Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hahahahah.kweli hii ni jamiiforums yenye watu wenye mtazamo tofauti.
Well, here are the facts.
Nilikua mgeni kidogo kwenye mahusiano, na niliona kwavile tumeshado labda tungejenga uhusiano ila ikawa tofauti....kweli ana tiny dick, labda awe amefanya surgery baadae kama hua ipo....alijaribu kufanya mbinu nyingi na nyingine kunichafua ili awe na mimi baada ya kuona niko kwenye tight relationship..
Simkumbuki hata chembe sababu kusema ukweli tusingewezana tabia,ni mtu wa majivuno na kujikweza sana, na u.huni sana.
Ukweli kama ana mke anamvumilia mnoooooo..hiyo ni fact unless na mwanamke awe na makandokando yake..sijui kama kuna mwanamke atavumilia mwanaume mwenye kibamia, kitandani zero, halaf player na selfish, naaaaah
Simkumbuki hata kidogo...nimekuja kutoa kisa hiki sababu kuna a lesson kwa wanawake na wanaume..
Sasa ulijuaje anakibamia wakati ndo alikua mtu wako wa kwanza!
Au we ulizaliwa na shimo kubwa!
 
Niko sehemu flan hapa Arusha Kuna mmaza wa mmbulu kamkabidhi mwanae grocery Basi bana katika stori huyu dogo katuambia mama yake ndo bosi but atakuja muda sio mrefu Basi saiz saa tatu na dakika zisizo kumi alkua alshakuja Basi kamkuta dogo yupo na jamaa flan hv Basi akamwambia amlipe mwanae aende akamlipe Toyo Ile dogo kunyanyuka yule maza akaenda kukaa na jamaa Basi ikabida ka 5' yule dogo na kampan yake wakaanza kumchokonoa kwa sms na missed calls mpaka akanyanyuka, Basi alivyonyanyuka tuu yule dogo akaenda kukaa pale mpaka saiz maza nje dogo in.

SISI WANAUME TUJIFUNZE KUZAA KWA MAADILI VINGINEVYO TUTAKUJA KULALA NA WATOTO WETU.

MUNGU ATUNUSURU SANA JAMANI
Mkuu hueleweki umeandika nin?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
She always nock at the main entrance , , ...and i use to open the door for her, Aged 28 while am 22, where she always come from idk, always midnight idk, .....suddenly she asks can i get your number so she wil be calling me direct without disturbing others , i do as she say....next day she calls i open , as im not used to sleep early, in the midnight she calls again she asks if i would like to watch movies with her, in a speed of light i reply yes...big yes she says come over the door is open....
I enters no one was there at sitting room, the tv was off....she says come direct to bedroom i enters she was naked .... I ask is that a movie ...she says yes , i look at her and drag her along and whisper if so i would like to watch atleast 3 or four episodes she laughs , , and shee kisses me, , , then it happens later she asks about my age ....i reply twenty 2, she laughs and she says you are naughty boy....come again ....it happens

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lugha yenu inefanana sana na kingereza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka sana[emoji23]
Ebwanaeee,,,,Haya mambo ya kula Fruits kimaskhara yamekuwa mengi sana,

Mwaka Jana mshikaji wangu alitongoza jimama Hilo hatari,sasa likampa namba wakawa wana chat,

Hilo jimama likamwambia jamaa aende weekend mana lilisema lina ishi lenyewe mitaa ya kilima hewa,na likadai mume wake alishafariki na kuhusu watoto wako shule wanakaa boarding, wakawa wana chat chat ile mbaya mpk mambo ya sex,jamaa akawa ananionyesha anajidai ile mbaya.
Nakumbuka Siku kama ya jumatano ambayo ndo ilikuwa wiki ya kwenda kumtembelea kwake weekend hyo,Lile jimama lilimwambia jamaa kuwa atafute kijana mwingine mana kuna jimama lingine linatafuta kijana,Ebwanaee jamaa akanipa ile taarifa,moyo ulilipuka Paaaaaaaah,,,,,, kama vile nimetupiwa Bomu lilitongenezwa Kwa virusi vya corona,

Pale pale nikapewa namba wazee baba,nikaanza kuchat nae,Mara akaniomba picha,nilivyo mtumia akaniuliza,wew mbona ni mdogo sana?
Nikamjibu Haina shida mtoto mzuri,sawa me ni mdogo lkn Kwa matendo yangu huwa shetan mwenyewe anakaa pembeni kushuhudia game,,,[emoji16]
Nakumbuka baada ya hiyo text alinipgia video call akicheka,Duuuh huendan na maneno yako,akasema hvo.

Siku zilienda huku tukiwa tumeshapanga tukutaniae kwenye nyumba ya yule jimama la mshikaji,

Ebwanaeee nakumbuka wiki ile nilikuwa naona kama vile haiendi mana haya majimama yalikuwa yako njema ile mbaya,ninavyo sema majimama siyo ile mijimama mitupu nyema,hapana aisee,

Nakumbuka ilikuwa ni Siku ya j pili nimeamka asubuhi tu nikakutana na text,eti tuwaandalie nin waume zetu,Nikamwuliza mshikaji,akanambia wapike ugali,akajibu duuuh mnataka mtusugue mpk tukome eti,,,!!

Mida ya saa 4 nikaenda kuchukua ndinga Kwa bro ya kwenda nayo ili kujiongezea thamani,Tukaenda mpk kilima hewa,walioko mwanza wanapajua,tukaelekezwa mpk tukafika Kwa huo mjengo,get Kali mpk nikaanza kuhis hapa kuna hatari ya kufumuliwa malinda mamake,ila mtu mzima nikajikaza tukazama mpk ndani,geti likafungwa Daaaah,Kweli wale wadada walitupokea vzr huku tumepiga pamba zile za kibishoo hasa,na tulisifiwa vya kutosha wazaz.

Tukapiga stori pale sebulen,baada ya nusu saa msosi ukaletwa tukafinya,tulivyo maliza kula,nikashangaa jimama lile la mshikaji likaanza kusema,nyie watoto sikilizen,nyie bado ni vijana wadogo sana,hii tabia ya kupenda wanawake walio wazidi umri siyo nzuri,ebu fikirien wazazi wenu wakijua kwamba sisi tunatoka na nyie watatufikiriaje,Ebu achen umalaya nyie watoto mtakuja kufa vibaya Kwa maradhi[emoji24][emoji24],muda huo hata sielewi Niko wap, yan Nipo Nipo tu huku nimeinamisha kichwa chini,waliongea vitu vingi vya kutushauri mpaka nikajuta kuzaliwa,
Ilibidi tu tuage tuondoke mana duuuh,nakumbuka wiki yote ile hata performance yangu kazin ilikuwa ndogo sana,yani nilihis kama wale wamama wametuvua nguo.[emoji29]

Licha ya wale majimama kutuchamba Siku ile ila hawakuacha kuwa wana tutext kila Siku.

Continued.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwafikisha wale samaki kwa ile familia na nikawahakikishia kuwa yule bwana yupo huko anapambana. Familia yake kwa maana ya wazazi wakamtuma mdogo wake amfuate akawa deported nyumbani.

Sasa yeye alikuta mambo yameharibika kidogo.

Ilikuwa hivi, wakati anaondoka kwanza hakuaga,akaenda mafia kulima nyanya,.kakaa miaka 2 huko bila mafanikio,akaamu kujichanganya kwenye samaki...basi akalowea huko. Kibaya zaidi wakati akiondoka alimuacha mkewe ana ujauzito wa kujifungua.Mke wake akajifungua salama huku baba na mama mkwe ndio wakimhudumia kwa kila kitu.

Baada ya miaka minne kupita bila taarifa ya jamaa yuko wapi,baba ake na mama yake wadhani kuwa huenda mwanao alishafariki au kuuwawa,waka mweleza binti akaolewe kokote maana yeye bado mdogo,kuendelea kumsubiria mtu asiyejua atarejea lini baba akaona sio busara,lakini yule binti akagoma kuondoka pale nyumbani,akidai kuwa yeye alishaolewa pale kwa hy niwa pale na hataondoka ataendelea kumsubiria jamaa hata kama ni miaka 30.

Sasa,kuna nyimbo fulani hivi za kilugha chetu wanawake huwa wanaziimba wakati wanafanya shughuli zao ndogondogo hapo nyumbani.Nyimbo hizo hubeba jumbe mbalimbali kama Upendo,majonzi msamaha, furaha ya kuwa na familia n.k. Sasa yule binti alikuwa akiimba nyimbo za kumiss mume wake na wakati mwigine alilia, baba mkwe hizo nyimbo zikawa zinamuumiza sana na kumtesa na kuumia,akawa anajihisi kuwa yeye ni mkosaji,labda mwanae hakumlea vyema katika maadili mazuri ndio maana kamkimbia mkewe.

Baba akaamua atafute mbinu ya angalau kumfariji mkwe. Akawaita wanawe wote wakiume pale nyumbani,akafanya nao kikao na kuwaomba kwamba waone namna gani wanaweza kumhudumia shemeji yao kimwili,wamtongoze wapambane hadi apatikane mshindi, atakayempata ndiye atakuwa mumewe kwa kipindi chote na kwa mahitaji ya mengine tofauti na ya kimwili familia itaendelea kutoa,yeye kazi yake ni kumgonga tu. Mshindi aliopatika......na ni mdogo mtu,yaani wanayefuatana na jamaa.Akawa anakula mzigo na yule binti akawa anapozea na kuponea hapo.

Sasa...ujio wangu na taarifa kuwa yule jamaa yupo Loya,kanipa na samaki hizi...kamongo wa kukaushwa na jua na kambale wa kukunja wa kukaushwa na moshi...na pesa kwa mke wake tsh elfu 70,walitaharuki....na mzee wake kwa maana ya baba akatokwa na machozi,mama huko sijui maana kimila sie huwa hatukai sehemu moja na wanawake.Mzee akamuru iuzwe ngombe pesa ipatikane jamaa aletwe hata kwa kufungwa kamba. Jamaa kweli akafuatwa akaletwa.

Anarudi nyumbani anamkuta mkewe mja mzito...ana mimba ya mdogo wake.!!! Usiku ulipoingia akagoma kwenda kulala kwa mkewe,akalala kwenye ghetto la wasioowa. Asubuhi kunakucha kikao cha ndugu kikakaa,kesi ikaendeshwa na jamaa akatiwa hatiani na ukoo kwa makosa takriban manne...mosi kuodoka nyumbani bila kuaga,pili kuondoka nyumbani bila kumuaga mkewe huku akitambua kuwa ni mja mzito..hivyo kuhatarisha maish yake na mtoto,tatu pamoja na kuondoka hakutoa taarifa yuko wapi baada ya kufika huko alikokwenda na nne kwa nini aligoma kwenda kulala kwa mke wake....

Kiufupi jamaa aliadhibiwa fimbo nyingi tu na akaambiwa akachunge mifugo miaka 2 na kunywesha, aombe msamaha kwa mke wake na waendelee kuishi...na ikawa ivyo.

Jamaa yupo kijijini kwao na alishakuwa na maisha mazuri tu na familia kubwa,mwanae yule wa mdogo wake alikuwa binti yupo sekondari na jamaa hana kinyongo na mdogo wake....nadhani alieleweshwa akaelewa...Upendo huvumilia yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kabila gani Hilo mkuu,story inasisimua kinoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom