Dah! Nami nitoe moja ya tukio la ulaji tunda kimasihara lililonitia presha, uzi umenishawishi.
Mwaka flan hv nlikwenda na mshkaj wang mitaa fulani hv mjini hapa kupunguza stress kdogo. Tukiwa kule tukawa twajichanganya na watu kadha wa kadha, ile kuenjoy na kufahamiana. Ghafla tukakutana na gals flan hv watatu, ambapo mmoja wao (tumwite T) alikuwa anafahamiana na mshkaj wang huyo. Basi wakasalimiana pale, halafu wakatutambulisha.
Baada ya hapo wakawa wametu-join, tukaisherehekea cku yote ile pamoja. Akilini sikuwa na wazo la kutaka tunda wala nn! Ila ktk maongezi pale madem walikuwa kama wananipiga macho ya kiwiziwizi hv, ntajua ni kutokana na uvaaji wangu wa siku ile (nisiseme sana wanaweza kuwa humu). Basi nkachukulia poa tu. Ilivyofika wakat wa kusepa tukawapa mwaliko, kwamba next time tuende wote mitaa ile. Basi tukabadilishana contacts pale, then tukasepa. Baada ya kufika home nkamsms T kujua kama wamefika home salama. Akajibu bado, ila atanijuza. Na alifanya hvyo.
Basi zikapita kama wiki kadhaa hv bila kuwasilisha kiviiile, just salamu tu na comments za status! Siku moja hv nkapata mwaliko wa party flan hv. Nkawaza nimwalike nani, basi ile kucheck WhatsApp nakuta kacomment kicheko ktk status. Nkamjibu "[emoji28][emoji28] Twende kwa party jioni, kama uko free. Dress code iwe anything nice". Akadai yuko job na hana uhakika wa kuattend, ila ataangalia. Basi nkapotezea. Mida ya saa 12 jioni naona msg, "naja, ila ntachelewa". Nkampa address ya location, mida ya saa mbili tatu hv mtoto huyoo.
Alikuwa katupia kigauni flan hv cha pink cjui ile, kilikuwa kimemkaa vzuri sana. Kifuani ana maembe dodo yamesimama yana-point mbele hv, bila side-ria! Kamwili kake easy-to-carry hv, c unajua tena maumbo ya early 20's. Kiufupi alikuwa kadamshi. Tukaingia kwa party, nkawa namtambulisha kwa washkaj kawa rafiki tu. Basi tukawa twala na kunywa. Mm huwa situmii kinywaji, yeye alikuwa anapiga! Nadhan alipiga lite kama mbili tu hv, ila alikuwa poa tu. Imefika night kali nkamshtua dem tusepe. Nkamwulza anakokaa, duh, mbali kidogo, basi nkamtell twende home, kuna spare room atalala asepe kesho yake. Dem akakubali, tukasepa hadi kitaa.
Kufika home nkamkaribisha ajickie nyumbani. Nkampashia maji moto pale, nkamwekea bafuni. Nkamwandalia taulo, nkamwita achange nguo. Basi akaja hadi nlipokuwa, in my room, nkatoka kumpa faragha. Hapo kichwa cha chini ndo kikaanza kuwaza na kuwazua! Dem katoka bafuni na towel tu kifuani, halafu fupi vipaja chocolate laini hv nje! Ebana weee! Udenda ukanitoka. Nkajikaza kama sijaona vile. Basi nami nkaenda oga, ile narudi nakuta dem kashajilaza bed na kajifunika shuka. Mmmh! Nami nkapanda, kila mmoja upande wake.
Nusu saa ucngz hauji, lisaa hili hapa! Mashine iko hewani hapo hadi mapigo ya moyo nayasikilizia kule. Nkalala kwa mgongo, tukawa tumesogeleana kidogo. Dem nae akajisogeza hv kama yuko ucngzn akanilalia kifuani. Alikuwa wa moto ile mbaya. Nkazungusha mkono nyuma yake nkawa nafanya kama kumbembeleza flan hv mgongoni. Kumbe ana genye hatariiii. Akaanza kuhema hv kwa nguvu, nkasema ooohooo, hii ishakolea hii! Ndani ya dakika tano mtoto kanilalia mzimamzimaaa, yaan kanipanda juu yangu hv kanyooka, mm mikono inasabahi kila kona ya mwili wake laini ule, huku nami nikihema taratiiibu kwenye shingo yake na bega!
Alishindwa vumilia, akaja kwa lips kupata kiss. Ebana lips zilikuwa soft zile, nlicheza nazo ka dakika tano hv, mtoto hoiii. Sasa hapo ndo nkasema huyu karidhia huyu, sasa ngoja nimpagawishe vzuri. Na kwa vile alikuwa easy to carry bas nlikuw namfanya ka mdoli vile. Nkamgeuzia chini nkamlaza kifudifudi, chezea sana mgongo ule, tembeza ulimi hadi shingoni! Kumbe shingo na masikio ndo ugonjwa wake! Alikuwa anahema kama afa vile! Nkatoa lock ya side-rea kwa nyuma, then nkamgeuza chali, mtoto hoiii, mikono yanishika kifua mara mashine mara kiuno ananivutia imoo! Kichwani nkawaza hapa ndo kwaanzaaa kumekucha bibie, muda wa hilo bado saanaa. Nkamshika miguu, nkamvuta hv kwangu akaja mzima mzima, nkakunjia miguu yake kiunoni halafu nkaelekeza mashine juu ya papuchi yake, hapo pichu hajavua na mm boxer iko on! Nkamkunja nkaingia kifuani cheza saanaa na dodo zile. Hapo analia tu "please please I want it please." Busu sana kifua kile, shingo, mbavu, vipaja vyake laini, huku mb.... ikisuguasugua k juu ya pichu ile, alilowa kwelkwel!
Nkaona sasa tuanza shughuli! Nkamnong'oneza nachukua zana, akagoma, nkamwambia hapa bila zana hakuna game! Nkanyanyuka, vaa zana, nkamvuta tena toka bed, nkambeba juu hv kama kanishikilia shingo, miguu kazungusha kiunoni, huku mm nkimshikilia kwa bootie. Akadai aogopa ataanguka, nkamtell as long as hataachia shingo atakuwa salama. Anakubali. Basi nkamshikisha dudu, nkamtell ajiingizie mwenyewe. Kaishika huku anahema, kailengesha imoo, taaratibu kitu kikawa chazama jotoni mule! Ebana alikuwa na k....a tight yuleee, ilikuwa mnato khatariii. Kitu kilivyozama vzuri akaanza makeke pale, ile panda shuka zungusha katika alikuwa anaongea vitu gani cjui. Hata dakika tatu hazikufika naona mtu anaanza kushake, mara huuyoooo kaniachia shingo, anatetemeka ka kifafa now, mzimamzima akawa anaanguka! [emoji2303]
Ebana sikuwahi panic ktk game kama siku ile! Bahati nzuri ckuwa mbali na bed cjui hata nlirukaje mbele nkamng'ang'ania hadi akatua bed pwaaa! Moyo ulienda resi, nkawaza hv angepiga chogo chini ingekuwaje! Anyway, alikuja zinduka baada ya dakika hv, show ikaendelea. Akataka style ileile tena, nkamtell this time kwa bed, ctak kesi! Nkambeba tena nkiwa kwa magoti. Ile style aliipenda sana, ilikuwa yamkuna vzuri eti (alikuja nambia baadae), kufika wala haikuwa inamchukua muda sana! Cku ile ilipigwa show tam sana. Mtoto anato....na yule khatari! Asubuhi yake baada ya breakfast, akadai twaonana lini tena? [emoji28] Nkamwambia wajua nilipo. Bas tangu cku ile ndo ukawa mchezo wetu.
Wadau wa Dar poleni kwa mvua! Kila mmoja achukue tahadhari stahiki.
Sent using
Jamii Forums mobile app