Ni matumizi mabaya ya JF kusoma masihara ya watu bila na Mimi kuweka yangu.


Ilikua 2015 natoka kazini, bahati mbaya pikipiki yangu ikaishiwa mafuta ikiwa sijafika pahala niwezapo pata msaada wa mafuta. Wakati natoka nunua mafuta nikakutana na binti makamo ya form 4 leaver hivi anatembea kando ya barabara design kama hana ramani ya aendako (mabaharia wanelewa kuwasoma hao viumbe) na hakuwepo kichwani kama saa moja ijayo anaweza kuwa kitoeo. Wakati nageuka pikipiki nikakutana nae tena akionekana vile vile kuku mgeni. Nikasimama kando na kumsomesha iweje mtoto mbichi anachomwa na jua wakati mie pikipiki yangu sina abiria. Ghafla bin vuu mtoto wa watu akakwea lengo akapewe walau maji baridi popote yauzwapo atuze joto. Break ya kwanza home kwangu (mke wangu alikua mkoa wa mbali nami). Kumbe kweli binti alikua mgeni na alikua anakata mitaa kuujua mjini, na bahati nzuri akakutana na mwenyeji akanitunuku tunda pasipo hata mtongozo.

NB: Sikutaka kumjua jina na wala namba yake ya simu sikuchukua. Mtoto wa kinyamwezi, uwazi wake ulikua vizuri sana. Mwishowe aliambulia Tshs. 600/= ya nauli akarudi kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babilon
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah my ribs
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishi maisha yako ..ukianza kuwaza kuhusu hayo kwa mkeo/Gf basi utakuja kufa mapema bure ....

Tofauti ya mwanaume na mwanamke ipo katika maumbile na baadhi ya tabia ...lakini jinsia zote hizo mbili zina tabia ya kufanana katika mahusiano ..especially katika suala la tamaa ..wote wana tamani (me&ke) wapo wanaopenda kuongonoka na wanaume/wanawake wengi ...wapo wachache wanaopenda kutulia katika mahusiano yao... Yaani maisha ya mahusiano yako very complicated Ukiyafuatisha utakuja kudata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa alikuona wewe ni mbabaishaji ndio maana haja kutafuta tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah mungu anakuona kiongozi [emoji23] mie naogopa hata kusimulia ,huwenda malaika wa adhabu akanishukia
 
Na je ulikuwa na details nyingine, juu ya mahali anapoishi huko London, kazi yake, ndugu zake au rafiki zake na vitu kama hivyo ambavyo vinaweza kukusaidia kujua pa kuanzia kumtafuta ?
Mkuu Emery paper
Kumbukumbu zangu alishaniambia wapo 3 kwao, wakwanza kaka ake yupo paris Ufaransa ni engineer alitaja kiwanda ckumbuki ila wa pili ni dadake ambaye alikua ni daktari Queens hospital kama sikosei ila mji ndo nimesahau yeye ni wa mwisho na alikua pia daktari,pale london na alikua anaishi na mama ake kwani Mzee wake alisha fariki,
Kipindi hicho ujana ilikua shida sikutilia umanaan sana wala kuuliza maswali kwani nilikua na mtu ambaye nilimpenda sana na isitoshe huyo dada nilimla kimasihara,sema swala la mtoto ndo linaniumiza kichwa kila napomkumbuka

Changamoto pia umbali na nchi yenyewe namna ya kufika huko au kama kuna mwana jamii forum anae ishi huko tuwasiliane dada ake anafanya kazi Queen hospital na anaitwa charlotte hudson
 


Pole sana mkuu...hapo kwa kweli kama alikata mawasiliano tu ghafla hata mimi nashindwa kuelewa mkuu Wangu. Sijui hata nisemeje tu ila pole mkuu.

Hakuwa hata na account Facebook...Instagram???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…