Watu mnaanza kubishia umri wa nesi, hawa mabinti wakimaliza form four wanasoma hapo Msimbazi Centre kwa miezi 9 tu.
Na wamejaa kwenye Zahanati, wengi tu wakiwa na miakab18, 19 hapo.
Ni nesi wa cheti jamani sio hao manesi wa level za degree.
Mbona vichwa vigumu.

Haya tufanye stori ya jamaa ni uongo. Leteni za kweli.
 
Mimi mtoto wangu ana miaka 15 sasa yuko form2 atamaliza form4 akiwa na 17
akienda kakozi ka mwaka na kubahatisha kaajira hatazidi 20

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inshu sio kukosoa.. Kuna vitu vingine inabid tu u reason.. Ndio maana mwishoni apo kwnye io comment yangu nimesema Labda mim tu ushamba wangu.. Sijui kama ma she wanamaliza shule mapema ivo...

Alafu iz inshu sio mashindano kwaio mtu akijalibu Ku reason kawaida tu ww mueleweshe.. Kuna watu wanaisi wanashindana hapa.. Hahahah ww njoo toa kisa chako watu wa enjoy.. Ila unaangalia na story zako isije Kua kama yule jamaa aliemla Bibi wa miaka 60 + na akashika mimba..
safi mkuu wengi wapo kwa ajili ya kukosoa ndo maana na visa vipya hakuna mpaka tunajikuta tuna mmiss Mikito Mikito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wapuuzi ndio wanaharibu Uzi,mwisho atauliza huyo Nurse anaitwa nani na anafanya hospital ipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasubiri nini kumuoa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii wiki jumatatu mida ya saa 9 hivi tumetoka coworkers kama wanne hivi tumeenda lunch. Mgahawa tunaokula kila siku tukakuta msosi umeisha. Basi tukaanza kushauriana tuende wapi.
Tukaenda sehemu nyingine imefungwa na nyingine imefungwa. Jamaa mmoja katoa suggestion ya ka hotel flani posta ndani ndani. Msosi bei juu ila mzuri. Basi tukaenda huko.
Tukafika tukahudumiwa na mtoto mmoja mzuri sana classic hivi mweupe shape sio kuubwa lakini standard age kama 22 hivi. Basi jamaa wakaanza kumsifia na kumzingua, mimi nipo kimya tu. Wote ni wakubwa kwangu, wazee wa totoz. Baadae wakati tunalipa jamaa mmoja akataka namba demu akazingua. Jamaa mwingine akasema basi mpe mdogo wetu hapa. Kweli demu akachukua simu yangu kaandika namba yake. Tukasepa. Jamaa wananiambia dogo usingingue mtoto mkali yule, mi nacheka tu.
Sikumcheki na wala sikumtafuta.
Alhamisi nkawa nmechelewa tena kwenda kula nkaenda kwenye ile hoteli na coworker mmoja ambae siku ile hakuwepo, huyu tunaendana umri. J4 na j5 sikuwaza hata kwenda coz bei zao ziko juu na hii karatini madili yote yamesimama.
Basi tumefika demu yule yule kaja kutuhudumia. Tukapiga story nae kizushi akauliza why sijamtafuta. Nkamtania naogopa nkimwambia shida yangu atanikatalia. Akacheka kasema we ntafute hatutashindwa kitu.
Kweli siku hyo alhamis nkamtafuta whatsapp mida ya saa 3 usiku hivi. Tukachat chat nkamisifia kwa sana na kuomba picha, full vi emoji vile vya mapenzi mapenzi, mtoto anacheka tu na kusema asante. Nkamuomba tuonane kesho yake. Kasema wanafunga hoteli saa 4 usiku. Kama vipi tufanye jumamosi.
Jumamosi usiku nlikua naenda kwa mzee na maza kuwaona. Ikabidi nkazie hyo ijumaa. Akasema nimfate wakifunga hiyo saa 4.
Ijumaa nkazuga ofsini hadi saa 4 kasoro usiku ndo nkatoka. Nlikua nishampanga mwanangu mmoja anapiga uber. Ndo akaja kunchukua hyo saa 4 kasoro tukaenda kwenye ile hoteli. Tukafika tukakuta wanafunga funga tukachill nje pale kwenye gari kumsubiri, baada ya kama dakika 20 akawa ametoka akaja. Akaingia kwenye gari tukasepa. Akauliza unanipeleka wapi. Nkamwambia tunaenda home tu, na hii corona tunaepuka mikusanyiko. Akacheka tu.
Tukafika home tukaingia ndani akatoa kicontena cha msosi kwenye mkoba wake alikua ameniletea. Nkamuambia tuoge ndo tule. Akakataa akasema ashakula na hana mpango wa kuoga. Basi nkamuekea movie ya jumanji kwa tv, nkaenda kuoga alone nkarudi sebuleni nkawa nakula huku tunapiga story za kizushi.
Tumakaa hadi saa 6 na nusu hivi. Nkamuambia tukalale akasema sawa. Kaingia chumbani akasema anaenda kuoga. Nkazuga kama dakika 5 hv hapo najua yupo anaoga na mimi nkaingia bafuni. Mtoto wala hajashtuka nkamkumbatia kwa nyuma nkawa nachezea chuchu tu..
Tumepiga kimoja cha hamu bafuni tukarudi chumbani tukapiga kingine kirefu hadi saa 8 na madakika.
Jana asbuhi kanipa kimoja halafu kasepa kwenda job. Tunachat namsifia tu. katoka saa 9 kaja tena geto na msosi amebeba. Ni kula na show tu. Hata kwa wazee sijaenda. Nimesingizia sio vizuri kutembelena na hii corona.
Kaondoka asubihi ya leo kwenda kwake akafue na kujiandaa na kesho.
Kamchepuko kangu kanakonileteaga mzigo kila jumapili imebidi nkapige stop manake kwa uzuri hakamfikii huyu hata robo, sitaki kaje kuniaribia experience yangu ya hii weekend.
Hapa nawaza tu wale jamaa wa ofsini wakijua nivomla kimasikhara tena bila gharama yoyote, manake jamaa kuonga tu wanajua.
 
Itakuwa alikuelewa sanaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
agiza konyagi nakuja kulipa
 
Unatofauti na mwijaku na juma lukole
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…