Kuna baharia amekula kichaa kimasihara unamwachaje kwenye tunzo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inapendeza sasa wa huku mikoani inakuwaje tutakutana wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuacha sio rahisi, pumzika tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngoja nkwambie kitu kama upo adicted na kitu tafuta kitu kingine cha kufanya cha kukuweka busy, mambo mengine kweli yanatokea naturally ila mengine ni kujiendekeza tu mkuu ntajitahid, japokuwa ni ngumu ila ill do my best,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
All the best mkuu, wengi huacha wengi hupunguza, ila Kama umeoa Ni nzuri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
All the best mkuu, wengi huacha wengi hupunguza, ila Kama umeoa Ni nzuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

sijaoa ila naelekea huko napunguza mkuu na hela zangu zingine zitabak salama unajua kuiendesha hiyo michakato na yenyewe huwa gharama kidogo hata kama ni kuchakata kimasihara


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
sijaoa ila naelekea huko napunguza mkuu na hela zangu zingine zitabak salama unajua kuiendesha hiyo michakato na yenyewe huwa gharama kidogo hata kama ni kuchakata kimasihara


Sent from my iPhone using JamiiForums
Gharamq sana.Mwenyewe kuna time nilikaa nika analyze nikaona nagharamika sana kwa vitu ambavyo tayar nishagharamia na kuweka ndani..sitaki tena
 
Mkuu una taarifa za Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana sana mbona mi nimeweza

God save us
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…