Umesema kweli kuna moja nimiichakata kimasihara lakini siku hiyo zilinitoka kama kilo. 3 hivi; toka hapo nikaastaafu

God save us
Nakumbuka siku nilivyomla mdada mmoja mzuri sana, alikua ananiletea sana pozi kipindi hicho nipo chuo...

Ila alivyokuja kumaliza chuo, alikuta nishajijenga kiuchumi tayari..

Nakumbuka zikinitoka laki mbili na point..

Popote ulipo E heshima kwako, mtoto msafi na mtamu kwelikweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alishahama huko
 
Mkuu huyo ndio alikuwa mke wako wa wakati wote na hungejutia kumuoa huyo dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikiliza wewe kimbwengo

Ni kwamba mwandiko tulifunza wote kabla hatujagawanyika sawa kwenda kweny hizo carrier

Tulitumia madaftari ya mistari mikubwa na midogo mahususi kabisa

Waalimu wakaelekeza wapi uweke mkato,kituo ,,alama ya kuuliza na alama nyinginezo nyingi

Tuliambiwa wapi tuanze na herufi kubwa na wapi ndo

Mimi jimmyfoxxgongo nawakilisha wasomaji wote wapenda huu uzi tunasema hivi mwandiko ni muhimu sana

Kama shule hukujifunza hapa tutaelekezana na utatoka ukiwa unaandika vizuri

Hapa wote tunatumia keyboard ni mwendo wa kufuata tu zile principles za uandishi na kuumba sentensi

Hatutumii cello kwamba kila mtu atacharanga kivyake

Nafikiri nimeeleweka

Nisamehe
 
Aaah aaah naona ulivyokula wa kibara plan yako ilikuwa kula tena kijiji gani? Busambara, namhula au nansimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…