Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ni matumizi mabaya ya JF kusoma masihara ya watu bila na Mimi kuweka yangu.


Ilikua 2015 natoka kazini, bahati mbaya pikipiki yangu ikaishiwa mafuta ikiwa sijafika pahala niwezapo pata msaada wa mafuta. Wakati natoka nunua mafuta nikakutana na binti makamo ya form 4 leaver hivi anatembea kando ya barabara design kama hana ramani ya aendako (mabaharia wanelewa kuwasoma hao viumbe) na hakuwepo kichwani kama saa moja ijayo anaweza kuwa kitoeo. Wakati nageuka pikipiki nikakutana nae tena akionekana vile vile kuku mgeni. Nikasimama kando na kumsomesha iweje mtoto mbichi anachomwa na jua wakati mie pikipiki yangu sina abiria. Ghafla bin vuu mtoto wa watu akakwea lengo akapewe walau maji baridi popote yauzwapo atuze joto. Break ya kwanza home kwangu (mke wangu alikua mkoa wa mbali nami). Kumbe kweli binti alikua mgeni na alikua anakata mitaa kuujua mjini, na bahati nzuri akakutana na mwenyeji akanitunuku tunda pasipo hata mtongozo.

NB: Sikutaka kumjua jina na wala namba yake ya simu sikuchukua. Mtoto wa kinyamwezi, uwazi wake ulikua vizuri sana. Mwishowe aliambulia Tshs. 600/= ya nauli akarudi kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babilon
Ni matumizi mabaya ya JF kusoma masihara ya watu bila na Mimi kuweka yangu.


Ilikua 2015 natoka kazini, bahati mbaya pikipiki yangu ikaishiwa mafuta ikiwa sijafika pahala niwezapo pata msaada wa mafuta. Wakati natoka nunua mafuta nikakutana na binti makamo ya form 4 leaver hivi anatembea kando ya barabara design kama hana ramani ya aendako (mabaharia wanelewa kuwasoma hao viumbe) na hakuwepo kichwani kama saa moja ijayo anaweza kuwa kitoeo. Wakati nageuka pikipiki nikakutana nae tena akionekana vile vile kuku mgeni. Nikasimama kando na kumsomesha iweje mtoto mbichi anachomwa na jua wakati mie pikipiki yangu sina abiria. Ghafla bin vuu mtoto wa watu akakwea lengo akapewe walau maji baridi popote yauzwapo atuze joto. Break ya kwanza home kwangu (mke wangu alikua mkoa wa mbali nami). Kumbe kweli binti alikua mgeni na alikua anakata mitaa kuujua mjini, na bahati nzuri akakutana na mwenyeji akanitunuku tunda pasipo hata mtongozo.

NB: Sikutaka kumjua jina na wala namba yake ya simu sikuchukua. Mtoto wa kinyamwezi, uwazi wake ulikua vizuri sana. Mwishowe aliambulia Tshs. 600/= ya nauli akarudi kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah my ribs
Huu uzi ni wa kuheshimu sana na usione watu wanahadithia huku wamekula kimasihara ukajua ni watu wadogo..... kuna waheshimiwa pia wamemwagika stori humu...

Unaweza kukuta mtu ameweka stori huku alikula kimasihara huku huko 90+ akampa mtoto mimba na ww unakomenti... kumbe ww ndio ulizaliwa na aliyekula kimasihara ni mdingi wako....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msomaji mzuri na member wa muda kidogo hapa jamii forum na nimekuwa nikifuatilia matukio , habari na makala mbalimbali humu, bila kusahau nyuzi zinazoanzishwa.

Miongoni mwa nyuzi ambayo napenda kuifuatilia kila siku ni hii hii ya kula tunda kimasihara. Inafahamika wazi kuwa wanaume ndio wanaopenda au kwa hulka wanaamimiwa kuwa hawawezi kubaki au kuwa na mwanamke mmoja. Sina uhakika sana na hoja hiyo lakini pia siwezi kupingana na hoja hiyo bila kuwa na ushahidi madhubiti.

Wakati naufuatilia hoja ya mwanamke kuliwa kimasihara hasa mke wa mtu napata ukakasi na kujiuliza maswali pasi majibu

1 Je manawake nao hawawezi kutulia na mume mmoja?

2. Kama mwanamke ana mume wake ambaye wakati mwingine anamsemea kuwa anampenda Sana,kwa nini sasa mwanamke huyo anachepuka?

3. Je kumpa mwanamke kila kitu anachokitaka itamzuia mwanamke huyo asichepuke?
4. Mwanake uliyeolewa kuliwa kimasihara maana yake kuwa huridhishwi na mume wako au niamini kuwa mwanamke naye anapenda kujaribu?

Najua kuliwa mke ni jambo ambalo mwanaume huwezi kulizuia ila mwanamke mwenyewe anaweza akiamua.Lakini pia kuliwa kumauma.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ishi maisha yako ..ukianza kuwaza kuhusu hayo kwa mkeo/Gf basi utakuja kufa mapema bure ....

Tofauti ya mwanaume na mwanamke ipo katika maumbile na baadhi ya tabia ...lakini jinsia zote hizo mbili zina tabia ya kufanana katika mahusiano ..especially katika suala la tamaa ..wote wana tamani (me&ke) wapo wanaopenda kuongonoka na wanaume/wanawake wengi ...wapo wachache wanaopenda kutulia katika mahusiano yao... Yaani maisha ya mahusiano yako very complicated Ukiyafuatisha utakuja kudata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu akanyambasira
tulikua tunawasiliana sana kwa email,hata picha alinitumia kwa email,toka tumeachana simu alisha nipigia kama mara 8, lakini sikua na umakini hata wa kuiandika sehemu ,changamoto za simu unazijua kuna kipindi nilipoteza simu nikapoteza na mawasiliano cha ajabu hajawahi nipigia tena na kuhusu email namtumia sana lakini hajibu,hata last month nimetuma lakin hazijibiwi,kipindi tunatoka Rubondo nilimpeleka mpaka home sa najiuliza nini shida toka 2013 kwa nini asinambie najiuliza maswali mengi sana na kuna hali flani kama inaniumiza sana kimawazo
Atakuwa alikuona wewe ni mbabaishaji ndio maana haja kutafuta tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka kadhaa iliyopita nikiwa Mtwara, kipindi hicho kiwanda cha kuzalisha theruji Dangote ndiyo kinaanzishwa nilikula kimasiara demu mmoja hivi alikuwa anapika mama ntilie mchana kweupe kama mita tano tu kutoka kwenye barabara kuu Mtr-Lindi.

Twende hivi; Ilikuwa ndiyo mara ya kwanza kabisa kula kwenye hako ki grocery, kulikuwa hakuna wateja wengine tofauti na mm. Kusema kweli katka harakati za kunihudumia yule dada aliichanganya kabisa akili pindi alivyonipa mgongo, nilikuwa na nakula lakin akili yote inawaza nifanyaje ili huu mzigo niuchakate.

Nilivyomaliza kula nikainuka kumfata huko huko kwenye kikaunta uchwala kuna kama kichumba hivi cha kizushi, mm huyo vuuu!! Alishtuka lakini nikamwambia lerax nimeona nikuletee huku huku pesa yako mtoto mzuri kama wewe hutakiwi kuinukainuka.

Alitabasamu akasema, haya nipe hiyo hela, ile anapokea pesa nikamshika mkono nikamvutia kwangu faster nikapitilizisha mdomo sikioni nikavuta upepo sikioni kama vile mtu anakunywa chai ya moto, asee demu alisisimka kama kapigwa shoti sijui labda pengine ilikuwa mara yake ya kwanza kwake kukutana na pigo hizo!!

Demu aligeukia mlangoni kuangalia kama kuna mtu anakuja akaniambia huwezi kunitia genye halafu utoke hivi hivi, nikafungua tu zipu wala sijahangaika kushusha suruali nikaweka mate faster paipu hiyo ndani. Piga dog style halafu mungu saidia hakuna mtu aliyekuja nasikia tu watu barabarani huko wanapita.

Kuanzia hapo nikawa nakula bure ila mara moja moja napigwa vizinga, nikikaa na kukumbuka hilo tukio huwa nacheka kabisa nilipata wapi ujasiri wa kupiga show eneo la mkusanyiko tena mchana.

God save us.







Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mungu anakuona kiongozi [emoji23] mie naogopa hata kusimulia ,huwenda malaika wa adhabu akanishukia
 
Na je ulikuwa na details nyingine, juu ya mahali anapoishi huko London, kazi yake, ndugu zake au rafiki zake na vitu kama hivyo ambavyo vinaweza kukusaidia kujua pa kuanzia kumtafuta ?
Mkuu Emery paper
Kumbukumbu zangu alishaniambia wapo 3 kwao, wakwanza kaka ake yupo paris Ufaransa ni engineer alitaja kiwanda ckumbuki ila wa pili ni dadake ambaye alikua ni daktari Queens hospital kama sikosei ila mji ndo nimesahau yeye ni wa mwisho na alikua pia daktari,pale london na alikua anaishi na mama ake kwani Mzee wake alisha fariki,
Kipindi hicho ujana ilikua shida sikutilia umanaan sana wala kuuliza maswali kwani nilikua na mtu ambaye nilimpenda sana na isitoshe huyo dada nilimla kimasihara,sema swala la mtoto ndo linaniumiza kichwa kila napomkumbuka

Changamoto pia umbali na nchi yenyewe namna ya kufika huko au kama kuna mwana jamii forum anae ishi huko tuwasiliane dada ake anafanya kazi Queen hospital na anaitwa charlotte hudson
 
Mkuu akanyambasira
tulikua tunawasiliana sana kwa email,hata picha alinitumia kwa email,toka tumeachana simu alisha nipigia kama mara 8, lakini sikua na umakini hata wa kuiandika sehemu ,changamoto za simu unazijua kuna kipindi nilipoteza simu nikapoteza na mawasiliano cha ajabu hajawahi nipigia tena na kuhusu email namtumia sana lakini hajibu,hata last month nimetuma lakin hazijibiwi,kipindi tunatoka Rubondo nilimpeleka mpaka home sa najiuliza nini shida toka 2013 kwa nini asinambie najiuliza maswali mengi sana na kuna hali flani kama inaniumiza sana kimawazo


Pole sana mkuu...hapo kwa kweli kama alikata mawasiliano tu ghafla hata mimi nashindwa kuelewa mkuu Wangu. Sijui hata nisemeje tu ila pole mkuu.

Hakuwa hata na account Facebook...Instagram???
 
Back
Top Bottom