Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 892
- 683
Chombo yako moja matata wanakujaga wenywe umemanisha,chombo dem matata au ukiwa safi ki maisha?Juz usiku mida ya saa tano natoka zangu ilala naenda kinondoni, nipo kwenye daladala, nimekaa na dada mmoja anaonekana anawasiwasi, kumbe ni mgeni katoka mbeya, kila kituo gari ikifika anamuuliza konda kama kafika kituo anachokwenda(Alikuwa mgeni katoka mkoani), kumuuliza anapokwenda kumbe anaenda kushuka kituo nachoshuka mimi nikamwambia usiwe na wasi wasi nami naenda kudrop hapo hapo, Tumefika tukashuka, kaanza kumpigia mwenyeji wake jamaa alikuwa analewa maeneo ya govenors huko hana hata habari na simu hapokei, Kimasihara tu nikamwambia kuwa twende basi home ukamsubiri au wakati tupo njian akirespond utamfuata, akawa kama anasita akakubali kishingo upande sababu hana namna na hapajui governors, nikamdaidia kibegi chake mpaka home tukafika nikampa msosi na vitu kama hivyo, nikamwambia kaoge akipiga tutajua tu, hapa ndio balaa lilipoanza, kaenda kuoga katoka kaniomba taulo yupo uchi wa mnyama, hata kama wewe ungevilia ? Nampelekea taulo akili haifanyi kazi aisee, nikaanza kumshika shika napeleka mkono kwene papuch kaloa nikavaa ndomu nikapiga, jamaa linakuja kurespond mida ya saa tisa, nampigia boda wangu anakuja akampeleka kwa jamaake, Naomba jamaa anisamehe katoto kazuri vile huwez kaacha loose hivyo, alafu hizi pombe mnakunywa mpaka hamjielew mtapigiwa wanawake zenu mpaka mchanganyikiwe,
Kitu nlichojifunza ni kwamba mwenye nacho huongezewa, ukiwa lonely hakuna mwanamke anakutafuta au hata ukijalibu unachezea vya mbavu vya kutosha ila ukiwa na chombo yako moja matata wanawake wanakujaga kasi sana na kila ukigusa imo, wanawake wanapenda marudeboys kuliko magoodboys sijui kwanini...This year I am looking foward to get married nishawakaza sana hakuna jipya, its wastage of time and money., ingekuwa nimeibvest kwenye elimu ningekuwa na phd saivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app