Dah! Kwa hiyo hamna kitu kama kula kimasikhara, pre-arranged!
 
Kula kimasihara, hii sijawahi aisee, sijui nakwama wapi. Jmosi nimeikosa moja kimasihara. Nitaiwekea mikakati madhubuti. Niko capital city, last saturday nilienda Hospital Aga khani nilikuwa nina miadi na Tabibu kuna pisi moja nahisi tulielewana nayo, eye contact kila baada ya dakika tano kutokana na uwepo wa watu wengi pale na foleni za Hospitali nilishindwa kufurukuta.
We dada uliyekuwa Aga Khan Dodoma tarehe 25/01/2020 mweupe, umesuka rasta, skin jeans blue na sweater jeusi ninakutafuta.
Be warned!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…