JBourne59
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 946
- 8,640
Inategemea na hali ya hewa sehemu ulipo, kama ni sehemu za baridi, tumia maji ya uvuguvugu, kama ni sehemu za joto tumia maji yaliyokaribia sawa na joto lako la mwili, utapima kwa ngozi ya nyumabya kiganja.nioge maji ya barid au yamoto?
na je nafasi ya tenda na tendo ni muda gani maana mim nikimaliza tendo nakaa hata zaid ya masaa mawili ndo napata ashki tena au nisipate tena mpaka baada ya hata ya hata masaa6
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hakikisha upo sawa kisaikolojia kabla ya tendo, kama haupo sawa bora usifanye kwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuaibika.
Mwenza pia huweza kuharibu ama kuongeza ashki ya tendo...
Kuna wenza wwngine huwa na maneno ya kuudhi, kukatisha tamaa ama kuleta mada 'isiyohusu' wakati wa tendo...
Kitu kingine ni usafi wa wote wawili, lakini kwa jambo lako, mwenza lazima awe msafi mwili na mavazi, asiwe anatoa harufu yenye kukukera pia...
Jambo lingine ni ushirikiano wa mwenza, akiwa ana bidii na sauti za mahaba (hata kama ni za utamu wa uongo) inasaidia kukupa morali...
Ubora wa papuchi nao unachangia sana...
(Hii ni topic kabisaa, inahitaji uzi), sanjari na ukubwa wa dushe vs uwezo wa kulitumia
Jitahidi kufanya tendo na umpendaye (inasaidia sana kwenda mara nyingi)
Baada ya goli la kwanza, usiwe na papara ya kutaka uanze la pili, na kufanikisha hili jitahidi mwenza afike kabla yako kwanza kwenye round ya kwanza...
Kisha ongea naye mazungumzo romantic, hapo mkiwa tayari mmesha jimwagia maji, fondling, caressing zinahusika sana, taguta nywila zilipo, wengine wana password zaidi ya moja (kama Hamida wangu, nilidhani ipo shingoni pekee yake kumbe.... Simukizi yake inaendelea jukwaa la Entertainment fuata link hiii Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"
Jitahidi kujaribu jambo jipya kila mara, usiache kumuangalia usoni mara kwa mara, usizime taa. Jaribu pia mida tofauti na mazoea, na location etc)
Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"
UHUSIANO WANGU KIMAPENZI NA HAMIDA Utangulizi. 'Mama watoto' aliridhia mimi kuandika simulizi hii kwa masharti. Moja ya masharti nijitahidi kutoacha mlango / milango wazi itakayoruhusu watu kuunganisha dots... Masharti mengine kwa kuwa ni sehemu ya codes, sintoyaeleza. Hivyo katika simulizi...
James Jason