Kuna jamaa kaleta stori humu alimla demu wa rafiki yake, baada ya mshikaji wake kupigwa suprise.
 
Nakumbuka home,,mama angu n mkusanyaj wa hela za vikoba kina mama sa Kuna sku katoka maza kaenda kweny mihangaiko bhan,,sku hiyo kaja mwanamke miaka Kam 29 HV kaleta ela sku hyo npo mwenyew home nakula mzik mzto kweny professional speaker kanpa ile ela afu kaanza kuniangalia nadance pale kanmbia napend unvocheza,,nkamwmbia njoo tucheze ote ile kuja tukcheza nkaanza mbambia kiuno s kaanza kulegea mke wa watu,,nkala tundaa kiulaiiin afu m kjana miaka 20😋😂😂😂
 
Mweeeh
 

Kirahisi tu ivyo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NILIVYOKULA MKE WA MTU KIMASIHARA WILAYANI BUNDA KIKAZI
(NISHAKULA WENGI ILA NIANZE NA HUYU WA KWANZA)

Mimi ni mwajiriwa idara moja hivi(jina kapuni).Ajira yangu ya kwanza nilianzia wilaya ya bunda eneo moja linaitwa Kibara ni mwambao wa ziwa victoria.

Sasa kutokana na ucheshi wangu nikawa nimezoeana na wenyeji wangu kwa kiasi kikubwa, Mmojawapo alikuwa ni ndugu 'M' ambaye kiumri alikuwa na miaka kama 40, mkewe miaka 38 hivi nami nikiwa na miaka 22. Kijana wao mkubwa alikuwa na miaka 18 na alikuwa kidato cha nne shule ya sekondari Bulamba.

Baada ya miaka miwili kupita yule dogo kashaondoka sasa siku moja kanichek hewan kipindi hicho mimi nishasogea kata nyingine na simu ya awali nilishapoteza. Tukapiga mbili tatu, katikati ya maongezi nikamuomba namba ya wazazi ili niwajulie hali. Dogo akawa kanipatia. Nikampigia baba yake kumjulia hali na katika maongezi akanieleza mkewe yupo Musoma kaenda kucheki mradi wao mmoja hivi uliokuwa unasimamiwa na mdogo wake.

Sasa nikamtext yule mama tukasalimiana vizuri kama mtu na mwanae. Mawasiliano yakawa yanaendelea tu vizuri. Sasa siku moja akaniuliza utakuja lini Musoma, nikajibu haraka weekend! Nikamuuliza nitafikia wapi, kajibu kufikia kwa mdogo wangu siyo heshima labda tutapanga! Jibu hilo lilinipa tafakuri sana! Niwe muwazi nilidindisha sana! Siku nyingine analalamika "hivi hiyo mb***...yako umeikatalia ina dhahabu sana au?"

Niwarudishe nyuma kidogo; kuna kipindi nikiwa Kibara niliwahi kwenda kuwatembelea kwenye mji wao yule mama kumbe alikuwa chumbani anapaka mafuta na kutokana na dirisha kuwa fupi nikawa nimemuona kiaina akiwa na lundo la shanga kiunoni! Wajita na shanga ni kama samaki na maji!

Jumapili moja nikamueleza nipo njiani nishapanda hiace toka Bunda, akakubali tu kimashaka alifikiri namdanganya. Nimefika Musoma saa 1:30 usiku nikawa nimechukua Chumba Embassy Lodge ambayo ipo pembeni mwa Stand ya zamani. Baadae nikampigia, muda si mrefu kaletwa na boda. Nikamuuliza nikuagizie pombe, akaniuliza kwani mimi natumia nikajibu No. Basi akaomba tu maji. Ule usiku nilimvuruga sana yule mama; mama, akaanza mara "oooh ulikuja Kibara kama mwanangu leo hii unadiriki kunit*mb...! Kilichochokuja kutugombanisha ni siku moja nilipochat na binti yake FB na binti kumuelezea na yule mama akahisi ninamtongoza mwanae!
 

Huyo aliamua tu kukutunuku coz usitake kusema hakuwasiliana na mama kua anakuja home kuleta hela so itakua alishaongea na maza then maza akamwambia katoka ndo akajilete


Sent using Iphone 10 Max
 
Huyo aliamua tu kukutunuku coz usitake kusema hakuwasiliana na mama kua anakuja home kuleta hela so itakua alishaongea na maza then maza akamwambia katoka ndo akajilete


Sent using Iphone 10 Max
Kitu ka hko mkuu🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…