Kuna mama mdogo mmoja wa demu niliyekuwa nakula kula aliniomba aje apajue ninapoishi, nikampa ruhusa basi wikend moja mama mdogo huyo kapanda basi kutoka mbezi hadi jet lumo nilipokuwa nimepanga.

Nikaenda kumpokea nikampitisha kwenye supu ya utumbo tukapiga break fast kwanza maana alikuja kama saa tatu asubuhi kisha tuka jongea maskani, basi kufika maskani tulikaa tukipiga story huku tukichek movie hadi jioni, kwa kweli alikuwa mzuri kuliko mwanae ila sikuwa na jinsi ilinibidi tu nipige moyo konde tu nivumilie.

Kama saa 11 jioni nikaagwa maana mbezi mbali na kuna foleni sana atachelewa kufika. Basi mzee nikamzingua kidogo kwani si ulale leo ukipe baraka kitanda changu, hata sijajibiwa ila nikaona kama nimeeleweka mara kuja kustuka saa 3 usiku, nikaenda kutafuta msosi tukala, usiku nilijilia tosha yangu, hadi leo naendelea kujilia wote, mtoto alishashajua tayari ila nae anajidai hajui kitu.
 
Mie mwaka jana nilihaidiana na demu kukutana lodge flani kwa mtanange, nikawahi pale na kulipia kabisa 20k subiri na kusubiri wapiii kumcheki kwa hewa kazima simu

Nikaenda mapokezi kudai hela yangu hata nusu katika kuongea si nkamwambia twende na ww(dada wa mapokezi) nkafidie hela yangu wacha aniambie tangulia nakuja

Ndo ikawa mwanzo wa kula tunda kila nkipata genye.
 
Si unanijibu tu hata PM, we sema tu tu evalute hahaha kwaio kutokua na C hakujaleta tija yoyote ile kimaisha enh maana wenye B na kuendelea GPA zai hua zipo mitaa fulani
Nimesema sikuwa na C? Utakuwa umenisoma vibaya mkuu
 
Daa ila kitaa nimewamega masista duu kibao kisa mtoto wangu wa kike, ni mrembo balaa, nilikuwa napenda sana kutembea nae pamoja na kutoka nae outing bila ya mama yake, wakimshobokea tuu na mm ndio nilikuwa natua fursa.

Wakiulizia mama ake nawaambia naishi peke yangu na binti wa kazi tuu. Wife alikuwa hajulikani mtaani coz nyumba karibu zote zina mageti na yy hushinda ndani au kwenda job, hakuna na rafiki mtaani. Ila dogo alikuwa hasemi kwa mama ake.
 
Daah, juzi juzi tuu September conference wazee wa sup mnaelewa.

Kuna mtoto mmoja Ali ni DM whatsapp kuwa anatafuta mtu wa Ku discuss nae Accounts, Mwanaume nikakubali nikamwambia tomorrow nitakuja kwako tudiscuss yule manzi akasema kwake hana meza, mzee nikachukua fursa mapema nikampanga aje kwangu kama nini coz getto mm na meza na vitu.

Viti nikapeleka kwa getto lingne kwa wana nikabaki na meza, koo kitanda kikawa kama ndo kitii, demu saa tano asubui yupo getto. Mzee tukapigapiga pindi mbaka saa nane mchana.

Mara manzi anahisi njaa mzee faster 7bu nilikuwa na unga pale nikasonga ugali mmoja heavy, mzee mboga nikafuta kitimoto njee pale. Tukale sasa baada ya kushiba pale ndo michezo michezo ikaanza mtoto alikuwa mkali mzee, kiutani utani nikala mzingo daah.

Kuja kutoka nje ngoma mbili usiku hio hapa haaah manzi mbona alitoboa mbka asubui ,
 
Na kanyewe huko mbeleni katamwegwa kimasihara sana katakua hakakazi kamba ukitupia tu imo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] umetishaa,kimasikhara babu wa watu ukala matunda[emoji1] [emoji1]
 
Jodeo vs. feysher soon watafungua pazia kwa kufanya practical za uzi huu! ngoja niwafuatilie kwa ukaribu.
[emoji23][emoji23][emoji23]siku hizi kila nikiona pisi kalii naona kabisaa kumlaa kimasiharaaa inawezekanaaa...
 
Sijaiona walioliwa kimasihara
Naona waliokula kimasihara tu
Hii nafananisha na shule kila anaehadithia utasikia nilikuwa enzi zangu Mimi ni wa kwanza tu
Zaidi utapata wa pili au watatu
Mbona sijasikia mtu wa mwisho au humu madarasani hakuna wa mwisho?
 
DAH SALUTE ..katika zooote hii kiboko yani shikamoo ulikula zali yani umetishaa
 
Hata mleta uzi amewataka wasimulie waliokula sio walioliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…