesha nasa wewe
kutoka kwenye huo mtego si kazi rahisi,umefunga ndoa na shetani,hivi unafkiri shetani anaachika? jipange mzee kama ulikua unataka kuonja tu ujue majini hayaonjeshwi.
pole tena pole sana