Week 1 baada ya orientation chuoni,nilikuwa canteen na jamaa yangu tunapiga msosi mida ya saa tatu asubuhi,tukakaa kwenye meza moja ya duara wawili tu,ukaletwa msosi ile tumeanza kula akaja demu fulani wa kawaida tu hata sio mzuri,akakaa meza yetu,mimi nina chapati zangu tatu ,maini na maziwa mgando,jamaa yangu ana chapati mbili ndizi za buku jero(nyingi sio poa) za kukaanga na maini na juice,demu akaagiza wali nyama,wakati tunakula dem akaanza kumtania msela (hawajuani) kuhusu ule msosi heavy maana jamaa ana sahani 2 na bakuli,jamaa akaw anacheka tu huku wanapg stori ,mi nipo kimya,jamaa akamkaribisha demu msosi wake demu Kakataa hata wali wake hakumalz akasepa,the next day nikakutana na demu akamuulizia jamaa (yule rafki ako jamani anakulaaaa,yupo wapi ?) Nikamwambia yupo mbali kidogo,nikachhkua namba za demu wakati tunachat ananitania mi kibonge nafanana na shemeji ake,nikamwambia aje geto siku hiyo hiyo akaja tukapga stori weeh badae akaomba nimpeleke kwake nikampeleka nikapaona,kesho yake akaja kwangu tukalala bed tu kiushkaji mchana huo jua kali,badae akaanza kunisogelea nikamtania ntamkiss akasema siwezi,nikamkiss katulia tu,nikampiga denda nilistukia nikevutwa nikashikwa kichwani demu ananipiga mate,nikaomba papuchi akanipa hapo hapo kwa shariti nisiione coz haijanyolewa ,nikala weeh siku nzima,the next day nikaenda kwake nikampiga vidole sana then akanipa blowjob(mpaka hapo sijamtongoza na simuiti baby) the next day akaomba tuwe wapenzi nikakubali ,nilimla sana yule demu,akawa ananipikia analeta msosi mwingi,analeta pilau na kuku,nyama ya ng'ombe na chips na kachumbari na juice vimejaa hotpot nikawa nakula na wana na vinabaki,nilimuacha ila saivi nipo kwenye process za kumla rafiki ake
 

Mkuu samahani kama nitakukera

Sehemu yeyote ukiwa na maelezo marefu kama hayo hapo juu jitahidi kuumba sentensi vizuri.

Shule ya msingi tulifundishwa miandiko vizuri sana na pia madaftari ya mistari mikubwa na midogo yalikuwa na maana sana,

Samahani kama nimekosea
 
Sawa mkuu,huwa sipo vizuri kuandika,anyway i hope umeelewa
 
analeta pilau na kuku,nyama ya ng'ombe na chips na kachumbari na juice vimejaa hotpot nikawa nakula na wana na vinabaki,


Dogo acha kujaza utumbo kwenye chai
 
Hii sio kimasihara. Ulitumia muda mrefu tu kuomba gemu. Mkuu kimasihara ni ile huna a Wala be na Wala hujamuweka kwenye radar ila mzigo unautafuna.
Baada ya miezi sita si akaileta mwenyewe lakini??? Akaja un expectedly, na Kumbuka sikumwita, na nlikua sitegemei kama ngekula papuchi

Pia ukumbuke sikumtongoza

Sina moja wala mbili kipoch kikaja na kikaliwa bila kua planned, so bado ni mule mule tu kimasihara
 
Hahahahahahahahahahahahha. Nomaaa sanaaa hizo ndo moments zenywe .sio za kucheza nazo mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…