Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Miaka kadhaa nyuma, nilipata nafasi ya kutembelea mradi wa ujenzi wa hospitali Nachingwea chini ya ufadhili wa USAID.
Siku ya kwanza nikiwa katika msafara wa Waziri wa Afya, Mkuu wa Mkoa na Mganga mkuu wa mkoa ajili ukaguzi, jicho langu likashuka kwa nesi mmoja aliyekuwa analeta maji meza kuu.
Baada ya ukaguzi wa siku ya kwanza, jioni ile alipokuwa akitoa vitu meza kuu nikamkaribia na kumuuliza mahali napoweza kupata lodge nzuri hapo Nachingwea. Ukweli nilikuwa nimepata lodge maana nilifika siku mbili kabla ya siku hiyo, hii ilikuwa mbinu tu ya kupata kuongea na huyu binti.
Binti aliniangalia kwa jicho jeupe la duara na kuniambia nimsubiri pembeni ya jengo maana naye alikuwa anatoka muda huo.
Binti alirudi akiwa ameshabadili nguo na kuongozana naye centre ya Nachingwea tukiwa pamoja kwenye moja ya gari ya ofisi ya mkuu wa mkoa ambamo niliacha begi langu.
Alinipeleka kwenye lodge moja wapo na hata kabla sijajua la kufanya tuliongozana mpaka chumbani tukiwa na mhudumu.
Tulipoingia akaniambia chumba nimeshapata Kama nina shida nyingine nimwambie. Niliwaza Kisha nikamwambia tatizo moja tu mahali pa kupata msosi, binti akaniambia anakwenda mara moja kisha atarudi kuja kunipeleka mahali tukale.
Baada ya dakika kadhaa alirudi akiwa na mfuko ukiwa na chakula (kuku wa kuchoma na chipsi).
Tulikula huku tukiwa tunazungumza kama watu tuliofahamiana muda mrefu.
Baada ya msosi tukiwa tumekaa kitandani binti akaniuliza baada ya kula una ratiba gani? Nikamjibu nitapumzika tu humu ndani, huku nikiongeza inabidi nawe upumzike hapa hapa. Binti akajibu huku akiangalia chini sawa ila sitalala hapa.
Msosi uliisha nikaingia bafuni kuoga, kabla sijamaliza binti naye akajiunga akiwa na chupi na sidiria tu huku macho ameyafunika kwa aibu. Nilimkaribia na kuanza kufungua sidiria, mkono mmoja ukiwa unapapasa tako.
Binti akaninong'oneza kwa sauti iliyochoka, nakupenda, nifanye utakacho....hii kauli ikanipa mzuka sana.
Tukapiga kimoja bafuni, baadaye tukaendelea kitandani.
Alimka siku ya pili na kurudi kwake kujiandaa kwenda kazini.
Kila siku akawa akitoka kazini anakuja kuniletea mzigo lodge.
Nilipanga kukaa siku nne pale Nachingwea lakini nilimaliza wiki nzima.
Binti wa miaka 19 lakini alikuwa na mafunzo yote ya kumridhisha mwanaume.
HII CHAI SASA....YANI BINTI WA MIAKA 19 AWE NESI...ALISOMA SAA NGAPI....?
 
Hao ni wafanyakazi wa NMB, wote nawafahamu.
Daa, bora hata ingekuwa kitengo flani unachoweza potezwa usijulikane ulipo angalau huyo mtoto angekuja elewa kwann ilikulazimu umkane.

Yaani niruhusu mtoto wangu abebe jina la bosi wa taasisi ya fedha kisa namuogopa, huo uoga siruhusu unipate.
 
Ninazo nyingi za kula kitu chenyewe kimasihara ila tuanze na hii....! NILIOMBWA KUWA Mc wa harusi baada ya Mc mwenyewe kapati matatzo gafla.

Miaka ya 2010's makao makuu ya mkoa flani, kipindi icho nikiwa mwanachuo wa chuo kikuu flani pale morogoro. Sasa ile nimerud home kipind cha likizo bro angu alikuwa anaoa kwa bahati mbaya Mc maarufu aliekuwa amaeisha andaliwa kwa ajili ya shughuli alipata emergence ambayo haikwepeki ili kuokoa jahaz na ukizingatia na harusi ya bro nikaona shughuli isiharibike nikashika nafasi ya Mc,,
Ebana nilifanikiwa kuendesha shughuli kwa madaha na mbwembwe ka Mc mzoefu, sasa kulikuwa kuna meza moja imepambwa na warembo watatu yaani ni pini za uhakika. Mc nikawa na maneno mengi na kumbukeni Mc kwenye shughuli akimsimamisha mtu yeyote lazima asimame nikaona uzoefu wangu na watoto wa kike aaaah lazima pale niondoke na mmoja.
Nikasema kwa heshima ya Mc wa leo, naomba mrembo kutoka meza ile alievaa nguo nyekundu aungane nami pamoja na meza kuu kufungua mziki, ebana ile amekuja kajaliwa inye hatariiii, nilivyomshika kwa ajili ya slow music tu mdomo wangu ukaenda sikioni kwake na kumwambia ww n mrembo sana ingekuwa mimi ndio naoa leo hakika ungevunja ndoa yangu leo leo, akauliza unamaanisha nn nikamwambia ni kweli coz leo najua tutashare kitanda kimoja mimi nawe, kumbuka tupo mbele pale ya ukumbi demu alipoteza control kabisa.

Baada ya mziki ile amerudi Kukaa na watu wamechanganya rangi pale mbele wakicheza mziki, nikamfata na kumpa funguo ya gari niliokuwa nayo na kumwelekeza ilipo pamoja na namba ya gari., alishindwa kukataa confedence niliokuwa nayo utadhania ni demu wangu au n mtu wangu wa kitambo.

Kumbe sister mkubwa alishtukia mchezo akanifata akaniambia huko chuo inaonekana umeenda kuchukua degree mbili., nikamuuliza ka anamjua vizur hata jina lake, akaniambia anaitwa J anakaa kwenye zile Gorofa za NHC, nkamwambia sister inatosha mengne ntajua mwenyewe.

Nikamkuta Manzi kwenye gar kweli ananisubilia, nikamwambia endesha twende akauliza wapi, nikamwambia kwako akasema anakaa na mdogo ake na ni ngumu mimi kwenda kwake kwani hatujuani, nikaanza story nyingi sana pale ili watu waishe kabisa eneo la tukio, tutakapo Baki wawili awezi ninyima papuchiii....!
Akaanza kunihimiza nimpeleke Kwake kwani wenzake wameisha ondoka na n usiku haaminni boda boda, nikasema tupite kwanza home nione ka nilifunga nyumba kwani funguo sizioni.

Bro aliniachia nyumba yake kwani siku iyo walianza honeymoon, nilivyofika home yeye alibak kwenye gari, nikaingia ndani mm na nikaficha TV nikamuita nikamwambia tumeibiwa TV, twende polisi basiii oooh mara wezi bado wapo mazngra haya ukoondoka wataiba vitu vingne. Ikabid bibie alale kwa uoga akaomba tulale wote ila tusifanye kitu nikaridhia. Ki ukweliii usingizi haupo kila nikijigeuza huku wapiiii kumbe na yeye alikuwa katulia tu hana usingizi..! Nikaamka kuelekea sebleni akaniambia unaenda wapi sasa, kumbe hata ww hujalala nikamuuliza...!sina usingiz nachukua wine nikamjibu, nilivyorudi dompo na glass mbili...! Haikupita nusu saa sikumbuki nini kilitokea zaidi ya kuniambia umenit*** bila condom.


Asubuhi fasta sana nikampeleka Kwake na mie nikimdanganya naelekea polisi kutoa taarfa ya wizi.
Hatukuishia hapo tuliendelea kulana kama kawaida na tulipima HIV wote tukawa tupo poa., aliamishiwa Jiji flani iviii kikazi ila nakumisss J.
 
Kuna siku nilimpeleka maza hosp flani, pembeni kuna dada alikuja na mama mtu mzima kama 50s hivi.
Yule maza kavaa saa flan apple tamu sana, pia amevaa ukimuona utajua kapanda ndege,
Mwanzo nilimuota mwanae, upepo ukahamia kwa mama mtu, nikajifanya nimemwona kwenye ndege Amsterdam
tulipanda ndege moja, mara mwanae akaja, akanitambulisha kwa mwanae nikampa hi fresh. Kosa akaenda kuchukua dawa nikaandika namba, tokea hapo nawasiliana na mama mtu, kiheshima. Siku nikamwita hoteli flani nimfundishe maji, usiku wake akaliwa kimasihara, nilianza kumfundisha huku namshika kiuno, akaniambia baadae plz plz. Kutoka tunaongazana mpaka mitaa ya kati,akataka afanyiwe massage, mara lazima kinga, baada ya massage kalegea hata kinga hakuuliza,
Yule mama mtamu sijawahi kuona, akaja kusema kwa wanae huko Duniani
Alikua analia kilugha flan cha jamaa zetu,
Bado unamla boss?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naomba namie nishiriki huu uzi
ilikuwa tarehe 24 mwez wa 12 mwaka 2015 kama kumbu kumbu zangu zipo sawa ilikuwa ni sikukuu ya waisilam na kesho yake ilikuwa xmass nikiwa cna hili wala lile magheton nikapigiwa simu na mshikaji wangu tuonane pale kibo complex tegeta kwenye bar moja ilikuwa pale pembeni inaitwa zanzibar

basi nikafika pale na jamaa tukawa tunapiga bia tukaagiza mdudu pendwa na story za hapa na pale coz jamaa tulikuwa hatujaonana muda

ilipofika mishale ya saa mbili ucku tukaachana na yule mdau nikachukua boda boda kuelekea hm huku pombe imeshanikaa kichwan kabla cjafika hom jiran kuna duka la mangi huwa watu mbali mbali wanakula bia pale za kutafutia ucngiz
nikaweka kituo pale nikawakuta wadada wawili wa makamo hiv kama umri wa 40 na mwingine 50 na jamaa mmoja hiv nilikuwa nikifahamiana before wanakunywa pombe zao hiz lain savanah bas nikavuta kit nikakaa jamaa akafanya utamburisho then tukaendelea kula masanga mpaka mida ya saa 7 kasoro hiv ikumbukwe ulikuwa mkesha wa x mass so pale dukan walichelewa kufunga

kati ya wale wadada yule aliyekuwa mdogo akawa anavutiwa na story zangu za uongo na kweli mpaka ikafikia kipindi akakaa karibu na mm huku nikiwa naendelea na konyangi yangu ndogo baada ya kufakamia bia kutwa nzima nikaona nikate povu na kasichana

sasa ikafika wakati watu wamepungua tumebaki wanne wadada wawili na wanaume wawili na duka likawa limefungwa kumbe wale wadada wanakaa nyuma ya lile duka gettin wakasema vit wataingia navyo kwao huko ndan bas yule mkubwa akatangulia kwenda ndan nikabaki na huyu mdogo nakamwambia nivutiwa nae sana ndo amenisababisha niweke kituo pale akacheka
then nikamkaribia uso kwa uso naona mtoto harudi nyuma nikajisemea rohon '"mimi na ww leo" basi nikala mate pale mtoto akaonesha ishirikiano pale pale nje akaniambia tuingize hiv viti ndan yaan gettin nikaenda nae mpaka wanapoifadhi vit ilikuwa kama stoo mjinga hiv nikaona hapa hapa nikamla mate tena this time nikashuka kifua. nyonya saaana mtoto akawa anaenjoya nikamkalisha kwenye kiti nikamchanua nikashuka uvinza na zile pombe kichwan nilinyonya kile kisimi mpaka baasi akafika kibo nikatoa fimbo yangu nikamnyuka kimoja cha kizaz
alienjoy sana then tukabadirishana namba za simu kwamba tutachekiana baada ya hapo ukawa mchezo wetu kila tunapokutana mech mpaka wiki ilopita alikuja kwangu nikampa haki yake japo anajua nnamahusiano na mtu mwingine na yeye ana jamaa yake but tukiwa na hamu tunatafutana.
hiv ndivyo nilivyokula tunda kimasihara
Toka 2015?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RAMADHANI TUWE NA SUBRA KIDOGO KUNA MABOMO 5
1=MLEMAVU_ wa macho
2=BIKRA_sister wa kanisa
3=MUUGUZI WA ZAMU_nesi nyegezi
4= BEKI 3_chakula bure penzi bure
5= MAMA MKWE NDIO MAMA MKWE_ukipenda boga penda na ua lake
MSIJALI TUPO PAMOJA ACHANI MWEZI UPITE JAMANI
asanteni
Haaa haaa haaaa we mtu hatari sana

Au modds mnasemaje?
 
Iko hivi, nipo zangu kwenye kikao cha harusi hotel Fulani, mara mke wa mtu (namfahamu sana ) kanitext na kuniita jina la kike ( nina assume alikosea namba ). Sikua na namba zake, nikaona nilicheki jina lake kwa m-pesa, nikamfahamu, nikamchunia sikumjibu, baadae akaandika tena, "Jenny jamani…!" nikamuuliza, unasemaje? Akaanza ooh sijui shemeji yupo mara ivo hata haeleweki; nikamwambia, sorry me ni mumewe na Jenny (Jenny ni jina la kutunga) nikamwambia, "shemeji njoo sehemu Fulani tusalimiane vizuri, ni hapo hotelini, Panda boda nitalipa" mara paap, haka hapa kamefika, kalivyo fika kakawa kanishangaa kama ni mimi wakati kalitegemea kumkuta mume wa Jenny (huyo Jenny wala simfahamu ). Nikamwita muhudumu, nakakauliza kanataka kinywagi gani, nikalipa, then muhudumu alivyo kuja na kinywaji nikamwambia atutafutie chumba, tutaenda kunywea huko huko; kakawa kama hakataki hivi, nikachukua hand bag yake hadi chumbani huku nakavuta mkono. Nikala mzigo kimasihara masihara hivyo. Ukweli alaaniwe huyu jamaa aliyeanzisha hu UZI!
Sijui ni ya rangi au ya Maziwa
tapatalk_1587207474725.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wa JF kila anayepanga nyumba basi anapanga chumba na sebure tena self contained room, utasikia "tulihamia chumbani then tukaenda kuoga"

Hapo kazi yenyewe siyo ya professional yake, na tayari ana sofa na TV ndani na kitanda kabisaaa chenye godoro,

Kwa wale wenzangu na mimi tunaoishi maisha ya kupanga nadhani mnanielewa,
Najaribu kufikiria hizi gharama ulizimudu vipi ???

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kawaida mzee Kuna wakishua, wazee wa mishe, maforex, kuna walionunua na boom. Labda uanze kujiuliza wakisema wana nyumba na magari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manina,mabaharia hatujawahi kufeli
NILIVYOMTAFUNA STAFF MWENZANGU KIMASIHARA!

Wote tunafanya kazi kwenye Kampuni moja ila branch tofauti kila mmoja yupo mkoani, tulifahamiana kupitia vikao vya kwenye simu (Teleconference) na kwa bahati nzuri Head wa department yetu aliniteua kuwa chairman wa kila kikao, nilipata umaarufu maandazi coz nilikuwa naendesha kikao vizuri sana na muda mwingine naziba mashimo ya wana wakati wa utoaji wa report kwa head wetu ila hali ilikuwa tofauti huyu manzi tulikuwa hatuivi sana alikuwa ana nata sana alafu mtu wa mood sana na mimi shida yangu nilikuwa straigt forward hivyo alikuwa anajitahidi sana kuni out smart lakini alikuwa anaangukia pua daily hii ilimpa hasira sana.

Kuna system mpya ilifungwa na tukafanyiwa online training watu wengi walitoka patupu nashukuru MUNGU nilimaster haraka nikaanza kuwatrain washkaji kupitia simu, kimbembe kikaja huyu manzi amekwama kunichek anaona noma zikapita siku mbili hajasubmit application hata moja Boss alipomuuliza akasema system knowledge inamsumbua akaambiwa mtafute Ibanda1 sasa hivi, Mamzi akanivutia waya kwa heshima nikampiga pindi akaelewa sana nikashangaa ametuma email ya appreciation nikamshukuru kutoka hapo akawa na adabu sana. Nilikuja kupewa story kwamba mamzi hyo jeuri anapewa na MD coz anammega.

Baada ya miezi miwili tulipewa mwaliko wa kwenda Dar makao makuu ya kampuni kwa ajili ya mafunzo wiki moja, tukatumiwa ticket za ndege kila mtu alikuwa na shauku ya kumfahamu mwenzake coz tulikuwa tunawasiliana kwa simu tu, Basi ile najiandaa kwa ajili ya safari nikakuta whatsp text ya manzi "See you there" nikamjibu "poa" yeye anatoka Arusha mimi natokea Mbeya....Mida kama ya saa nane nikawa nimetua Dar nikiwa natafuta usafiri wa kwenda kawe coz nilishachukua chumba Myfair nikaona text yake "I'm in Dar" mkulungwa nikauchuna sikutaka sana shobo coz nilijua huyu demu ni chakula ya Mkubwa. Baada ya kufika hotelini mida ya saa kumi nikamtext kumuuliza amefikia wapi akasema amefikia kwa rafiki yake Kinondoni nikamwambia mm nipo Mikocheni myfair story zilikata.
Wana wakapanga tuonane Morocco ili tufahamiane nikachukua bajaji hadi maeneo ile nashuka tu nilimuona manzi anashuka kwenye tax ni pisi kali kinyama white,wet lips, urefu wastani ila shida alifunga hips na ngongingo hatari basi mhuni nikajivunga nikampita ile nimepiga hatua tatu mbele nikasikia yule mamz ananiita aiseee nilihisi ganzi mwili mzma but nikajikaza kimasikini jeuri akaniambia washikaji wamekaa pale, baada ya kugundua kuwa sijamtambua akajitambulisha ndo nikapata jibu kwann MD amehonga branch hii pisi...alinishangaa akisema alidhani mimi ni Mmbaba kumbe katoto ila alisifu confidence yangu, alivyosema katoto nikajua huyu kashanipangusa kwenye list yake hata hivyo sikujali coz hakuwa mpango wangu. Baada ya kujumuika pale na kufurahi hadi mida ya saa tano dem akanitext "unaondoka saa ngapi?" nikamwambia sasa hv coz mm nilikuwa sigongi mvinyo hvyo juice zilinijaza tumbo, nikamchokoza kwa kumwambia tuondoke akasema poa ila sharti atangulie yeye mmmmmh nikahisi hapa mbona kama najaribiwa, akampigia taxi kisha akaaga baada ya dkk tano akanishtua kuwa ananisubiri barabarani mzee nikaaga chapu mwendo wa dakika tano nikafika, nikamwambia driver uelekeo mikocheni manzi yuko kimya tu, nikaanza story za kumchota but alikuwa busy na simu yake kumbe anampanga MD na tukawa tumefika myfair nikamtia mpunga wake taxi tukashuka hapo siamini nn kinaenda kutokea aisee kila dakika yule manzi nilikuwa nazid kumuona pini sana...tukazama hadi ndichi nikawasha kideo demu alivyonitazana akaniambia we chalii you got a beutiful eyes sikushangaa sana coz totoz nyingi zinanisifiaga, namimi nikamsifia sana akacheka tu bt muda wote alikuwa akiyaangalia macho yangu akasema alikuwa anaona aibu kuniangalia vzr kwenye party wana wangemshtukia so amekuja kuyaangalia vzr pia alinisifu kuwa niko smart sana kwenye kuongea hadi muonekano...baada ya hayo maudambwi akaniambia anataka kuoga nikampatia tualo langu aisee alichojoa nilihisi bao linataka kutoka kimasihara ila nilijikaza baada ya kurudi baafuni akajaa kwa bedi yuko na bikini tu sikulaza damu ile kumgusa tu ameshaloa kitambo....wakulungwa sijawahi kusimamia show kama ile ngoma ilikuwa 4G muda wote, Baada ya round nne akaniuliza kama nimeoa nikamwambia ndio na nina mtoto mmoja aisee alilia kinoma akasema Ibanda lazima unizalishe...tulikaa pale muda wote wa training ila kwa kuficha sana wana wasijue na alikuwa anaheshim nikiongea na wife ananyamaza kimya hata akipigiwa simu hapokei. Tuliendelea na huo mchezo hadi sasa ana katoto kangu ka kike ila MD ananisaidia kulea nadhani hiyo ndo overtime yangu inalipwa huko.




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NILIVYOMTAFUNA STAFF MWENZANGU KIMASIHARA!

Wote tunafanya kazi kwenye Kampuni moja ila branch tofauti kila mmoja yupo mkoani, tulifahamiana kupitia vikao vya kwenye simu (Teleconference) na kwa bahati nzuri Head wa department yetu aliniteua kuwa chairman wa kila kikao, nilipata umaarufu maandazi coz nilikuwa naendesha kikao vizuri sana na muda mwingine naziba mashimo ya wana wakati wa utoaji wa report kwa head wetu ila hali ilikuwa tofauti huyu manzi tulikuwa hatuivi sana alikuwa ana nata sana alafu mtu wa mood sana na mimi shida yangu nilikuwa straigt forward hivyo alikuwa anajitahidi sana kuni out smart lakini alikuwa anaangukia pua daily hii ilimpa hasira sana.

Kuna system mpya ilifungwa na tukafanyiwa online training watu wengi walitoka patupu nashukuru MUNGU nilimaster haraka nikaanza kuwatrain washkaji kupitia simu, kimbembe kikaja huyu manzi amekwama kunichek anaona noma zikapita siku mbili hajasubmit application hata moja Boss alipomuuliza akasema system knowledge inamsumbua akaambiwa mtafute Ibanda1 sasa hivi, Mamzi akanivutia waya kwa heshima nikampiga pindi akaelewa sana nikashangaa ametuma email ya appreciation nikamshukuru kutoka hapo akawa na adabu sana. Nilikuja kupewa story kwamba mamzi hyo jeuri anapewa na MD coz anammega.

Baada ya miezi miwili tulipewa mwaliko wa kwenda Dar makao makuu ya kampuni kwa ajili ya mafunzo wiki moja, tukatumiwa ticket za ndege kila mtu alikuwa na shauku ya kumfahamu mwenzake coz tulikuwa tunawasiliana kwa simu tu, Basi ile najiandaa kwa ajili ya safari nikakuta whatsp text ya manzi "See you there" nikamjibu "poa" yeye anatoka Arusha mimi natokea Mbeya....Mida kama ya saa nane nikawa nimetua Dar nikiwa natafuta usafiri wa kwenda kawe coz nilishachukua chumba Myfair nikaona text yake "I'm in Dar" mkulungwa nikauchuna sikutaka sana shobo coz nilijua huyu demu ni chakula ya Mkubwa. Baada ya kufika hotelini mida ya saa kumi nikamtext kumuuliza amefikia wapi akasema amefikia kwa rafiki yake Kinondoni nikamwambia mm nipo Mikocheni myfair story zilikata.
Wana wakapanga tuonane Morocco ili tufahamiane nikachukua bajaji hadi maeneo ile nashuka tu nilimuona manzi anashuka kwenye tax ni pisi kali kinyama white,wet lips, urefu wastani ila shida alifunga hips na ngongingo hatari basi mhuni nikajivunga nikampita ile nimepiga hatua tatu mbele nikasikia yule mamz ananiita aiseee nilihisi ganzi mwili mzma but nikajikaza kimasikini jeuri akaniambia washikaji wamekaa pale, baada ya kugundua kuwa sijamtambua akajitambulisha ndo nikapata jibu kwann MD amehonga branch hii pisi...alinishangaa akisema alidhani mimi ni Mmbaba kumbe katoto ila alisifu confidence yangu, alivyosema katoto nikajua huyu kashanipangusa kwenye list yake hata hivyo sikujali coz hakuwa mpango wangu. Baada ya kujumuika pale na kufurahi hadi mida ya saa tano dem akanitext "unaondoka saa ngapi?" nikamwambia sasa hv coz mm nilikuwa sigongi mvinyo hvyo juice zilinijaza tumbo, nikamchokoza kwa kumwambia tuondoke akasema poa ila sharti atangulie yeye mmmmmh nikahisi hapa mbona kama najaribiwa, akampigia taxi kisha akaaga baada ya dkk tano akanishtua kuwa ananisubiri barabarani mzee nikaaga chapu mwendo wa dakika tano nikafika, nikamwambia driver uelekeo mikocheni manzi yuko kimya tu, nikaanza story za kumchota but alikuwa busy na simu yake kumbe anampanga MD na tukawa tumefika myfair nikamtia mpunga wake taxi tukashuka hapo siamini nn kinaenda kutokea aisee kila dakika yule manzi nilikuwa nazid kumuona pini sana...tukazama hadi ndichi nikawasha kideo demu alivyonitazana akaniambia we chalii you got a beutiful eyes sikushangaa sana coz totoz nyingi zinanisifiaga, namimi nikamsifia sana akacheka tu bt muda wote alikuwa akiyaangalia macho yangu akasema alikuwa anaona aibu kuniangalia vzr kwenye party wana wangemshtukia so amekuja kuyaangalia vzr pia alinisifu kuwa niko smart sana kwenye kuongea hadi muonekano...baada ya hayo maudambwi akaniambia anataka kuoga nikampatia tualo langu aisee alichojoa nilihisi bao linataka kutoka kimasihara ila nilijikaza baada ya kurudi baafuni akajaa kwa bedi yuko na bikini tu sikulaza damu ile kumgusa tu ameshaloa kitambo....wakulungwa sijawahi kusimamia show kama ile ngoma ilikuwa 4G muda wote, Baada ya round nne akaniuliza kama nimeoa nikamwambia ndio na nina mtoto mmoja aisee alilia kinoma akasema Ibanda lazima unizalishe...tulikaa pale muda wote wa training ila kwa kuficha sana wana wasijue na alikuwa anaheshim nikiongea na wife ananyamaza kimya hata akipigiwa simu hapokei. Tuliendelea na huo mchezo hadi sasa ana katoto kangu ka kike ila MD ananisaidia kulea nadhani hiyo ndo overtime yangu inalipwa huko.




Sent using Jamii Forums mobile app
Kama MD ana akili na yupo humu atakuwa ameshakufahamu. Ulipotaja branch ya Mbeya na Arusha ndio ulipounguza picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom