NYINGINE HII
TUKIO LA UJAMBAZI LILIVYONIFANYA NILE TUNDA KIMASIHARA
Nakumbuka Tukio hili lilitokea Mwaka 2010 eneo la Mazizini, Ukonga...kipindi hicho nimetoka kumaliza Chuo nasubiri ku graduate,So nilikuwa tu mtaani nafanya mishe zangu binafsi za hapa na pale za kupata Sh 200,300
Nakumbuka siku hiyo mishale ya saa 12 jioni narudi zangu home,baada ya kuoga nikaamua kumcheki mwana ili tupige stori 2,3...baada ya kumvutia waya akaniambia yupo kijiweni so kama vipi nimfate
Pale kijiweni ilikuwa ni sehemu iliyochamgamka sana kwani kwambele yake kulikuwa na Duka moja kubwa tu
la vyakula,so kwa nyuma kulikuwa na mwembe mmoja mkubwa sana,so mwenye duka aliweka design flani nzuri sana ambayo hata kama ukiwa na mgeni wako unaweza kwenda nae pale kuchill huku mnapata kinywaji
Sasa baada ya kufika hapo nikamkuta mshkaji yupo na mademu wawili..mmoja ni demu wake(alikuwa mwaka wa 1 UDSM)pamoja na huyo rafiki wa demu wa jamaa (nae alikuwa mwaka wa kwanza UDSM)...So walikuwa FIELD
Sasa baada ya kuwapa salamu pale nika wajoin tukaanza kupiga stori 2,3...wakt wote huo mm sikuPAY attention yeyote kwa Shemeji wa jamaa...Stori zikaendela pale huku tukishushia na vinywaji tukisogeza muda ili baadae kila mtu asepe kwao
Sasa hamadi imefika mishale ya saa 2 na dk zake Usiku zikaja pkpk mbili zimebeba majambazi wana silaha..walivyofika tu..wakafyatua risasi kama 3 hvi juu na maneno kibao ya kutisha watu wasipite kwenye ile njia na walioko majumbani wasitoke nje
Sasa kile kiwewe(kumbuka cc tulipokaa ni nyuma ya lile duka) Jamaa alimshika demu wake akakimbia nae....mm nikatoka nduki kuelekea nyumban hata nyuma siangalii...nafika nyumban nafungua mlango hamadi namuona yule rafiki wa manzi wa jamaa huyu hapa..kapaniki balaa...khanga yake aliyokuwa amejifunga kiunoni ilimdondoka so alibakiwa na vile vibukta vifupi sana wanavyovaaga kina dada
Basi nikafungua mlango tukaingia ndani breki ya kwanza seblen..sasa hapo ndo nilipoanza kumchora vzr yule dada...alikuwa ana umbo moja matata sana...tukaanza kuchekana pale jinsi kila mmoja alivyotoka nduki...dakika c nyng mbele nikamwambia"hv unajua khanga yako imedondoka" akashtuka..kujichek kwel hana khanga..akaanza kuwa na zile aibu za kidada..nikamfata nikamtoa mikono usoni nikaanza kucheza na mikono yake...ananiangalia tu...nikasema ngoja nitest kushika kiuno,ananiangalia tu,kutest lips,mtoto anatoa ushirikiano vzr tu
Basi nikajilia kigoli kimoja cha Fasta pale,then nikamtoa kumsindikiza kurudi kwa rafiki yake(nilichukua no yake)
Basi huo ukawa ndo mchezo wetu..Nilijilia yule mtoto mpk nilipopata mishe nikahamia mkoani huko..na huo ndo ukawa mwisho wetu
Popote pale ulipo Miss IRENE..unakumbukwa sana na mm
Sent using
Jamii Forums mobile app