Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hii nyingine nakumbuka ilikuwa 2016 mida ya sa4 usiku naelekea nyumbni nikakutana na bidada Fulani ni mteja wangu sana tukapena salamu vizuri.

Anapoishi sipafahamu ndipo akanambia nakaa nyumba ile unayoiyona jirani na ile grocery akanambia kila siku nakuungisha wewe Leo kaninunulie ata Bia moja nikamjbu mmeo je akasema yeye hajaolewa ni mchepuko Wa mtu kwahyo jamaa anamtunza tu,nikamjbu poa ila sharti siendi kukaa apo grocery twende nyuma ya nyumba yako weka kiti tunywe Bia apo

Baada ya Bia kumpanda kichwan nikaomba mechi akainama nikapiga kimoja cha fasta ila kilichonipata nilijutia mana niliondoka na gono na mimba juu bada ya wiki nilipata tabu sana kukojoa nimejitibu kwa gharama na bada ya wiki kadhaa anasema ana mimba yangu na inatakiw itolewe mana jamaa akijua atakatisha matumiz
Umepewa likes lakin kacheki afya! There is Proportionality somehow!
 
Umenikumbusha Fairly Delights ndio lilikuwa chimbo langu la kila Siku jioni napiga chai yenye udambwi udambwi wa kutosha. Hii route nadhani bado ipo ila Siku hizi ni Simu 2000 - Makumbusho
Ile sehemu ilikuwa matata sana. Ukikaa mle ndani unaona wanaoingia na kutoka Mlimani City. Ilikuwa sehemu ya kijanja sana kwa mazungumzo na watoto wazuri.
 
Episode 3

JINSI NLIVO MLA MANZI WA BRO FLANI KIMASIHARA

ilikua weekend mida ya saa tatu usiku namrudisha mamiii lov wangu home kwao baada ya kupata nae dinner, ile nakaribia kwao nkapark pembeni, mtaa wao ni ushuani flani so hakuna wapita njia mida hyo, tukaanza kissing, nlikua horny kinoma but sikuweza kumfuck bcz alikua ana bleed, akanipa blow job, yani ile ananisuck ata dakika sikuchkua nkapiz, nkaagana nae akasepa.

Ile narudi akili haijipi kabisa kurudi kulala, nkamchek muhuni wangu flani anipe code, nikaenda mitaa flani nikakutane nae tukaanza shusha bia mdogo mdogo

Badae tukahama kiwanja, kuna kiwanja chetu pendwa tunapenda sana kwenda, na panakuaga na vibe la kueleweka

Ss bcz sehemu ipo crowded, karibia viti vyote vmejaa ni kusimama na bia, ss kuna mda nkamwona bro flani wa kitaa chetu amekaa kwenye meza flan na manz flani mweupe

Ile mepeana nae hi, akaniuliza jamaa vp? uko poa? Huyu Bro ni ma bro wa kitaa cha home, hua ni msela sana af ni mtu wa sound sound nyingiiii, yani ana fix c mchezo, hua anapenda kujiona babu kubwa sana.

Akaniuliza nimekaa wapi kama vp nije nichill nae hapa meza moja, nkamstua jamaa angu, tukabeba drinks zetu tukakaa nao meza moja

Tukampa hi manzi akatujibu kwa mapozi huku akiendelea kuchat kwenye simu yake

Basi bwana,ni mwendo wa bia story, bia na story, mpaka tunakuja hapo yule bro hajatutambulisha kama yule ni manzi wake, kuna mda manzi akanyayuka akawa anacheza pembeni yule bro ndio akasema shemeji yenu yule, nkamwambia bro hongera

Akaanza kumsifia yule manzi blah blah blah nyingi, basi yule manzi alivorudi bro story zikakata, basi bro kuna mda akaenda salimiana na washkaji zake amekutana nao pale ghafla

Nkabaki mm na manzi na mshkaji wangu nliekuja nae, kuna wimbo ukapigwa demu alikua anaupenda akanyanyukaa akanza kucheza, alikua white, portable flani, kavaa kimini na high heels zake, she looked sexy

nkamsifia nkamwambia shem u look gud, huku namwangalia from head to toe

Akanijibu shem kwa nani??? Nkasema si shem kwa bro wetu ambae tupo nae meza moja, akasema noooo!!! Me and J (sio jina halisi la yule bro) are just friends, leo aliniomba tutoke out, so nimetoka nae out but we are not lovers

Mi nkajisemea moyoni Doh!!!!, nka conclude bro alikua anajisifia, anyway mi nkaendelea kunywa bia

ss toka tulivokuja kuna kitu nligundua, yule manzi alikua ananichek kwa kuibia, nkigongana nae macho anakwepesha, kuna mda adi yule mwana nliekuja nae aligundua na akani nong'oneza mbona huyu manzi anakucheki sana

Kuna mda nkanyanyuka nkaenda washroom, washroom zimejitenga flani, zipo mbali kimtindo, ile natoka washroom nakutana na yule manzi kwenye corridor, akaniambia nimsindikize

Tukaende kwenye parking, parking kulikua hamna watu, manzi akasema anataka fresh air kule anaona hewa nzito, tukanza kupiga story but nkiwa nae zero distance,

All of a sudden we kissed, nkagrab her ass tightly nkamvuta kwangu, nkampiga kiss ya nguvu, ile naminya ass yake anaguna tu kimahaba aaaah!!!

Akili zikarudi, nkamwambia ujue hapa tupo parking ebu turudi mezani, ile tunarudi tu njian tukakutana na yule bro, anaona kabisa tumetoka parking

Aisee bro alikasirika kinoma, ikawa vurugu, manzi anamwambia yule bro, J whats ur problem, mi nlitaka tu fresh air

Tukarudi pale mezani, bro akawa ananikata jicho sio poa, jamaa akaniuliza vp mzee what happened, nkabeba drinks nkahama nae jamaa angu meza

Nkamsimulia mwana, akasema ss bro anamind nn wakati sio manzi wake, yule bro alikua na hasira akaenda kucheza pool, wakati anacheza pool akagombana na mtu, wakanza kupigana bouncers wakambeba wakamtoa nje

Mi nkamaliza bia, nkamwambia mwana tusepe, ile tupo parking tumemwona manzi kasimama tu haeleweki, all of a sudden yule manzi akatufata, akasema mnavoondoka naomba mnipe ride, nkamwuliza anakaa wapi, akasema anapokaa ni mbali but naomba ni drop mjini tu sehemu ambayo ntapata lodge nzuri nilale maana sijiskii vizuri na hapa nipo too drunk

Jamaa angu nae kalewa kinoma, kwa hesabu za haraka, ikabidi nimdrop mwana kwake kwanza bcz ni karibu, then nimpeleke manzi mjini

Nikamdrop, mwana then manzi nkamrush mjini, nkamwambia lodge hizo hapo, zipo nyingi huwezi kosa room haya maeneo

Akasema, seriously!!! hunisaidii ata kuulizia kama room zipo, af unanishusha tu usiku wa manane, what if people take advantage of me

Honestly baada ya kutoka parking na kukiss nlikua sina hamu na yule manzi tena

Tukashuka, tukaulizia room sehemu ya kwanza, tukaambiwa vyumba vipo, hapo hapo akavua high heels zake akazishika mkononi, nkamwambia ushapata room so good bye, akasema i cant sleep alone

Kimoyo moyo nkasema okay, nkajiongeza, akalipia room, ile tunaingia tu room, mlango unarudishwa tu, mtu kashanirukia mdomoni

Tunakiss, mtu kashanishika mkanda wa suruali, ghafla zipu imefunguliwa, ila kichwani nkajisemea im not f*cking this chick dry

Nkamshika shingo, nkampeleka chini akanipa blow job mpaka nkapiz, nkaenda bafuni nkanawa, nkarudi reception nkauliza kama wana condoms, wakaniuzia

Nkarudi room, manzi alikua hajavua bado, katoka bafuni kusukutua, nkashika nywele zake nkamshikisha ukuta, nkanyanyua kimini chake, nkakuta kavaa bikini nkakishusha chini, nkavaa condom yangu

Nilimf*ck hard yule manzi, nkamtupa bed nkamweka doggy, dah nlivomaliza nkaenda kuoga narudi nakuta kashasinzia, na simu zake zimezima chaj

Nikaenda kwenye gari kuna sticky note, nkaandika namba ya simu na jina, nkarudi rum nkaibandika ile note kwenye pochi yake

Mi nkasepa, mchana alinitafuta, imagine ata jina lake simjui, nkamwuliza hvi unaitwa nani, ndio tukaanza kufahamiana hapo, alikuja kuhama mkoa

Yule bro hatuongei mpaka leo, kumbe alikua anamfukuzia yule manzi toka kitambo, na kaingia gharama mno, but manzi anamzingua, ndio vile mwamba nkaja kula tunda kimasihara, gharama nilioingia ni ya kununua condom tu

THE END

STAY TUNED FOR EPISODE 4 : NLIVOMLA MANZI KIMASIHARA NKIWA MKOANI KIKAZI
 
Wtf...??????People sharing dirty stories like there is no STD's...????seriously...????? Wallah...."keep to your faith ..with out evils we will never recognized good".....
 
Ile sehemu ilikuwa matata sana. Ukikaa mle ndani unaona wanaoingia na kutoka Mlimani City. Ilikuwa sehemu ya kijanja sana kwa mazungumzo na watoto wazuri.
Sasa wewe na Huyo binti mliishia vip? Yule jamaa yako Alisha Oa?
 
Semester ya kwanza mwaka wa tatu,jioni moja nilienda kumtembelea rafiki yangu ambaye alikuwa Main Campus - UDSM.
Nilipofika alikuwa yupo pale kituoni Utawala akongea na binti mmoja wa kisomali ambaye mwanzoni nilidhani ni mwarabu. Hapa naomba nimwite Minna (sio jina halisi) Walikuwa wakizungumza kuhusu laptop, basi nikatambulishwa na mazungumzo yakaendelea.
Shida ya binti ilikuwa anauza laptop yake ili anunue nyingine. Nikajitosa kwamba ninaitaka hiyo laptop, binti bila kusita akanikabidhi nikampa ahadi kwamba hela nitampatia ijumaa inayofuata ( nilikuwa nasubiria Boom na pesa ya special faculty requirements) Nilicheki laptop na nikaridhika nayo.
Jamaa yangu akakubali kuwa mdhamini.
Tukabadilishana mawasiliano na binti akasepa, nikabaki na jamaa yangu tukiendelea na story za hapa na pale na jamaa akafunguka kwamba huyo binti anamkubali sana na ana mpango wa kujiweka hapo. Nikamtakia kila la kheri.
Boom likaingia Alhamisi, usiku nikamtext kuwa hela ipo tayari, nitampelekea kesho yake, akajibu kuwa hatakuwa chuoni kesho yake hivyo atanijulisha atakaporudi. Nikamtania kuwa "hii hela nitaila ukichelewa"; akajibu "ukiila na mimi nitakukula wewe" nikabaki na kimshangao kisha nikamjibu "utaanzia kunila wapi" binti akajibu " nitaanzia kwa nyoka wako" meseji zote hizi ni kwenye SMS hivyo hakuna emoji.
Nikajibu "huyu nyoka wangu ana sumu kali" binti wa kisomali akamaliza kesi "usijali, nitamla yeye na sumu yake, wewe sema tu lini na wapi?!" Sikuamini nilichokuwa nasoma, nikamjibu "lodge, jumatatu kama utakuwa umerudi" kimya kirefu kikapita kisha akaandika "sawa, iwe mahali tulivu" .
Kwa kweli weekend hii ilikuwa ndefu sana, maana niliona siku haziendi kabisa, mawazo yote yakawa kwa binti wa kisomali. Rafiki yangu sikumweleza chochote kuhusiana na jambo hili.
Jumatatu asubuhi napokea sms "nyoka ameamka salama? Tukutane mbele ya Fairly Delight Mlimani City ( Hii ilikuwa restaurant eneo la nje ya Mlimani city kwenye geti la upande wa Survey kulikuwa na "buffee" za 10,000/- siku haipo hii restaurant).
Nikapanda Hiace ( Za Mwenge - Ubungo kupitia chuo) sijui kama hii route bado ipo. Nikafika nikamkuta mdada wa kisomali amepiga Baibui moja matata sana na ndani ana suruali tight ya jeans blue, amejiremba vya kutosha. Nilikuwa na aibu ya hapa na pale maana ilikuwa kama ndoto.
Tukazama Fairly Delight tukapiga chai na vitafunwa vya kutosha.
Saa nne kamili tukatoka, tukavuka barabara kuelekea upande wa Sinza ( pale kilipo kituo cha Daladala - ule mtaa una lodge nyingi sana.
Tukaingia lodge moja inaitwa Executive, nyoka akachezewa vya kutosha na kumwaga sumu isiyo na madhara. Mtoto alikuwa fundi sana na mwenye ashki za kutosha. Nachokumbuka nilirudi chuo jumatano saa nne asubuhi.
Hela ya laptop hakuichukua, mapenzi yakaendelea kwa kasi sana, nilipima nikaona nibaki na msomali kuliko dada mlokole ambaye alikuwa anataka ndoa wakati sikuwa hata na wazo. Dada mlokole akapata mchumba japo niliendelea kula mara moja moja.
Urafiki na jamaa yangu ukafa na jamaa akawa na hasira sana na mimi. Tumekuja kupatana mwaka 2018 baada ya kukutana Arusha kila mtu akiwa na issue zake.
Hela ya laptop ulikuja kulipa jee usiono uliendeleaje na kama ulikufa nini sababu
 
Ile sehemu ilikuwa matata sana. Ukikaa mle ndani unaona wanaoingia na kutoka Mlimani City. Ilikuwa sehemu ya kijanja sana kwa mazungumzo na watoto wazuri.

Halafu affordable kabisa bei zake, ilihama pale ndani ikahamia nje pale palipojengwa steers wakati fulani hivi ila haikufanya vizuri sana pale nje ikafungwa. Siku hizi naona wako Shoppers na pale Engen Mbezi na Mkuki Mall. Tangu wakati ule wamekuwa my favorite joint sehemu wanapopatikana
 
Hela ya laptop ulikuja kulipa jee usiono uliendeleaje na kama ulikufa nini sababu
Nakumbuka tulifanya safari kadhaa Bagamoyo na Zanzibar labda huko ndipo nilijitutumua, ila binti kwao wapo vizuri na alikuwa anajua yupo na kijana aliyekuwa anategemea boom hivyo hakunikamua sana.
Alichumbiwa wakati bado akiwa chuoni nami nikawa na binti mwingine (mtoto wa Mchungaji).
Ila mpaka leo tupo na amani tele tukikutana.
 
Halafu affordable kabisa bei zake, ilihama pale ndani ikahamia nje pale palipojengwa steers wakati fulani hivi ila haikufanya vizuri sana pale nje ikafungwa. Siku hizi naona wako Shoppers na pale Engen Mbezi na Mkuki Mall. Tangu wakati ule wamekuwa my favorite joint sehemu wanapopatikana
Ni kweli, nilipita pale shoppers siku moja ila setting ya ndani na nafasi sio kama ilivyokuwa Mlimani City.
Nadhani kilichokuwa kinawapa biashara pale Mlimani City ni position na namna ilivyokuwa imepangwa mle ndani.
Kipindi kile pia bei zilikuwa nzuri na zile "bufee" za kulipa 10,000/- unakula lunch kadiri upendavyo.
 
Juzi Nyerere day mida ya saa 3 na nusu naenda job baada ya makonda kutaka tufungue maduka saa 5 naingia kwenye daladala maeneo ya sinza, nikapanda na binti mmoja tukakaa siti moja baada ya kukaa tukasalimiana, mara simu yake ikaita akaongea km dk 20 hivi, sasa kuna maeneo alikua anaelekezwa na aliekua anaongea nae (lkn hakua akielekea huko) akaniuliza ni wapi na unafikaje huko nikamuelekeza akashukuru, akaniuliza kwani sigara zina faida gani hadi mvute (aliskia nanuka maana mi ni mvutaji) nkamwambia basi tu ujana mwingi hadi nmejikuta mvutaji akajibu pole,
Ukimya ukatawala hadi tunashuka kwenye gari (nilikua namuangalia sana kiwizi hadi akanishtukia sauti yake tu ndio ilinidatisha, huku nawaza huyu ukimla si ndio hata sauti haitoki kabisa)
Kuinuka kwa siti maweeeeeeeeeeee nkagundua kumbe alikua na chura ya hatari imetuna midhili ya joti anavyofungasha matambara yaani chura ilikua offside kabisa ila sura ya kawaida, kavaa kisketi kirefu chini kabisa ya magoti ila kwa nyuma kimeinuka sababu ya urefu wa chura, nilijikuta nafuata kwa mbaali nione tu kisketi kinvyopepea hadi karibu na round about zamani kkoo wakati mi naishia karibu na kituo cha mwendokasi B,

Baada ya kufungua duka naendelea kutoa vitu nje namuona yulee anapita anaongozana na mdada, mara yule dada kaangalia dukani afu akaja, yaani huko nje vijana wamachinga macho yapo dukani wanashangaa chura ya yule binti, yule binti akagundua tulipanda wote gari akasalimia shkamoo kwa tabasamu jepesi, huku dada yake akiendelea kuangalia mahitaji yake nkaandika no yangu ya simu kwenye kikaratasi kisha nkampa kwa siri,

Mida ya jioni naona sms shikamoo, kuuliza akajitambulisha, tukaendelea kuchati huku namsifia sanaa yeye anacheka tu, jana nkamtumia sms "nkiwa kama mwanaume kamili nna tamaa kama wanaume wengine, sijui utanizuiaje nsikutamani kwa jinsi ulivyo", "nkisema nakupenda ntakua nakudanganya maana nna familia tayari, napenda kusema ukweli wangu toka moyoni nimekutamani sanaa" yeye anatuma emoji za kucheka tu,
"natamani siku moja tucheze mechi ya kirafiki kama hautajali nafsi yangu angalau itulie maana ushaiharibu"

Akauliza "wee unapenda wanawake wenye makalio makubwa ehh", nkamwambia waala nashangaa tu kwako umenivutia tu na sio sababu ya hilo chura lako la kutisha, akasema omba Mungu tu inaeeza tokea hiyo mechi ikawepo japo ni ngumu, nkamwambia sawa.

Asubuhi ya leo saa 11 na dk20 nafika tu kituoni nkamuona yupo na yule dada ake mara gari ikaja dada ake na wengine wakaingia mi natega aingie nifate nyuma nkakae nae nkagundua yeye hapandi alimsindikiza dada ake nkarudia kwenye ngazi nkamfuta kuniona akashtuka, tukapiga story kidogo akaniambia anataka awahi home maana mlango hawajafunga na funguo nkaongozana nae na vistori vya hapa na pale mara tukafika wanapoishi akafungua geti nkauliza km naweza ingia akasema ndio na wanaishi na dada tu pale na alitoka kuwahi kwenda kununua vitu vya kuuza kwenye biashara yake...

Tukaingia hadi ndani akasema "ngoja nivae nguo maana nlitoka sijavaa vizuri" (alivaa nightdress na kitenge alifunga kuanzia kifuani) nkamwambia umeweza kwenda barabarani hivyo hapa uko ndani kwako unaogopa nini? Akaniambia nakuheshimu tu nsijekaa vibaya ukanchungulia, nkamwambia wala usiogope mi sina madhara hata nkiona ntauchuna kiume tu, nkamuuliza lkn mbona umevaa vizuri tu hauko vibaya? Akasema ndani sijavaa chochote nkamuuliza kweli? Akawa anacheka tu nkamwambia nataka nije kuhakikisha kama kweli hakujibu chochote akatulia huku kasimama mlango wa kuingia chumbani kwake (hapo tupo kisebuleni) nkamfata km utani yeye akajiziba uso na mkono km mtu analia, nkafungua kitenge nkapandisha kinightdress nkapeleka mkono hamadi "kitumbua" hiki hapa.... Yeye katulia tu...

Kilichoendelea hapo nyote mnajua sema show haikua kali kihivyo anaonekana bado mgeni sana wa hayo mambo pia kulikua na watu wapo uani nyumba ya jirani nikienda kasi ya 4G alikua akitoa sauti kubwa ikabidi iwe mwendo wa 3G ili wasijue kinachoendelea, baada ya dk km 25 hivi nkavaa namuaga anaona aibu tu hata kuniangalia hawezi.

Yaani hapa nipo job najutia nilichokifanya, kanitumia sms ya Asante hata sijajibu, nawaza tu alivyo si watakua wanampitia wengi? Maana mimi sio muumini wa ndomu mwendo wa kavu tu.
Yaani hapa najinusa kila saa naskia kile kiharufu cha "MBIKO", ikipita mda sijaona wateja najiwazia nshajitia nuksi maana hata sikuoga nilijifuta vizuri tu.

Yaani mi nahisi nimelogezewa uchi, naupenda kuliko chakula, hata ela nahisi siipendi kama K.
 
Back
Top Bottom