Unachofanya siyo kitu kizuri kabisa ndo maana juzi ulijidai bize kihivyo[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadada bana juz kuna mmoja alipoona nataka kumuongelesh kajifanya anaongea na simu kidogo simu ikaita wakat anaongea[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
usiogope pata experience
 
Sijawahi asee na sitaki nije kushiriki hayo masihara.
Ila nilishawahi kunusurika kulika 😀 hiyo siku nililia, nikajifunza kutokuwaamini wanaume
Na hapo ndipo unapokosea! Usituamini kivipi..? Kuna wengine humu mbona tupo vyema.. si vyema kuhalalisha usemi usemao "samaki mmoja akioza basi wote wameoza"!!

Typically binadamu tunatofautiana, wengine hujitia ufahali ktk mambo haya lkn tupo tunaoheshimu nafasi ya mambo haya!.. tupo wenye kifua na koromeo la kutunza siri ikiambatana na kumaanisha.
Usiweweseke kwa wenge la kimasihara ukatutoa thamani hata sisi tuliowatiifu.
Usiuzurumu moyo kwa maneno ya kimasihara,upe upeo wako nafasi ya kutanabaisha tofauti ya masihara na halali!!
Hata Adam mbona alilishwa tunda kimasihara na Eva..? Lkn pamoja na hilo ni wapi tumekengeuka na kuifuta nafasi yenu..?
Mwili wako ni shahidi tosha kuwa ulivyonavyo ni kile Mimi kama mwanaume navihitaji!! Ila nafasi ya kunipa ipo ktk ufahamu wako!!

Usiogope tupo tusio masihara,tupo tupendao watoto wa kike kwa nafasi zao.. tupo tunaofurahia nafasi ya maumbile bila kuumiza mtima wa mtoto wa kike.
 
Asipokuelewa na hapo Basi ana moyo mgumu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ikawa mkwee..muukweee..muuuuukwweeeeee...muukkkk..muuuuuu..mmmm

Kizibo
 
Kwani mwisho wenu ulikuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…