Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hahahahaaa here we gooooooo!

Nimepata likizo ya kikazi na kuamua kurudi home kwa wazazi kuja kuwajulia hali baada ya mwaka mzima wa kutoonana.

Hapo mtaani ikatokea nikazoeana na msela mmoja ambae anamiliki stationery, kuna time nikawa naenda pale stationery kwake kupiga stori, mpaka ikatokea nikazoeana na baadhi ya wateja wake wa mara kwa mara.

KULA KIMASIHARA ILIVYOANZA

Mida ya mchana alikuja mteja mmoja wa kike ambae tulishazoeana, ni binti mwenye msambwanda wa kutosha, kimo kirefu na macho malegevu.

Jamaa yangu wa stationery aliwahi kuniambia anavyomzimia huyo binti na anatamani amtafune.

Sasa binti alivyofika, akampa jamaa kazi ya kutype, kisha akaketi kuisubiria huku tukipiga stori za hapa na pale. Binti alionyesha kila dalili za kumzimia yule mshikaji, mimi nikawa nachombeza na tumaneno tudogotudogo kumsukumia zigo jamaa ili lengo lake la kumtafuna litimie.

Binti akamuuliza mshikaji, hivi unapenda wanawake wa aina gani? Jamaa akajibu sifa tofauti na alizokuwanazo binti.

Usoni binti nikamuona jinsi alivyojishushua mwenyewe kimoyomoyo. Akakata stori na kupiga kimya. Jamaa akaendelea kutype.

Nikavunja ukimya na kuongea na binti, nikasema "Ile nguo uliyovaa jana, ilinipa tabu sana, ungekuwa single kama mimi, ningekutongoza"

Nikweli jana alivaa nguo ya mpira, so na ule msambwanda, ilikuwa balaa.

Baada ya kumwambia hivyo, binti akatabasamu na kusema inaelekea upo tofauti sana na huyu zuzu hapa, huku akimpiga ngumi ya bega yule mshikaji anaetype. Wote tukacheka, kisha binti akaniambia, naona uvivu kwenda dukani kule kuchukua vocha, Una 2000 kwenye simu?
Nikajibu ndio
Unatumia mtandao gani?
Tigo na Voda
Nitumie muda wa maongezi wa 2000 kwenye tigo.
Akanitajia namba yake nikamrushia, akafunua cover la simu alikuwa ameweka elfu 12, akanipa 2000 stori zikaendelea mpaka kazi yake ilipoisha kutaipiwa na kuprintiwa akaaga na kuondoka.
Baharia nikasave namba yake ile ya tigo nikatulia.

KULA KIMASIHARA ILIVYOJITOKEZA
Siku hiyohiyo mida ya saa moja usiku nikiwa home naona text kutoka kwa yule mrembo, ukowapi?
Nikajibu "nakuja kwako, nielekeze"
Text inaingia, full direction.
Nikakurupuka chapuchapu, unyunyu nini, buti tatu, futa la maji(kama nikikuta k ni zile za kiangazi, namwaga futa nateleza), lesso, pitia dukani beba maji kubwa. Shoto kulia mpaka nikafika alikopanga, single room ina self.

Hodi, karibu. Nikaingia ndani, Binti ndani ya khanga moja, nikatanua mikono kuonyesha ishara ya kutaka kumkumbatia, akatabasamu na kuja kunikumbatia, mkono wa kulia nilikuwa nimeshika maji kubwa, so ukabaki juu juu mgongoni, huu wa kushoto ukashuka hadi kwenye lile tako ukatua ndiiii. Lahaula, zigo kubwa laini balaaa. Na nilibaini hata chupi alikuwa hajavaa. Tukiwa bado tumekumbatiana nikaanza kuyaminyaminya yale makalio kwa sekunde kazaa kabla sijaambiwa karibu uketi. Huku akijitoa kwenye lile kumbatio, nilichokifanya ni kuweka maji chini, nikamvuta tena kwangu na kuunganisha ndimi zetu, akaudaka ulimi wangu na wakati mwingine akanipa wa kwake, alitoa mihemo flani hivi ambayo ilizidi kunipa mzuka zaidi, mara tukajikuta tumedondokea kitandani, minyonyano ikaendelea, khanga tupa kule, nikavua tshirt yangu nikabaki kifua wazi, kucheki k kipara, nikapima oil na smell kwa kidole, nikakuta ni grade one, nikazama chumvini, ana simi kubwakubwa hivi, nyonya tekenya kwa dakika 20 hivi akamwaga maji mengi hivi huku akilalama unaniuaaa, miguu yake ilikuwa inatetema hatari, huku akiwa kainyanyua juu na kufanya mapaja yachezecheze wakati akitetema, sasa nikavua suruali na kuchukua buti kisha nikamuomba anipe doggy, bwana bwana, nani kasema vibonge hawapigi miunooooo. Piga tako za kutosha huku nikichagizwa na mneso wa matako yake laini na vilio vya mahaba. Ama kwa hakika binti alikuwa fundi mno. Ilinichukua dakika 15 kupiga doggy, nikamwambia aje nimpakate, nikakaa kwenye kitanda miguu chini, akaja kwa juu na kuendelea kupiga miuno, alivyolaini hata huhisi uzito aisee ni mustarehe tu. Uvumilivu ukakata baada ya dakika 15 nyingine baharia nikatia nanga.

Wote hoi, akaniambia nilikuita uje ule chakula nilichopika, wewe umeanza kula mpishi, haya ngoja nikupakulie sasa. Tukacheka, tukala wote msosi, kisha tukalana tena mara mbili zaidi, saba kasoro usiku huyo nikageuza kurudi home bila buti hata moja.

Kwa mimi kurudi mida hiyo home sio ajabu, wazee wanajua natoka kucheki mpira.

Nikaingia ndani, nikachukua chakula nilichowekewa nikazama nacho chumbani kwangu.

Kuanzia siku hiyo ikawa nimtafunano mpaka likizo ilipoisha na kurudi mkoani kuendelea na kazi.

Jamaa yangu wa stationery anasema binti kila akifika stationery anamwambia anamiss uwepo wangu pale, kwakuwa sikuwahi kumwambia kuwa nilimla basi nikamwambia kula zigo hilo ataacha kunizungumzia, ila moyoni nilijua hawezi kumpata kwa maana binti nilishamjaza sumu kuhusu yeye.


Hahahahahahaaaa
Iamokay
Negotiator out.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu umezama chumvini zaidi ya dakika 20 alafu kutiana unavaa buti ili kujikinga na nini sasa mimba au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakufika 12 aliishia 8 Tupo makini mzee tunafuatilia kimya kimya.
Halafu maajabu kwenye majukwaa mengine huko watu wanaupondea sana huu uzi, Wanajikuta wenyewe ni civilized Mofos yaani, Dunia hii zaidi ya ngono kuna starehe gani nyingine?



Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahah..hawajuibkuwa watu na heshima zao wameweka kambi hapa Na wamesaini kabisa kwenye kitabu cha mahudhurio na matukio japo kwa ID zingine.
Achana nao
 
Napenda sana uandishi wako!
Upo vizuri sana, tena sana.

Ukipata muda, anzisha uzi wenye kichwa cha habari "HOW I MET MY WIFE"

Kuna vitu vya kujifunza vingi kwa vijana wanao chipukia.

Mimi tayari nimeanzisha uzi wenye kichwa cha habari kama hicho kwa maudhui ingawaje nimeandika "UHUSIANO WANGU KIMAPENZI NA HAMIDA"

------

Nakupa kongole nyingi kwa uandishi usisimuao.

James Jason

Hii tunaita ''Real Recognizes Real''
Tripple R
 
Sijawahi kulika kimasihara...nenda ukanitag
We danganya tu. Anyway kwanza umenifurahisha kusema wazi mwanamke analika. Sasa iko hivi, unaweza kuwa wewe unamwazia mtu hafu mkalana ki simple tu wakati kuna mtu kila siku unamtukana yaani hata sms yake hutaki kuiona lakini akija unayemtamani unaachia goli bila nguvu ya ziada.
 
Huu uzi kwa wale mnaojiita mabaharia sijui wazes wa 4 g mkausome muone nini maana ya mapenzi wallah nilishawahi kusoma mirejesho mingi sana humu JBourne59 umenikuna kunako kwa uandishi,maudhui mpaka mtu wavuta hisia kweli kuna watu mmejaliwa kongole nyingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu kuna watu wana kipaji cha kusimulia kama huyo mdau, tukio linaweza kua lilelile tatizo jinsi ya kusimulia stori yenyewe, kwa hiyo usiwalaumu mabaharia maana sio wote wenye vipaji vya kusimulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The continuing story of how I met my wife.

Ile life story ya boss Rona kwa kweli ilinihuzunisha sana, ikawa sasa namuona kwa jicho tofauti kidogo. Mwanzo ilikua tu someone I enjoy making love to, maana niwe muwazi, sio kuwa nilikua nimefall in love nae, lakini pia sio kuwa nlikua simpendi.

There is a way she made me feel that I really liked, and no woman before had made me feel. She made me lough, she made me happy, nlipenda namna anavyojiachia akiwa na mimi, sometimes akiwa kwangu hata kama hatufanyi mapenzi atavua nguo na kubaki na chupi na sidiria, atakaa hapo mnapiga story mara ainuke aanze kucheza mziki (hii style ya kucheza kwenye wimbo wa Rayvanny wa Teamo yeye alikua ananichezea kitambo sana) and most of all, I loved the way we made love.

Zimepita wiki kadhaa tangu anisimulie mkasa wa maisha yake, and to be honest I sometimes felt guilty. Yaani ile kujua kuwa ameolewa na KM ilikua inanipiss off sio kitoto. Ikanipa mawazo pia ya kutafuta mpenzi sasa ambaye atakuwa wangu mwenyewe. Lakini nani sasa. And kama nlivyowahi kusema, nlikua na standards zangu, yaani mpaka nimedate na msichana lazima akidhi vigezo vyangu.

Pale ofisini kuna dada nliajiriwa nae kipindi kimoja, kama mtakumbuka nlimtaja kwa jina lake la ubini Lyamuya. Lyamuya alikua sio mbaya ila ni wale wadada ambao kutwa kucha misketi mirefu kama mfuko wa mashine ya kusaga, akibadilisha ni magauni ya kumpwaya tena ya mtumba.

Kwa wanaume wanaotafuta wife material ladies, Lyamuya anafaa. Na kwa kuwa na mimi nlidhamiria kutafuta mwenzi wa maisha, nikasema ngoja nione kwake, huenda akanifaa. Ingawa kiukweli sio aina ya wanawake wanaonivutia kwa hurka yake na jinsi anavyojiweka, nilijipa tu moyo kuwa nitampiga sop sop nimbadilishe aendane na mm. maana sura walau alikua nayo.

Basi mazee, nikaanza kumpa attention ofisini, mara nimtanie, mara nimsifie, nikaanza kumpigia simu night, kumtumia msg za goodmorning. Hii yote nilifanya ili kwanza nimpe idea ya nnachotaka. Hata haikuchukua siku nyingi, nikaona yeye ndo anaanza kunipa attention sasa. Ila yeye alivyoanza kujaa kwa kasi, moyo wangu ukawa kama unaanza kurudisha majeshi nyuma, maana nlikua nikimuona alivyovaa stim zinakata kabisa.

One day muda wa lunch nakumbuka alisuggest tukale wote, wakati tunapata msosi nikajikuta nimecomment kuhusu pilau nliyokua nakula. Haikua imeiva vizuri. Basi Lyamuya akaunga mkono pale na kunialika kwake ili nikale pilau iliyoiva vizuri. Ngoja niwape siri wazee, demu akikualika kwake kwa sababu yoyote ile, hiyo ni mualiko wa kwenda kumbanjua, sasa kama na wewe umemuelewa demu, au unataka kweli kumla, wala usivunge kubaliana na siku na muda aliopendekeza. Ila kama huna mpango wa kumla, tafuta kisingizio cha kumkwepa hasa kutumia siku au muda aliosuggest. Kwa mfano kama humtaki sema tu kuwa jumapili kuna mshkaji nlimuahidi kumsaidia issue flani, then unasuggest jpili inayofuata. Hapa dem ataelewa kuwa amekataliwa kistaarabu. Turudi kwenye story sasa, kidogo nikwepe mwaliko, ila nikajikuta nimekubali kuwa jpili ntaenda kwake.

That Sunday nikapiga pamba safi, unyunyu kama kawa nikapuliza, then huyooo mpaka mitaa anayoishi Lyamuya. Kanielekeza pale mpaka nimefika kwake. Lahaula! Namkuta amekaa kwenye ngazi za kuingia ghetto kwake, amevaa mijikanga imepauka amezungukwa na watoto kama sita wanamfumua nywele. That sight ilinifanya niconclude kuwa sitaweza kumbadili Lyamuya. Maana she knew I was going, at least angejiweka poa basi, wapi. Nikijiangalia na mm nlivyopigilia, nikajikuta nimekata tamaa mazima.

Ila kiuungwana sikutaka kuonesha kuwa disappointed, akanikaribisha ndani pale, mm nikasema tukae tu hapa nje umalizie kufumuliwa. Akasema hapana! Wewe mgeni wangu, kwa kuwa ushafika twen’zetu ndani hawa watoto watanimalizia hata usiku. Mimi ndo hata simsikilizi, kulikua na stuli pembeni nikaivuta nikakaa. Yeye kajikusanya pale kaingia ndani.

Nikabaki na watoto pale, nikaanza kuwapigisha story, na kwa kuwa napenda sana kids wala haikua kazi ngumu, tukawa tushazoeana navyo ndani ya muda mfupi. Mara Lyamuya akatoka, ananiambia ashatenga msosi nikaribie. Nikaona sio kesi, nikawashawishi na wale madogo tukazama ndani, tukapiga msosi wote. Msosi ulivyoisha na kila kitu kuondolewa kwa meza, dogo mmoja akamwambia Lyamuya, njoo tukumalizie kukufumua, nikaunga mkono hoja.

Basi wakawa wanafumuana huku tunapiga story pale. After few hours nikaaga nikasepa. Ile natoka tu, nikampigia simu boss Rona, “am honny babe”, [where are you], nikamjibu “nipo town”, [then hurry up, utanikuta kitandani kwako nishakuloanishia,ukifika nikuingiza tu, I hope utafika ukiwa bado umedinda]….

Boss Rona alikua na keys za home kwangu. Nilichofanya ni kuchukua taxi kabisa ili niwahi. Kufika home namkuta kweli on my bed, yuko kama alivyozaliwa kajitenga ule mkao wa mbuzi kagoma, it was a spectacular sight,yaani lile tako linaniface mimi dah!.

I removed my clothes, every piece of cloth. Inches zangu 8. S'thing zipo 45 degrees to the north, wala hata hatukusalimiana, wala kuongea chochote, ikawa kama nalenga shabaha. Mzee nikailengesha ikazama yooote, bila kumgusa sehem nyingine ya mwili, yaani mashine ikapenyezwa bila msaada wa mikono, mikono yangu nimeifunga nyuma ya kiuno changu, nikaacha kwanza mshedede usalimiane na mwenzie.

After some takos, nikaanza kumzabua vibao vya matako. Nnachompendea boss Rona, nyama zake laini kinyama. Ukizichapa kibao zinashake kama umedumbukiza shilingi kwenye beseni la maji. Kiufupi wazee, nliinjoi.

Lyamuya ofisini wala hakuonesha kukasirika, aliendelea kunichangamikia tu. Days went by nikawa namsoma kabisa anazidi kufall kwangu, ila mi ndo shaghairi mazima.

Then one Saturday evening something happened. Nlikua home siku hiyo. Nipo kwenye kibaraza cha hapa kwangu. Nimekaa kwenye ile misingi ya kibaraza, mgongo umeegemea nguzo nyuma na miguu imekanyaga nguzo mbele. Nlikua nasoma kitabu kimoja kinaitwa the Doomsday conspiracy kilichoandikwa na lengendari mwenyewe kwenye fasihi andishi, Sydney Sheldon.

Kwa mbali nikasikia vicheko vikaondoa concentration yangu kwa muda. Kucheki mbele, nikamuona msichana mmoja akiwa na dogo mwingine wa kiume wananyang’anyana kitu kama boksi huku wanacheka. Kilichonifanya niendelee kuwatazama ni huyu msichana. Kwa umri alionekana atakua yupo sekondari, sikuwahi kumuona hapa quarters za shirika kabla so mawazo yangu yakanambia atakakua yupo likizo hizi za mwisho wa mwaka.

Kilichokamata Zaidi attention yangu ni wajihi wake, she looked indian au half cast flani. Alikua amevaa mtisheti oversize na umepauka umeandikwa Celtel, pia kavaa pensi flani ya kijani kama ya timu ya Yanga material yale ya kuvutika, na pensi yenyewe ilikua kama imevutika eneo la mapajani na kumpa muonekano flani usiovutia sana. Miguuni kavaa ndala za umoja.

Yule binti ghafla akatizama nilipo, nikajistukia, nikarudisha macho kwenye kitabu. Nikaanza kuhisi kama anakuja vile uelekeo wangu. Na kweli, baada ya sekunde kadhaa nasikia shikamoo!, nikanyanyua macho, nikaitikia Marahaba! Then nikakosa cha kuendelea kusema. I will not lie, even though she was not appealing sexually to me at first sight, but she had the most beautiful eyes I have ever seen, Ever!!!!.

“kitabu gani unasoma?”, nikamjibu [Doomsday conspiracy], “ni kizuri?” [sana], “unapenda sana vitabu eeh?” akaniuliza huku akikichukua kitabu from my hands, [yup, unapenda pia kusoma vitabu?] nikajikuta namuuliza. Akajibu, “sio sana, apart from the novels we read in school kama the black hermit, sijasoma vitabu vingine”.

Nikajikuta naanza kutoa semina ya uzuri wa kujisomea vitabu . “wow! You really like books, unavyoongea naona kabisa unaongea from your heart, can I borrow this book nikajaribu na mimi kusoma?” nikamwabia, [hiki hapana, ila nina vingine kibao ndani, twende ukachague], hakua na kipingamizi, yule dogo mwingine ambaye nilifahamu baadae ni mtoto wa jirani yao akawa anafuata tu kwa nyuma.

Kufika ndani, nikaona binti anachanua midomo kwa mshangao. Hasa alipoona my library. I really like reading so ninavitabu vingi sana ndani. Nikaanza kumuonesha vitabu vya mwandishi aliyeandika kitabu alichokuta nakisoma. Nlikua nna collection ya vitabu Zaidi ya 15 vya Sydney Sheldon, kama vile; Master of the game, Tell me your dreams, Bloodline, Nothing lasts forever, If tomorrow comes, Rage of angels, The other side of midnight, Windmills of the Gods, The sands of time, Memories of midnight na kadhalika.

Then akaona yale mavolume makubwa akawa anashangaa, “unawezaje kusoma likitabu likubwa kama hili?” akauliza huku ameshika kitabu cha Pillars of the Earth cha mzee baba Ken Follett (ambaye pia nlikua na collection ya vitabu vyake kama Winter of the World, Eye of the needle, Fall of giants, Dangerous Fortune n.k).

Nikamwambia hata wewe ukikianza huezi kukiacha. Nikamuuliza kama ameshawahi ona movie ya hicho kitabu, akasema hapana, nikamwambia story tamu kama hizi Hollywood wanazitengenezea movie, ingawa kwenye movie mambo mengi yanakua yameondolewa, so its better to read the book than watch its movie.

“kitabu gani kingine kimechezwa movie?” akauliza, ‘the Bible’ nikajibu….. she got the joke and she laughed. Then nikamtolea kitabu cha mtaalam mwenyewe George RR Martin, A song of ice and fire . mpaka muda huo nlikua na vitabu vyake vinne,
- A game of thrones
- A clash of kings
- A storm of swords
- A fist of crows
Nikamwambia, “hapa duniani kuna intelligent people wengi, ila watu ambao ni genius wapo wachache sana, mind you, unaweza ukawa genius na ukafeli masomo darasani. Ma genius nnaowajua mm ni Albert Einstein, Michael Faraday, Alexander Graham Bell, Mozart na George RR Martin huyu aliyeandika hivi vitabu, ametengeneza a masterpiece in literary works” (kwa wasiojua hii a song of ice and fire ndo imetengenezwa series ya a game of thrones, kama ulipenda hii series, basi jua waliosoma vitabu vyake waliinjoi Zaidi),

maelezo yangu juu ya vitabu yalimvutia huyu binti ambaye mpaka wakati huo sijajua anaitwa nani na anakaa wapi. Baada ya lecture yangu, nikamshauri achukue kitabu kidogo ili akasome, na nikapendekeza kitabu cha James Hadley Chase, “find him, I’ll fix him” maana nlijua ni story fupi nzuri na itamjengea ham ya kusoma Zaidi. Akachukua hicho kitabu akasepa.

Kesho yake jpili jioni nasikia hodi mlangoni. Kufungua, ni yule binti. Kuniona akatabasamu then akasema, “huezi amini bro, ive finished the book, kidogo nikeshe” akawa ananisimulia jinsi kilivyo akasahau mm ndo nlimuazima hahahah. She liked the book. Akasema leo anachukua kingine, nikampa kitabu cha Danielle Steel kinaitwa Zoya. Ni kikubwa kiasi, nikajua kitamkeep busy wiki yote.

Na kweli, kuanzia j3 hadi ijumaa sikumuona. Nikajikuta natamani weekend ifike nimuone tena, sio kwa ubaya, ila niliinjoy zile conversations. Halafu pia, nilikua napenda jinsi anavyojiamini, yes she is young bt ni mtu ambaye hana ule uoga wa kitanzania, anaconfidence na akiwa anakuhoji maswali yake ya kiudadisi hakwepeshi macho, anakutazama direct kwenye mboni zako, unajikuta wewe ndo unakwepesha macho.

Na kweli jumamosi akaja. Ila alikua kama hajakimaliza kitabu, yaani ile ameingia ndani kapitiliza kwenye kochi kakaa then kafungua kitabu akawa anakisoma. Kuangalia alikua amebakiza page chache amalize. Nikaona na mm niendeleze kitabu changu, by now nlikua nasoma kitabu cha John Grisham, ‘the rain maker’. Nikiwa nasoma huku nnapata kinywaji changu pendwa, mm nakiitaga ndege (the famous grouse),. She is a student so I didn’t even bother to offer her a glass.

Baada ya muda namuona amemaliza kusoma alafu ananiangalia. “Don’t ever give a book of this kind to me again” akaniambia kwa sauti isiyo ya ukali lakini yenye userious. Why?, “last night I slept at 4.30am, and I cried a lot” akanijibu huku akielekea kwenye shelf la vitabu.

Akarudi kwenye kiti akiwa ameshika kile kitabu alichonikuta nakisoma last week. “whats your name?” akaniuliza, nikamtajia, nikamuuliza pia jina lake, aliponijibu ndo nikaunganisha dots ambazo wewe msomaji ushaziunganisha tayari. Anaitwa Norah Mekonnen (somo lingine kwa.mabaharia, ukimuuliza binti jina akakujibu kwa majina mawili jua huyo bado mwanafunzi kihalisia na pia ktk haya mambo)

Alivyotaja jina nikawa kama nimeduwaa. Baada ya sekunde ndo kuanza kumhoji vizuri, akasema ndiyo, ni mtoto wa Rona, yani ni mtoto wa boss Rona, mtoto wa mwanamke nnayejilia kama mke wangu. Dah!, na binti naye kaanza kunihoji pale nafahamiana vipi na mama yake, nikasema ni boss wangu, akajidai kuniuliza pale kama she is a good boss, nikamwambia she is the best,

alivyosikia hivyo akatabasamu then akanambia, “my mother is the most amazing woman I have ever met, I love her to death, and I am happy that she is my best friend, maana mama yangu bado kijana so we hang out and we talk abt everything, she is amazing”.

Alivyokua anamdescribe mama yake, nikajikuta napandisha midadi, ukichanganya na ulevi niliokua natumia, nikajikuta nachukua simu namtumia ujumbe boss Ronna.

[i know weekends ni muda unakuwa na familia yako, bt I need your body boss, pls njoo bila chupi], baada ya muda nasikia milio ya msg zinaingia bt hata sikuziangalia.
Norah akawa ananihoji pale khs what I studied, nikawa namjibu. Then kaniuliza plans zangu, nikajikuta naropoka tu, “after 5 years I will start my own company”, wow! Akajikuta ametamka, then akawa ananipongeza kwa vision na nini hahaha.

Mara ngo ngo ngo, dogo kaenda kufungua, uso kwa uso na mama yake. Baadae nlikuja kufahamu mama yake alikua anajua binti amekuja kwangu kurudisha kitabu na kuchukua kingine, kimsingi Ronna hakua na wasiwasi na mimi, she thought im a good boy and wont **** a teenager hahahaha.

Boss Ronna akamwambia dogo arudi home maana kuna issue mimi na yeye tunatakiwa tudiscuss abt work. Wakati anaondoka akaniaga, “Bye Bro” mm nikamjibu ‘by Kiddo’. Yaan mpaka leo ananiita bro, na mm namwita kiddo hahahaha.

Norah alivyosepa, boss Ronna kanifuata nlipo. Nlikua nimekaa kwenye office chair, akanikalia na kuanza kula denda. Kumpapasa ndani ya gauni naona sigusi chupi, yaani nakutana direct na nyama za tako. Ayah, yah, yah, yah, yah, yah. Akiwa bado anahangaika na lips, nikafungua zipu ya jeans nliyokua nimevaa, dushe nikaitoa then nikaiweka usawa wa nanlii. Kuisugua sugua kwenye kitumbua naona boss kaishika kailengesha then kaisokomeza. Meeeeeen. I lasted very few takos. Maana she knows how to shake that waist…

Kiga!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimependa makeke ya bos Rona history yako haichosh kusoma kbs
 
Samboko mwananangu nimeanza na huu uzi toka mwanzo.

Nimesoma comment zote mpaka vituo

Sina nia ujisikie vibaya wala nini ila kaa ukijua kwamba tunajua kabisa story zako ni za uongo

Mbaya zaidi uongo wako wa kitoto sana
Jambo usilo weza kwa kawaida ni gumu mnoo kwako bahati mbaya linakua jepesi sanaaa kwa anae liweza

Mazingila mkuu ndo kikubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2016 nikiwa nasoma chuo flan jijini Dar

Mazoea ya hapa na pale na demu wa rafiki yangu,si nikamtania shem unaonekana unajua sana kupika,shem akafrahi mwenyewe na kuitikia nitakuja siku moja kukupikia uonje kazi ya mikono yangu,kwani unakaa na nani?nikaitikia naishi mwenyewe
kipindi hicho nimepanga ghetto nje kidogo ya chuo
Ikafika siku yenyew mjuba nimetulia ghetto sina hili wala lile,sms ikaingia shem najiandaa kuja kwako,andaa nyama,mchele na viungo.
dakika kadhaa kupita mtoto huyu hapa,chap nikatoka nje na kulipia bajaji,tukazama ndani na shem wangu
mtoto kaingia ghetto sifa za hapa na pale na nin,me nimetulia tu kwny godoro na loptop yangu naplay music kwny kisabufa changu cha rising
Mtoto kaandaa menu pale huku tunakula stori 2/3,menu ilipoiva katenga chini
akataka pakua plate 2 nikamtania,kwa nin tusishee plate moja shem,shem kakubali huku akitabasamu nikasema(yeees)
tumekula pale menu safii,baada ya menu sasa.
ikabidi nihamie kwenye godoro nijilaze uku nachek movie kw laptop,kipindi hicho ghetto sina hata stuli wala kochi ukiingia either ukae chini kwny zuria au kwny godoro.
kumkaribisha shem movie akajaa mzima mzima kwny godoro pale,nikasema huyu shem nikimuacha leo ataniona mzembe,si nikaanza kumchombeza pale na miguu
mara mtoto mapigo ya moyo yakaanza kubadilika,kidogo na movie akaacha kuchek akageukia upande wa ukuta
pale pale sikulaza damu mkono ukaanza kumpapasa shingoni na mgongoni,mtoto ndo akavurugika balaa jasho lakutosha
pala pale nikaaanza kumchojoa nguo moja baada ya nyingine ushirikiano kama wote,
romance za hapa na pale mwisho wa siku tukabaki kama tulivyozaliwa na tunda likaliwa kimasihara
nilipiga game non-stop kama dakika 15 hivi,mtoto alipagawa kinoma,baada ya siku kadhaa akaomba game irudiwe ila nikaogopa mwana angeweza kusanuka nikampotezea chap.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna watu mna roho mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zilikuwa 8 japo 3 za offside, Nyansoo ndio alipiga zaidi ya 12.

James Jason
Mbona hukusimulia rematch yako na nyasoo?
Yaani ile stori yako unaweza kutengeneza series maana kila hatua ni kisa cha kuvutia.
Na habari ya Patterson pia ni kisa kingine kitamu sana.
Nakuombea mafao yachelewe kidogo umalizie hizi simulizi mkuu,JUST KIDDING
 
Napenda sana uandishi wako!
Upo vizuri sana, tena sana.

Ukipata muda, anzisha uzi wenye kichwa cha habari "HOW I MET MY WIFE"

Kuna vitu vya kujifunza vingi kwa vijana wanao chipukia.

Mimi tayari nimeanzisha uzi wenye kichwa cha habari kama hicho kwa maudhui ingawaje nimeandika "UHUSIANO WANGU KIMAPENZI NA HAMIDA"

------

Nakupa kongole nyingi kwa uandishi usisimuao.

James Jason
Dah nimefurahi sana kupata kongole kutoka kwako mkubwa. Endelea kutupatia elimu na burudani mzee wangu, mm pamoja na wenzangu wengi nafuatilia kwa karibu sana uzi wako na Hamida.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hukusimulia rematch yako na nyasoo?
Yaani ile stori yako unaweza kutengeneza series maana kila hatua ni kisa cha kuvutia.
Na habari ya Patterson pia ni kisa kingine kitamu sana.
Nakuombea mafao yachelewe kidogo umalizie hizi simulizi mkuu,JUST KIDDING
Rematch na Nyansoo haikuwa kimasihara, hata kwa Sue pia. Ndiyo maana sijaweka hapa.

James Jason
 
Kuna dem nilisoma nae primary nilikua namkubari kinoma ni wale madem vishngi mtoto wa ki Iraq waitiiii nilimkuta group LA class WhatsApp Nika muomba(inbox) tukuatane akakubari Ila akasema hatataki sehem yenye watu kabisa nikamtania labda ndani room(lodge) akasema poa ,,nkajua utani mpaka anakuja siamini namuuliza mama nakupeleka lodge ana nanmbia "we have already talk about it" nkaenda kupiga badae ananipa story kua jamaa wake hana shuguli ana mchazea chzea hapigi shoo mwez wa tatu sasa [emoji23][emoji23][emoji23]kakawa kamchezo ketu kama miezi miwili hivi alipo kosea akawa anataka awe main chick nikamchinjia baharani hadi leo nikitaka naita tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mhmh huyu demu sio A......?... alikua mwembamba primary now kawa bonge

Mhmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom