Et "out of no where"[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah..ilikua mwaka 2012 nilipata toto kipare uko fb..Yaan atasijayaset mambo vizur,,nikamuomba tuonane sikua na sehemu nyingine ya kumeet nae zaidi ya gheto,,Kweli alifika lakin hapo sijamtongoza mjue,,Tukapiga story wee na kuchek movie,,masaa yakaenda..Nikawaza na kuwazua nikajesemea kimoyomoyo leo lazima aliwe..

Daah mtoto akaanza kuaga kutaka kusepa,,mie nikawa namzuga tu na story..Ikabidi nisogee karibu yake huku nikimwangalia kwa hisia,,hapo moyo unadunda fastafasta balaaa,,Ghafla nje vimanyunyu vikapita,,

Nikajifanya naskia baridi,,,Nikamwomba kumu hug huku yeye akiwa na hofu,,nikasema usiwe na hofu hakuna baya litalotokea,,Kweli nikamu hug,,hapohapo nikagonga romance,,mtoto akalainika..Kilichofuata daah nikauza mechi😇😂😂😂kuja kustuka kapakti ka dume kapo brand new mfukoni,,Hapo sasa unakuja ule usemi wa majuto ni mjukuu..Ukihofia je mtoto yuko safi kiafya
 
Nenda kapime mshenz wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
usije kumtafuna baada ya kuolewa sasa[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umezingua.

Next time kula kimasikhara na ndomu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Senzy saana maza alikustukia unataka ugonge bint yake akakupa ban.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee kumbe ulisha simulia.

Bush boy vs mtoto wa town. Mzee ulianza kutumia vumbi mapema saaana. We noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula kimasihara kumenifanya Niteske sana na hofu ya ngoma kwa zaidi ya mwaka . Kuna wakati Nilikuwa nikiugua typhoid mara kwa mara aisee niliogopa kinyama . Nilikuwa nikiona matangazo kuhusu hiv kwenye tv nilikuwa naskip faster niliishi kwa hofu sana ... Hivi juzi nilienda hospita kwa matatizo mengine ndo wakanikazia nipime hiv aisee .. yalivotoka majibu nimejikuta nimepona hata ile homa iliyonipeleka hospital.

WAKUU HAKIKISHA HAUUZI MECHI UNAPOKULA KIMASIHARA
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaahaha Mkuu katabia nilikaacha,Nilipima nilikuta niko safi..Mara ya mwisho majuzi nilienda pima malaria,,Hospital ikawa lazima kupima HIV,,Nashukuru Mungu. nipo safiii👍🙏🙏🙏
 
Wewe mwenyewe unaona uandishi wako uko sawa ? Haukufundishwa kuweka nukta mwishoni mwa sentesi sio ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…