Pamoja mikito tunasubiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga bob. Uzi umeanza kutulia baada ya kamba zako kuisha sasa unakuja kuuharibu tena..
Jitambue mze3
Daa jamaa umelalamika utafikiri katia maguu kwenye sahani la ugali

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
Yaan jamaa kazingua.mnara ulitaka kusoma ila kila ukisachi konekisheni holaaa,zinakuja af zinakata.afanya mchakato sasa
Mkuu naomba urudie upya hatua kwa hatua yaan mchakato wote mpk huyo mama unamchakata ilikuwaje!!

Typed Using KIDOLE

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
Wengine wana buckup za jamaa zao au vinginevyo,kwan lazima mfanane??
IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
kweli bhana,labda atoe mrejesho kama kwwli mnara/kiharage kimesoma
Uzi unazungumzia kula tunda kimasihara na hicho ndo cha kuconcetrate nacho, mengine hayana maana mkuu.

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
Mkuu inamaana huyo partner katokomea na mwanako na hujui walipo? Humhudumii huyo mtoto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu simu yako ina tatizo au sio yako?
 
Bora mwezi uendelee aisee usirudi 😂
 
hizi mbinu ni za kijasusi aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…