Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Tuliachana vibaya sana ikabidi niache kazi lakini boss lady akawa hataki. Kesi ilifika hadi mahakamani. Kwa kifupi ni story ndrfu sana
Hakuna muendelezo tena kaka?OK ngoja nami share yangu kidogo..
Nilienda kufuatilia huduma kwenye taasisi ya bima, nilihudumiwa ofisi moja nikaelekezwa kwenda ofisi nyingine nikakamilishe kila kitu ..Aise nilikutana na karibu ya binti mmoja mrembo sana ki gentlemen nikatoa tabasam la mbali nikamueleza shida yangu akaanza ishughulikia, wakati huo akili yangu inawaza kweli hapa naondoka hivi hivi... Hapo watu wengine wanasubiri kuhudumiwa pia, baadae akanipa ki karatasi nimuandikie details zangu alizokua akizihitaji.. Niliandikia nilivyo maliza nikageuza karatasi upande mwingine nikaandika " You smell so good Miss, You're very beautiful too. I almost like you, please find me ".Nika smile nikampatia karatasi. Nilifanya hivyo nikijua akitaka nitafuta namba yangu ya sim ataipata kwenye details zangu, mwisho nikaondoka.
Baada ya kama siku tatu hivi jmosi ikaingia sms namba mpya "Thank you" Nikajibu You're welcome japo sijajua ni nani. Akajitambulisha ..tukapena salam nikamkatisha kwenye chatting nikamuhaidi nitamtafuta baadae kidogo hiyo ilikua ni asubuhi, mida saa 10 jioni nika mtext "hey" akajibu "What's up" baada ya text tatu nikamwambia "Please let me see beneath your beautiful" alikuja jibu kama baada ya saa moja na nusu hivi, sms moja yenye line kama 8 hivi kifupi alisema naonekana mdogo ila na confidence sana, jinsi alivyo andika ile sms sikutaka kuijibu haraka haraka niliona nimpe muda kidogo.
Baada ya dakika kumi nyingine akanitext " Let me play this crazy game, send me location. " Tulikutana kwenye Lodge moja ya kiwangu cha kuridhisha..and It was a very great day... She is beautiful with very fine body.
Jpili asubuhi kwenye saa nne nikamwambia twenzetu nina mishe naenda fuatilia town akaniambia "Noo naomba niwe nawe pia kwa leo kama wewe ulivyo omba kuona uzuri wangu nitalipa bill" nikaona isiwe tabu nikamuga naenda town kama saa 1 hivi nitakua nimerudi. Nilivyo rudi nilikuta ame oda chakula kizuri sana na Alta wine.
Hatukutoka ndani mpaka jtatu alfajiri akaenda kujiandaa awahi kazini. She is one of a greatest girl I ever met, she don't talk much.
Basi ndio ulikua utaratibu wetu kila weekend, mpaka nahama huo mkoa. Sikuwahi muuliza kama ana mpenzi wala hakuwahu kama nampenzi. Hope she is doing ok.
We jamaa umenikumbusha mbali. Niliwahi kuitwa kwenye interview; sehemu ya kukutana ilikuwa Holiday Inn. Tulikaa hapo nje karibu na parking. Asikuambie mtu yule dada alikuwa ni mzuri balaaa wakati naulizwa maswali akili ilikuwa imehama kabisa. Nilivyotoka nikamsimulia jamaa yangu moja kuwa ikitokea nikakosa hiyo kazi hasishangae maana akili yote ilihamia kwa huyo bidada badala ya interview.OK ngoja nami share yangu kidogo..
Nilienda kufuatilia huduma kwenye taasisi ya bima, nilihudumiwa ofisi moja nikaelekezwa kwenda ofisi nyingine nikakamilishe kila kitu ..Aise nilikutana na karibu ya binti mmoja mrembo sana ki gentlemen nikatoa tabasam la mbali nikamueleza shida yangu akaanza ishughulikia, wakati huo akili yangu inawaza kweli hapa naondoka hivi hivi... Hapo watu wengine wanasubiri kuhudumiwa pia, baadae akanipa ki karatasi nimuandikie details zangu alizokua akizihitaji.. Niliandikia nilivyo maliza nikageuza karatasi upande mwingine nikaandika " You smell so good Miss, You're very beautiful too. I almost like you, please find me ".Nika smile nikampatia karatasi. Nilifanya hivyo nikijua akitaka nitafuta namba yangu ya sim ataipata kwenye details zangu, mwisho nikaondoka.
Baada ya kama siku tatu hivi jmosi ikaingia sms namba mpya "Thank you" Nikajibu You're welcome japo sijajua ni nani. Akajitambulisha ..tukapena salam nikamkatisha kwenye chatting nikamuhaidi nitamtafuta baadae kidogo hiyo ilikua ni asubuhi, mida saa 10 jioni nika mtext "hey" akajibu "What's up" baada ya text tatu nikamwambia "Please let me see beneath your beautiful" alikuja jibu kama baada ya saa moja na nusu hivi, sms moja yenye line kama 8 hivi kifupi alisema naonekana mdogo ila na confidence sana, jinsi alivyo andika ile sms sikutaka kuijibu haraka haraka niliona nimpe muda kidogo.
Baada ya dakika kumi nyingine akanitext " Let me play this crazy game, send me location. " Tulikutana kwenye Lodge moja ya kiwangu cha kuridhisha..and It was a very great day... She is beautiful with very fine body.
Jpili asubuhi kwenye saa nne nikamwambia twenzetu nina mishe naenda fuatilia town akaniambia "Noo naomba niwe nawe pia kwa leo kama wewe ulivyo omba kuona uzuri wangu nitalipa bill" nikaona isiwe tabu nikamuga naenda town kama saa 1 hivi nitakua nimerudi. Nilivyo rudi nilikuta ame oda chakula kizuri sana na Alta wine.
Hatukutoka ndani mpaka jtatu alfajiri akaenda kujiandaa awahi kazini. She is one of a greatest girl I ever met, she don't talk much.
Basi ndio ulikua utaratibu wetu kila weekend, mpaka nahama huo mkoa. Sikuwahi muuliza kama ana mpenzi wala hakuwahu kama nampenzi. Hope she is doing ok.
Aisee huu mchezo hapo kwenye kubana utoe nje ndio shughuli, lakini wengi wao siku hizi wanapenda kweli hako ka style ka kuwa on top yani friction yake hapo ni chapuuuu wazungu hawa.Kiuhalisia kwenda muda mrefu ukiwa juu ya kifua ni mapungufu kama ilivyo kwenda kwa sekunde. Na mimi si kwamba kwa huo muda wa kuanzia dakika 20-40 au hata zaidi sipigi bao. Bao linapigwa ila sio lile tamu la kubana makalio na misuli ya mwili na hapa ndio penye mechanism ya kulast long ukiwa umepiga bao na ukaendelea kupiga mechi bila mtarimbo kusinyaa.
Nilikuwa na tatizo la kuwa na mbio fupifupi ila nyingi lakini sikumbuki ilikuwaje nikaanza kutafuta mbinu ya kukaa muda mrefu angalau hata 20 minutes badala ya dakika 10 au 15 nilizokuwa natumia na ndio nikajikuta ninaweza kuamua mwenyewe nitumie dakika ngapi nikisugua mashine kwa bao la kwanza na yanayoendelea.
Iko hivi, bao la kwanza lina speed kwa mtu yeyote unaweza piga bao hata kwa dakika moja. Sasa mimi huwa naruhusu bao litoke lakini nalifanya lisiwe tamu naondoa feeling kabisa kuwa kuna bao linatoka. Na kuruhusu kwenyewe si kwa kukaza misuli au kujikamua kama ilivyo kawaida kwa bao linapotoka. Sasa kwa hapa unaweza pigia nje au sehemu yoyote lakini isiwe ndani ya K. Ukipigia ndani ya k automatically utapata utamu na nguvu za ajabu kumaliza gemu kutokana na utamu, msuguano na joto la ndani ya K na baada ya hapo misuli ya uume italegea tu. Lakini ukipigia nje ya hapo misuli ya mtarimbo haisinyai.
Pia unaporuhusu bao hilo kutoka kwa faida ya muendelezo wa game usiushike uume ili upige bao itakuwa kama unapiga punyeto na hivyo kusababisha kuipata ile feeling ya utamu wa bao na baada ya hapo uume utasinyaa na hutaendeleza game. Jambo la msingi ruhusu bao bila kushika wewe au yule unayemt........ kumbuka nilichosema mwanzo hapo juu, bao hili usilikamue kwa hisia acha litoke naturally na iwe kwa vipande vipande kama unavyobana mkojo ule wa asubuhi unatoka unaacha. Na hili bao inatakiwa uliruhusu kiduchu bana, then kiduchu bana. Tafadhali usiruhusu litoke lote utapoteana. Bao unalopaswa kuruhusu kutoka ni lile kihelele na nafikiri huwa ni majimai yaliyo kwenye prostate gland au kokwa na si kuruhusu wareno wanaotoka kwenye testis then unaendelea na game. Na hapa ndio unapata point ya wale wenye uwezo wa kuunganisha bao hata 4 mpaka 6 bila kushuka na hii huwa naweza fanya ila baada ya hapo huwa siwezi kurudi on top kwa muda mfupi. Huwa inanichukua saa 1-2 au nisiwe na hamu tena ya kuendelea maana nakuwa nimemaliza kila kitu kwa hiyo round moja yenye mishindo mingi.
Na kwa upande mwingine ili ufanikiwe kwenye hili ni lazima ukwepe baadhi ya style kama vile woman on top na ile ya kuinua mguu mmoja, kumbeba mwanamke au nyinginezo zenye friction kali. Kwa hizi hutaweza kujicontrol, lazima wazungu watakuja mapema. Hapa ni lazima utumie style ambazo unacontrol game wewe itakuwa rahisi kucontrol bao linalotoka lisiwe lenye madhara vinginevyo kuna style ukianza nazo huchukui round na ndio maana makahaba waliokubuhu wanacharge pesa kwa bao. Wanajua style ya kukufanya upige bao kwa sekunde chache usimchoshe ili aendelee na biashara.
Kumbuka bao unaloliruhusu ni majimaji machache yanayotoka kwenye prostate gland na sio bao lote halafu unabana unaendelea na game, usishike uume au kushikwa unaporuhusu haka kabao, usiruhusu woman on top style na zingine zenye friction kali, Usitumie nguvu za misuli unaporuhusu bao hili, tena unaweza kojoa kidogo unabana then unarudi kwa game, Usipigie ndani haya mabao mpito kama bado hujajizoeza vizuri ingawa hata ndani inawezekana ila usiingize uume wote unapiga bao hili. Chovyachovya juujuu kichwa mb...na usivuke mabega kama utaweza.
Sina uhakika kama nimeweza kuelezea kwa ufasaha na utaelewa ila ndio hivyo mimi hufanya na mara nyingi huwa 3-5 hata six goals in 1 na baada ya hapo ndio naamua kupumzika. Na mara nyingi naruhusu zamu ya mwanamke kunihudumia na kuonyesha uwezo wake pale ninapoona huu ni muda wa kumaliza na yeye ametosheka na huwa namuambia namaliza kama bado mwendo ni uleule. Akiruhusu tu namuambia go on top do ur things u have darling na kwa speed ya hatari hapo napiga bao langu la mwisho safi.
Nenda kajaribu ukiweza ikikufaa it will good for you Boss!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umejimalizaNa hapo ndipo unapokosea! Usituamini kivipi..? Kuna wengine humu mbona tupo vyema.. si vyema kuhalalisha usemi usemao "samaki mmoja akioza basi wote wameoza"!!
Typically binadamu tunatofautiana, wengine hujitia ufahali ktk mambo haya lkn tupo tunaoheshimu nafasi ya mambo haya!.. tupo wenye kifua na koromeo la kutunza siri ikiambatana na kumaanisha.
Usiweweseke kwa wenge la kimasihara ukatutoa thamani hata sisi tuliowatiifu.
Usiuzurumu moyo kwa maneno ya kimasihara,upe upeo wako nafasi ya kutanabaisha tofauti ya masihara na halali!!
Hata Adam mbona alilishwa tunda kimasihara na Eva..? Lkn pamoja na hilo ni wapi tumekengeuka na kuifuta nafasi yenu..?
Mwili wako ni shahidi tosha kuwa ulivyonavyo ni kile Mimi kama mwanaume navihitaji!! Ila nafasi ya kunipa ipo ktk ufahamu wako!!
Usiogope tupo tusio masihara,tupo tupendao watoto wa kike kwa nafasi zao.. tupo tunaofurahia nafasi ya maumbile bila kuumiza mtima wa mtoto wa kike.
Naona umejimaliza
Tuliachana vibaya sana ikabidi niache kazi lakini boss lady akawa hataki. Kesi ilifika hadi mahakamani. Kwa kifupi ni story ndrfu sana
God save us
Hivyo unataka unizike tu,sivyo..?😂Naona umejimaliza
Basi kama alifanya kosa na uzi ufutwe
Niliacha mwenyewe arifu tulifika pabaya sana. Mpaka kupelekana mahakamani.
Ilikuwaje ulifukuzwa kazi?Hapa nipo mkoa fulani nikisubiri usafiri wa kwenda vijijini. Kwa kuwa nina mda wa Massa 2 kusubiri usafiri naomba nitimize ahadi yangu ya kumla boss kimasihara.
Ilikuwa mwaka 2008 nilihamia mkoa X kikazi baada ya mda nikaamua kuacha kazi serikali ni na kujiunga shirika binasfi. Hapo kazini Director alikuwa ni binti wa mmiliki wa kampuni hivyo maamuzi yote alikuwa wanafanya huyo Dada.
Huyu dada kiumri alikuwa ananizidi miaka kama 3. Alikuwa ni mrembo kama member moja humu mrefu mweupe guu la bia na kiuno kama nyigu.
Kufupisha story ili nisiwaboe kwani siko vizuri kwenye uandishi; huyu Director akiweka kanuni kuwa ni mwiko kuwa na mahusiano ya kimapenzi baina yetu ofisini.
Baada ya miezi kadhaa tulipata staff mpya kutoka +254 yule dada alikuwa mzuri uzalendo ukanishinda. Ikabidi nimpe sound mrembo. Alinikubalia ila akawa anaogopa Kwani tulikuwa tumesha taarifa wa kuwa ikibainika kuna staff wana mahusiano kazini itabidi moja aachishwe kazi na moja abaki. Hiyo ilinibidi nimwambie tufanye kwa siri na tukiwa ofisini tusijuane.
Zoezi la kutojuana ofisini lilifanikiwa na binti wa watu alikuwa akikosea kazini nilikuwa namwajibisha utadhani simjui.
Baada ya miezi kama 5 ikaja gundulika kuwa namgegeda huyo mdada. Hili nililisababisha mimi maana kuna story nilisimulia boss akaunganisha vidot. Ilikuwa siku ya jumapili nimejilaza kwenye kochi simu ikaita kuangalia ni boss lady.
Kupokea simu nikasikia, "yaani wewe ni mshenzi kweli kweli mda wote huu ulikuwa una mgegeda N bila kujulikana?
Wewe ni noma"
Sasa hapa mwanaume kiroho kikawa kinanidunda nikijua kuwa nimeshamharibia mkenya wa watu kazi maana kulingana na nafasi niliyokuwa nayo pale kazini nisingeweza kufukuzwa.
Kesho yake ikafika tukiwa ofisini boss lady ajamwambia GM aitishe kikao cha dharula. Hapo mwanaume mapigo ya moyo yanaenda mbio.
Mda wa kikao ulipofika GM akaongea mimi kama Asstant wake sikupewa nafasi. Boss lady akaanza kuongea; kasema anayosema alipotaka kusema juu ya jambo langu pressure ikampanda ikabidi apelekwe kwenye chumba fulani hapo ofisini apumzike.
Kitendo cha boss kupata pressure kilimpa nafasi shetani anishawishi niende huko kumuona boss chumbani na ni weke wazi kuwa nilikuwa namzimikia mda mrefu tu. Nilijitahidi sana lakini nilishindwa kwenda baada ya masaa 2 nikaamua kujilipua; mwanaume nikanyanyuka nikaelekea alipopunzika boss bahati mbaya sijui nzuri nikakutana nae ndio anarudi ofisini. Nikamwambia pole boss vipi shida nini? " akasema yaani wewe nilitaka kuanzisha ishu yako presha ikanipanda; sijui nilipata wapi ujasiri nikajikuta nimemshika mkono akatulia nikamwambia basi kwakuwa ni mda wa kwenda nyumbani nitakuja jioni kukujulia hali. Akakubali.
Ilivyofika jioni kidume nikajisogeza kwa boss kuingia namkuta yuko sebuleni na kanga. Nikakaa tukaanza kupiga story. Mara akamuita dereva akamtuma aende anunue grants na kuku choma (kipindi hicho grants ndio ilikuwa kinywaji changu pendwa ilikuwa inauzwa 17000/=)
Dereva alipoondoka tu kahoro kakaniambia fursakibao tukilimpasa kabla dereva hajarudi. Basi mwanaume nikajisogeza kwa boss nikamshika paja Toto la kinyamwezi likaka kimya nikapeleka mikono kusini nikakuta hakuna kufuli. Hapo ndio nikachizi nilijikuta nazama uvinza ghafla baada ya dakika kadhaa nikauchomeka ile nasukuma kama Mara nne ghafla derava huyo. Ikabidi niairushe zoezi. Nikala kuku ni kapiga grants nikaishia zangu.
Sasa kakawa ndio kamchezo kangu nikaendekea kumgegeda boss.
Kupitia kwake nilipata kuzifahamu tabia za wanawake. Wanawake sio watu wazuri kabisa.
Mwisho nitoe angalizo: kumla boss mwisho wake sio mzuri. Hivyo nawapa tahadhali vijana iwe kimasihara ama kwa kudhamiria msile ma boss zenu.
Kuna mtu aliniomba nimtagi lakini sikumbuki ni nani.
God save us
AbeeDepal
Holiday in iringaWe jamaa umenikumbusha mbali. Niliwahi kuitwa kwenye interview; sehemu ya kukutana ilikuwa Holiday Inn. Tulikaa hapo nje karibu na parking. Asikuambie mtu yule dada alikuwa ni mzuri balaaa wakati naulizwa maswali akili ilikuwa imehama kabisa. Nilivyotoka nikamsimulia jamaa yangu moja kuwa ikitokea nikakosa hiyo kazi hasishangae maana akili yote ilihamia kwa huyo bidada badala ya interview.
Jamani ma HR wakike muwe mnavaa vizuri mnatupa wakati mgumu kwenye interview
God save us
Daaah ndipo nilopo juwa kwamba Kuna bahadhi ya miradi inaweza kujiongoza yenyewe especially hii thread maana rikiboy ayupo lkn mambo sio haba kwakwel[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji467][emoji467]
Duh tupe hiyo mkuuSisi wengine tumekutana na mikasa mambo kibao tu mpaka hapa tulipo sasa
Kama ni kula matunda KIMASIHARA tumekula mengi tu kwa aina na njia tofauti tuna mikasa matukio mengi tu
Lakini nashangaa tukileta ushuhuda MTU anasema ni CHAI uongo mpaka MTU unavunjika moyo kuleta shuhuda zingine
SASA NINGELETA YA KULA MAITI KIMASIHARA KUNA MTU ANGEBAKI HUKU
Tupeni Uhuru wa kujieleza jamani tuseme CHAI uongo kwa faida ya nani
Mimi natoa SHUHUDA za kweli ni mambo yaliyonitokea kweli au vibaya kushare nayi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli usiokuwa na shaka ndani yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa miaka hiyo uliyosimulia bill Shaka watoto wa Rose wameusoma huu uzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa poa Sana Kama ungepanda gari kwenda Lindi kumtafuta Rose,haijalishi umepita muda gani cha msingi upate feedback ya alipo kwa Sasa,nadhan itapendeza,inawezekana barua Zako hakuwahi kuzipata hivyo Basi naamini Kuna taswira yako inamtesa moyonNilifanya jitihada za hapa na pale, nilikaa nje miaka mitatu na kidogo, niliendelea kumuandikia barua ambazo pia hazikujibiwa, niliporudi Tanzania pia niliandika barua moja tu, tena kwa "airform" maana barua za hivyo zilikuwa zinapewa kipaumbele.
Baada ya kimya cha miezi kadhaa nikaondoa akilini na kushugulika na wengine, kati yao akabahatika mmoja kiwa mke wangu. Hii ni stori nyingine kabisa na ya kusisimua ila siyo ya kimasihara.
Akiniruhusu (wife) nitaanzisha uzi wa stori yake.
James Jason