Huwa hivyo, sema sisi hudhani kuwa labda ni bahati mbaya. Huwa wanaamua kwanza.
 
ahahahahahahhahahaahahha aliona ushakula free p sana
 
sema nimesoma comment zako kwenye huu uzi na JF kwa ujumla kwa dhati ya moyo wangu kabisa nasema we mzee hizi story zako sio chai tu bali pia ni kamba zisizofunga.
Hahahaaaa mkuu haya mambo huwezi yaelewa kama hujayapitia au kuyashuhudia... Nidangamye ili iweje? Nani ananijua huku? Sema tu nafuta sms za hao madem sababu nna mke na anakagua sana simu yangu ningekupm maana wewe ni tomaso...

Nkuambie tu mi kwa wanawake ni kama chakula kwangu na situmii kinga mwaka wa 10 sasa na niko fresh, labda kama nimeukwaa miezi hii miwili na malaya wa pale corner bar nimekula kama 10 hivi tena kavuu, sijisifu ila ndio maisha yangu,

Hizi mbona kawaida tu? Nna matukio ya kutisha zaidi ya hayo unayosema ya uongo,
 
Uliwahi kujiuliza hivyo unavyoletewa vime chumwa na nani?
 
Mkuu,huyo mtu sijui vipi toka mchana ananiqote anatukana napotezea tu mpaka nimechoka,humu jf huwa tunatofautiana mawazo lakini bila kutumia matusi,nimeshangaa ameyaanzisha
labda amegundua yeye ndiye muhusika uliyemla tunda kimasihara tu,na ndiye aliyekuwa anakuletea pilau limejaa hotpot...Kwa kawaida tu haiwezekani akuchukie gafla bin vuu
 
Muongo huyo nyau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mlioanza mkiwa wazee kuwala hawa viumbe hamuwezi elewa....
Nyie ndio mnaanza tongoza mwaka huu mnakuja pewa miaka miwili mbele afu mnajiona wajanja wakati wengine tushasahau kutongoza tunakula kwa timing za mazingira tu, Watu tumeanza tuna miaka 7,
Nikiwa na miaka 10 nilikua siruhusiwi kucheza nyumba zenye vitoto vya kike vya makamo yangu...
Najua na hiyo utasema chai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Stori nyingi kweli...
Ila masela tubali tu wote tunaowala kimasihara huwa wanaliwa kila pahala kimasihara tu...

Kuna wanawake hawaliwi kimasihara hata ufanyeje sababu hawakupi hyo nafasi naongea hv coz nishakutana na type zote za hao gusa twende wenye nyege mshindo na makauzu ambao unaweza lala nao kitandani wiki hawakupi mzigo ..

So ukipewa kimasihara jua kuwa wengi wanapita hivo hivo hakuna heshima hapo vaaa ndomu au ukila kavu kapime
 
ka story katamu,sasa naona mkuu utakuja na story ya mjapani sasa.
 
Ndugu nikusaidie jambo moja kwa watu hawa, kuna watu huwa wanataka wanachokipitia wao ndio kila mtu apitie ilhali ukweli haupo hivyo. Hili nimekuja kuliona sana kwa Wanyakyusa, huenda huyo jomba nae ni Mnyaki. Kuna watu pia namna walivyolelewa wamekuja kuzijulia mbunye uzeeni sasa ukisema kama unavyosema wao wanaona Haiwezekani!

Mimi mwenyewe mpaka leo sijui Kutongoza ila nimesha na ninawatomber sana!!! Nilishaacha kununua malaya, na most of them huwa wananiambia mimi Mpole na Mstaarabu, kuna wapo huwa wanastaajabu nikiwa naongea. Usihangaike nae huyo mbuzi
 
Kuna hiyo Ex wangu alikuwa ni kama shem hivi ***** ikatokea chance tumebaki wawilindani ya nyumba yani niseme hata kubakaa ilikuwa ngumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bi mkubwa aliwahi niambia, ukiwa kitombi sana inafikia hatu unakuwa na harufu ya k tu, ambayo huwavuta wasichana kwako, sasa hapo ni hakuna kutongoza, ni kuwakula tu.
 
Duu Mungu anakuonaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnakulana wakati yupo kwenye mipango ya ndoa
Unashangaa hiyo???

kuna demu wangu mmoja tulipotezana kitambo sana hata namba hatukuwa nazo, mwaka jana tukakutana Kariakoo ghafla tena ni yeye ndio alienishtua, tuakongea pale nikamuuliza una issue gani huku akasema kuwa amekuja kufanya maandalizi ya send-off yake ambayo inafanyika kesho na Harusi ni Jumamosi.

Nikamwambia shughuli zako ushamaliza akasema anasubiri picha zake ziwe printed na kuwekewa frem nikamwambia basi twende sehemu nikuage nikupe baraka, demu akakubali tukaenda sehemu nikala mzigo, na akanikaribisha kwenye send-off yake but sikwenda.
 
[emoji1]ubaharia una raha na karaha mkuu, kuna mwanangu alitongoza floor nzima ya hostel
[emoji23][emoji23][emoji23] Umenikumbusha jamaa yangu mmoja alikula wanafunzi wa shule ya sec mkuu zaidi ya 30 walikua wamepanga nyumbani kwao na jirani kwao afu hata wakijua anawapooza wanaendelea alihama kijijini baada ya kuzuka ugomvi wa mademu wakimgombea hadi kuchomana visu.... Yaani jamaa alikua kitomb* yule sijawahi ona,

Alishawahi kula madem wa2 tunatoka kwenye sherehe kwenye costa iliyokodiwa kuturudisha mitaa ya home, mmoja alimlia kwenye gari naona hivi hivi, na mwingine getini kwao tulivyomsindikiza maana gari haifiki anapoishi, na wote hawajuani kivile zaidi ya kupishana mtaani tu, kuna wakati niliwaza jamaa anatumia dawa sio bure.
 
Jimmyfoxgongo toa credit kwenye story ya huyo jamaa aliyeshuka roli la mchanga akamuona demu anaenda chooni.

Mimi sijamuelewa...I yield

Mkuu nimemsoma nikawa naona sielewi nika-skip comment yake,

Nimetoa maelekezo na nimewaelekeza wachangiaji wote kabla haja-post comment yake aisome kwanza yeye mara mbili mbili akiona anaielewa basi aiachie,

Kuna baadhi wanajitahidi sana na wanatupa burudani ila wachache bado wanakwamisha juhudi

Ila tutafika tu

Duh watu na miroho yenu mibaya

Haiwezekani aisee,

Kwanza umefukuzwa shule ilitakiwa uende kwenu mi nakupa msaada tu,

Sasa kwa ujinga unabana hata nisiguse kidogo kwanini?

Nitakuomba mzigo saa sita usiku nitatumia lisaa na nusu kukumbembeleze mixer nguvu zikiwa zinatumika,

Ikifika saa saba unusu bado hutoi mzigo ni lazima uondoke

Huwezi kulala mle ndani



Mkuu hatujasimulia mambo yetu kwa sababu ID zetu wengine kuna watu wanazijua,

Watu hao either wapenzi wao,wao wenyewe au ndugu zao ndo wahusika,

Nimekula watoto wa ofisini zaidi ya wanne kiamsikhara

Mtaani pia

Sasa nikisema chai kuna vitu nimeona ni chai kweli kweli mkuu


Mwingine huyu hapa yale yale ya kuunga mkono juhudi
 
EPISODE 4:

NLIVOMLA MANZI KIMASIHARA NKIWA MKOANI KIKAZI

Hili tukio limetokea mwaka huu miezi ya mwanzo wa mwaka, nlikua nimekuja kikazi kwenye mkoa mmoja, kazi ilionileta ilinibidi nikae hapo kwa kama mwezi mzima

Hoteli nliochagua ilikua tofauti na ya wenzangu, ile ndio nlipendezwa nayo, so kwa pale nlikua alone sikua na wenzangu nliokuja nao kikazi

Hua nina kawaida nkifika mkoa wowote, regardless niwe au nsiwe na mwenyeji napenda ku explore mwenyewe sehemu mbali mbali za huo mkoa nliofikia, iwe restaurants, clubs, sehemu zenye good music na good food n.k

Katika ku exlpore nkaja nkapata sehemu wanapika chakula kizuri sana, na nikilinganisha na hoteli nliofikia, pale quality na quantity cha chakula chao was high, na price yao ilikua reasonable, so hio ndio ikawa kambi yangu rasmi ya kula chakula.

Kuna siku on friday tulikua tumeambiana tutaanza kazi asubuhi ya mapema sana, so sikuweza kwenda kupata breakfast pale nlipozoea, ikanibidi ninywe chai hapo hotelini

Sasa nafika kwenye dinning room ya hotel, namalizia mchemsho wangu, ghafla anaingia mwanangu nlisoma nae, jamaa kwa sasa ni auditor by profession

Kusema kweli sikutegemea kama ningemkuta kwenye ule mkoa, sababu ni mkoa ambao umejitenga kidogo, Auditor akaniambia B vp?

Tukapeana hi, nkamuuliza upo hapa toka lini, akaniambia inaribia week sasa, na mm pia nipo pale almost a week, but tulikua hatuonani

yy mara nying anakula na kuchill kwenye lounge ya pale hotelini, mm nakula nje ya hoteli, na pia nachill sehemu za nje ya hoteli, so ilikua ngumu kuonana

Tukaagana, kila mmoja akaenda kufanya kazi iliyomleta, ilivofika usiku mi na auditor tukachekiana tukapanga twende ku refresh akili kidogo

tukazama club inayokubalika kwa pale mjini, na kweli it wasn't dissapointing palishona na vibe lake si la kitoto

Ile tunakula bia, all of a sudden tukamwona jamaa yetu nae tumesoma nae, jamaa kalewa mbaya ila yy hajatuona hahaaa

Huyo jamaa tuliesoma nae ni engineer by proffesion, na kumbe kwenye huo mkoa tuliofikia yeye ndio kaajiriwa

Tukaenda mpa hi, so ikawa coincidence, watu watatu ambao tumesoma wote kukutana ule mkoa bila kuplan

Sasa engineer regardless ya kua nimesoma nae ila pia ni home boy wangu, so tunatoka wte mkoa mmoja

Tukaja kuhamia meza ya injinia, Sasa meza aliokaa engineer kulikua na mabinti watatu, akatutambulisha, akawaambia wale mabinti kwamba sisi ni classmates wake n.k

Injinia akaniambia af B huyu dada pia ni home girl wako, nkasema realy?, basi ndio ikawa starting point ya mm kuanza story na huyo hom gal wangu, nlivoongea nae nkajua huyu kweli ni wa nyumbani

Akaniuliza hapa mkoani nimekuja kufanya mishe gani nkamweleza, nae akaniambia about kazi zake, na story zingine nyingi

So that is how i met huyo manzi, injinia alinitambulisha kwake, na pia uyo dada ni home girl wangu

Baada ya story nyingi na bia, tukabadilishana digits na yule manzi, nkamtext, akareply, nkamuaga injinia na ile kampani ya wadada nkaenda zangu kulala, hapo auditor nikamwacha

kusema kweli nlikua sina intentions yoyote nae huyo manzi, yani nlikua sina habari nae kabisa, ata nlivochkua namba yake nlikua sichat nae wala kupiga nae story kivile

Baada ya kama siku 4-5 nkapost breakfast yangu kwa status, ilikua mchemsho wa samaki mixa viaz na ndiz, yule manzi alivoview aka comment umenitamanisha[emoji39]

Nkamwambia karibu, akasema asante, nkamwambia im serious njoo upate mchemsho, kama kweli umetamani we njoo nkuagizie, akasema kwa sasa yupo job katingwa hawezi toka but jioni atakuja kunywa, nkajibu ok, sikuchukulia serious kama atakuja, nkamaliza mchemsho wangu nkaenda kufanya kazi zilizonleta

Siku ile Jioni nimetoka gym ya pale hotelini, narudi room kwangu, nachomoa simu kwa chaji nakuta yule manzi kanitext kwa whatsapp, kaandika B mambo, usidhanie nimesahau kuhusu ule mchemsho.

Nkamreply kwa kucheka, nkasema poa tumit mida flan, nkampa destination place ya kuonana, mida ilivofika kweli akaja ile sehemu nayopendelea kupata menu, akaagiza mchemsho wake mi pia nkaagiza wakwangu, tukapiga sana story, na ni story za kawaida tu, aftr kama 3hrs nkaagana nae, nkarudi zangu rum kuandika report

mpaka muda huo sina interest na sijaonesha interest kwa huyo mwanamke at all, ata mawasiliano baada ya mchemsho sikua nae, sana sana naview status zake, yy anaview status zakwangu basi

Weekend ikafika, nkaenda club kurefresh, hapo nipo na auditor, injinia hakuwepo siku hio

kuna mda yule manzi nae akaingia club, but alikua na girls wenzie, akaja akatupa hi mezani kwetu, nkamsifia, nkamwambia mependa dresscode yako, akacheka akasema asante

Akarudi kukaa na company yake, ss kuna muda Dj akawa anapiga playlist ya moto, unajikuta tu unaamka na kucheza, nkawa nampimia yule manzi anavo dance

Nkamfata nkaanza cheza nae zero distance, dah yani sijui mizuka nae ilitoka wapi, nkaanza kumtamani, nkamshika kichwa, nkam nong'oneza leo lazma tusepa wote

Akacheka, but hakujibu kitu, nlichoka kucheza nkarudi zangu kukaa na auditor, mida ikazidi kukata

Badae nakuja kucheki, simu nakuta text yake, kasema B nausingizi af nimechoka, nataka nkalale, kwa kusoma ile text huitaji kua genius kuelewa anamaanisha nini

Nkamjibu namalizia bia tunasepa, akajibu okay, nkamaliza bia, nkamtext tusepe, akasema poa ila yy anatangulia, hataki wenzake waone kua ameondoka na mm

hoteli nliofikia anaijua bcz kwenye story wakati tunapata mchemsho nlimwambia nimefikia hoteli flani

alivotangulia baada ya a few minutes na mm nkafatia, nikamuaga auditor, nkatoka nje, nkachkua boda mpaka hotelini, nkamkuta nje ya geti, nkamlipa boda tukazama ndani, nkachkua key yangu reception tukapanda room

huwezi amini ile tunakutana nje ya geti, mpaka tunaingia rum tulikua hatuna story,

Tumeingia room, akavua nguo, akazama moja kwa moja bafuni kaoga, mi nkatafuta condom zangu hua naweka akiba kwenye begi la nguo, natafuta kwa pupa ile kilevi levi sizioni

Nkasema kichwani niuze mechi kizembe hivi haiwezekani, ile natoa nguo moja moja nkazikuta, nkazitoa kwenye box nkaziweka chini ya mto

Manzi akatoka kuoga na mm nkazama bafuni, nkaoga chap nkajikausha nkarudi zangu kitandani, ile nazama ndani yashuka, nakuta manzi yupo naked

Tukaanza kissing, touching, tulivoingia kwenye mood nkavuta condom chini ya mto, nkaivaa nkampiga kimoja, badae nkampiga cha pili, akasema niamshe saa kumi na mbili kasoro

Nkaweka alarm, tukalala muda ulivofika akaamka akaoga, then akasepa

Kwa siku zilizobakia nkaendelea kumrukia, japo sio daily, mpaka ile siku ya mwisho akaja room tukapeana good bye sex, tulipeana mechi ya moto

driver aliniambia saa kumi na moja kamili nakupitia hotelini uwe tyari, nliweka alarm saa kumi nkaamka, nkapata morning glory, nkaenda kuoga nae, nkavaa nkatulia bed

Kumi na moja driver akanipigia akasema yupo nje na wenzangu, i kissed her good bye, nkabeba mizigo yangu nkatoka room

adi leo we keep in touch, na mpaka sasa ananiuliza narudi lini

THE END

STAY TUNED FOR EPISODE 5: HII ILITOKEA SIKU NKIWA NA DRIVER WA KAZINI, DRIVER YULE NI MSHUA FLANI ILA NI BAHARIA SANA
 
sio kweli mkuu mi kuna madem kama wanne hivi washkaji wao kitaa wanawaona wagumuu ila mi nimepiga kiwepesi mno kila mtu na mtuwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…