2008 me naziona New force....
 
Atakakuwa alijua hujawahi tafuna.... So alijiweka karibu akijua amepata mwali... Yeye ndo atabandua makaratasi.
 
mzee baba unauza mechi kizembe? coz kwa mazingira hayo huwezi kutumia ndomu kbs
 
We jamaa uandishi wako huu is very fun.

Hahaha so ni kweli manka mlischool nae au ndio mbinu za kibaharia

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha ni kweli tulisoma nae mwamba, unajua zile pisi ukiwa chuoni unazitamani hata utoke nazo out lakini mfuko unakuzia unahofia kabumu kataisha. Basi ndo huyu manka sasa nilivokutana nae miaka imepita na kidogo nna wallet nikasema kaisha huyu.
 
Teke la kidevu.Mimi nimekua na ndugu zangu enzi hizo wao walikuwa smart,ubishoo mwingi .Mimi nilikuwa rafu au kwa kujifariji nijiite wa kawaida tu na sikua na mpenzi ,demu wala rafiki wa kike ila ndugu zangu wote walikua nao.Licha ya harakati zote nilikua nachezea chaga tu za mbavu hata mademu mabovu nayo yalikua yananitosa.So nikawa mtu wa getho tu mwenyewe ,mwenyewe.Sasa kilichokuja kutokea ikatokea zari la kula mbunye kimasihara badala kula mbunye nikaishia kupigwa teke la kidevu,kupigiwa keleleza za ubakaji na kushinda mlimani siku nzima.
Ndugu yangu mmoja alikuwa na mamanzi wengi so akanionea huruma mwanae sijawahi kuonja papuchi.Mchoro ukatengenezwa katika hao mamanzi wake kuna kamoja alikuwa hakapendi.Akanidanganya atakaleta gheto then nikawekee filamu ya kikubwa automatically lazima nikale tunda.
Kweli mipango sio matumizi ,ndugu yangu akakaleta kale kamanzi akatuacha gheto.Sikujua hata niongee nini na yule manzi nikazama kwenye chimbo langu nikatoka na mkanda wa X.Demu yupo kimya tu ,nikaplay hapo tupo kama mabubu tu ,ka baada ya dk5-6 nilichoweza kumwambia ni njoo tulale.Demu akagoma ,nikamrukia nipige kwa nguvu we kale ka mwanamke kalipiga kelele unataka kunibaka ,unataka kunibaka.Nikaona sasa huu msala nikatimua mbio kila sehemu nayokimbilia naona kama ntakamatwa .Akili ikanituma niende mlimani tu .Nikakaa mlimani mpaka usiku.Kurudi homu kumbe ndugu zangu wale wote walikua wanasikilizia mchezo kwa nje kwa kifupi walinifanya kikaragosi.Wakaniambia hakuna msala walishampoza yule manzi.Hongereni kwa wote ambao process ya kuchakata mbunye kimasihara iliwaendea smooth.
Wenu,
Formula2.
 
Hiyo siyo kimasihara mkuu,umesotea mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa pesa zako zipo kwenye kuwa script writer we ni nyoko kama naangalia movie hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo siyo kimasihara mkuu,umesotea mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kusotea wewe? Mtu unapewa namba leo humtafuti unafanya mishe zako unamtafuta kwa muda wako unakula mzigo, kuna kusotea hapo? Unless otherwise kusotea unakoongea wewe kununua redds na msosi which is sooooo fine with me, afterall give a lady a drink, fill her belly and she will give you her cherry.
 
Ulitaka kufosi kingi hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…