zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
nimekwambia kamq gono linaendana na HIV bas watu salama wasinge zidi 100ksasa mkuu kama na ww ulipiga na ndom ilikuwa vp ukapata gono mzee baba??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekwambia kamq gono linaendana na HIV bas watu salama wasinge zidi 100ksasa mkuu kama na ww ulipiga na ndom ilikuwa vp ukapata gono mzee baba??
Umepewa likes lakin kacheki afya! There is Proportionality somehow!Hii nyingine nakumbuka ilikuwa 2016 mida ya sa4 usiku naelekea nyumbni nikakutana na bidada Fulani ni mteja wangu sana tukapena salamu vizuri.
Anapoishi sipafahamu ndipo akanambia nakaa nyumba ile unayoiyona jirani na ile grocery akanambia kila siku nakuungisha wewe Leo kaninunulie ata Bia moja nikamjbu mmeo je akasema yeye hajaolewa ni mchepuko Wa mtu kwahyo jamaa anamtunza tu,nikamjbu poa ila sharti siendi kukaa apo grocery twende nyuma ya nyumba yako weka kiti tunywe Bia apo
Baada ya Bia kumpanda kichwan nikaomba mechi akainama nikapiga kimoja cha fasta ila kilichonipata nilijutia mana niliondoka na gono na mimba juu bada ya wiki nilipata tabu sana kukojoa nimejitibu kwa gharama na bada ya wiki kadhaa anasema ana mimba yangu na inatakiw itolewe mana jamaa akijua atakatisha matumiz
Ile sehemu ilikuwa matata sana. Ukikaa mle ndani unaona wanaoingia na kutoka Mlimani City. Ilikuwa sehemu ya kijanja sana kwa mazungumzo na watoto wazuri.Umenikumbusha Fairly Delights ndio lilikuwa chimbo langu la kila Siku jioni napiga chai yenye udambwi udambwi wa kutosha. Hii route nadhani bado ipo ila Siku hizi ni Simu 2000 - Makumbusho
Zote nakula kwa masikhara kabisa....
Natamani nile lako pia kwa maskhara....
Sasa wewe na Huyo binti mliishia vip? Yule jamaa yako Alisha Oa?Ile sehemu ilikuwa matata sana. Ukikaa mle ndani unaona wanaoingia na kutoka Mlimani City. Ilikuwa sehemu ya kijanja sana kwa mazungumzo na watoto wazuri.
Na Salary SlipUzi kama huu Mwanahabari Huru humkuti.
Mi mwenywe muoga sana,nikivaa kinga huwa nakua na amani sana.Binafsi bila buti sijapiga show.
Binti ameshaolewa na Msomali mwenzake. Jamaa yangu naye ameshaoa tayari. Mimi niliendelea na maisha yangu na nimeshaoa pia.Sasa wewe na Huyo binti mliishia vip? Yule jamaa yako Alisha Oa?
Hela ya laptop ulikuja kulipa jee usiono uliendeleaje na kama ulikufa nini sababuSemester ya kwanza mwaka wa tatu,jioni moja nilienda kumtembelea rafiki yangu ambaye alikuwa Main Campus - UDSM.
Nilipofika alikuwa yupo pale kituoni Utawala akongea na binti mmoja wa kisomali ambaye mwanzoni nilidhani ni mwarabu. Hapa naomba nimwite Minna (sio jina halisi) Walikuwa wakizungumza kuhusu laptop, basi nikatambulishwa na mazungumzo yakaendelea.
Shida ya binti ilikuwa anauza laptop yake ili anunue nyingine. Nikajitosa kwamba ninaitaka hiyo laptop, binti bila kusita akanikabidhi nikampa ahadi kwamba hela nitampatia ijumaa inayofuata ( nilikuwa nasubiria Boom na pesa ya special faculty requirements) Nilicheki laptop na nikaridhika nayo.
Jamaa yangu akakubali kuwa mdhamini.
Tukabadilishana mawasiliano na binti akasepa, nikabaki na jamaa yangu tukiendelea na story za hapa na pale na jamaa akafunguka kwamba huyo binti anamkubali sana na ana mpango wa kujiweka hapo. Nikamtakia kila la kheri.
Boom likaingia Alhamisi, usiku nikamtext kuwa hela ipo tayari, nitampelekea kesho yake, akajibu kuwa hatakuwa chuoni kesho yake hivyo atanijulisha atakaporudi. Nikamtania kuwa "hii hela nitaila ukichelewa"; akajibu "ukiila na mimi nitakukula wewe" nikabaki na kimshangao kisha nikamjibu "utaanzia kunila wapi" binti akajibu " nitaanzia kwa nyoka wako" meseji zote hizi ni kwenye SMS hivyo hakuna emoji.
Nikajibu "huyu nyoka wangu ana sumu kali" binti wa kisomali akamaliza kesi "usijali, nitamla yeye na sumu yake, wewe sema tu lini na wapi?!" Sikuamini nilichokuwa nasoma, nikamjibu "lodge, jumatatu kama utakuwa umerudi" kimya kirefu kikapita kisha akaandika "sawa, iwe mahali tulivu" .
Kwa kweli weekend hii ilikuwa ndefu sana, maana niliona siku haziendi kabisa, mawazo yote yakawa kwa binti wa kisomali. Rafiki yangu sikumweleza chochote kuhusiana na jambo hili.
Jumatatu asubuhi napokea sms "nyoka ameamka salama? Tukutane mbele ya Fairly Delight Mlimani City ( Hii ilikuwa restaurant eneo la nje ya Mlimani city kwenye geti la upande wa Survey kulikuwa na "buffee" za 10,000/- siku haipo hii restaurant).
Nikapanda Hiace ( Za Mwenge - Ubungo kupitia chuo) sijui kama hii route bado ipo. Nikafika nikamkuta mdada wa kisomali amepiga Baibui moja matata sana na ndani ana suruali tight ya jeans blue, amejiremba vya kutosha. Nilikuwa na aibu ya hapa na pale maana ilikuwa kama ndoto.
Tukazama Fairly Delight tukapiga chai na vitafunwa vya kutosha.
Saa nne kamili tukatoka, tukavuka barabara kuelekea upande wa Sinza ( pale kilipo kituo cha Daladala - ule mtaa una lodge nyingi sana.
Tukaingia lodge moja inaitwa Executive, nyoka akachezewa vya kutosha na kumwaga sumu isiyo na madhara. Mtoto alikuwa fundi sana na mwenye ashki za kutosha. Nachokumbuka nilirudi chuo jumatano saa nne asubuhi.
Hela ya laptop hakuichukua, mapenzi yakaendelea kwa kasi sana, nilipima nikaona nibaki na msomali kuliko dada mlokole ambaye alikuwa anataka ndoa wakati sikuwa hata na wazo. Dada mlokole akapata mchumba japo niliendelea kula mara moja moja.
Urafiki na jamaa yangu ukafa na jamaa akawa na hasira sana na mimi. Tumekuja kupatana mwaka 2018 baada ya kukutana Arusha kila mtu akiwa na issue zake.
Ile sehemu ilikuwa matata sana. Ukikaa mle ndani unaona wanaoingia na kutoka Mlimani City. Ilikuwa sehemu ya kijanja sana kwa mazungumzo na watoto wazuri.
Nakumbuka tulifanya safari kadhaa Bagamoyo na Zanzibar labda huko ndipo nilijitutumua, ila binti kwao wapo vizuri na alikuwa anajua yupo na kijana aliyekuwa anategemea boom hivyo hakunikamua sana.Hela ya laptop ulikuja kulipa jee usiono uliendeleaje na kama ulikufa nini sababu
Hapana, wa kawaida sana [emoji38][emoji38]! Labda strong points zangu ni upole na msikilizaji mzuri sana.Inaonekana wewe ni handsome sana
Hapa utatukuta ma-great thinker tu...Uzi kama huu Mwanahabari Huru humkuti.
Ni kweli, nilipita pale shoppers siku moja ila setting ya ndani na nafasi sio kama ilivyokuwa Mlimani City.Halafu affordable kabisa bei zake, ilihama pale ndani ikahamia nje pale palipojengwa steers wakati fulani hivi ila haikufanya vizuri sana pale nje ikafungwa. Siku hizi naona wako Shoppers na pale Engen Mbezi na Mkuki Mall. Tangu wakati ule wamekuwa my favorite joint sehemu wanapopatikana