Mkuu juma p maharage nakutafuta,kuja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...! Wewe ndio umetia fora mkuu. Ilikuweje muendelezo baada ya kumla yule chizi?. Halafu kwa maelezo yako hakuwa chizi,huyo alikuwa spy sema alikuelewa,halafu alikaukiwa. Sio kwamba alikuwa ana-kuspy wewe!. Ila alikuwa na kazi nyingine tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Poa tunaandaa na vitafunwa kabisa maana chai zako
 
Haa ha ha noma sana mkuu jina limevuka mipakaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…