Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,910
Huu usimuliaji naipa mia ya mia MammaaeOkay, visa vingi vipo poa wazee wa kazi hata zile chai zimekolea sugar, iriki, miksa tangawizi na zingine chai za maziwa kabisa![emoji23][emoji1787]
Hii ni uthibitisho kua nyuchi zipo kwa ajili ya kufumuliwa na ktk suala hili mabaharia tupo kwenye right track [emoji1420][emoji1417]
Basi acha nami nishee udambwi kidogo.
[emoji1428]hii kimasikhara ilikua chanzo cha bifu na mwana niliyeishi nae ghetto eti kisa demu! Ila no sweat life goes on[emoji41]
Tuendelee..
Hii ilikua nyakati nasoma taasisi flani ya usimamizi wa fedha maarufu kwa warembo na mabitozi pale mjini posta mkabala na karimjee, 2013 (Dsm).
Katika kutafuta uhuru mbali na home, mjuba nikabonga na jambazi mwenza, mwana fulani hivi back bencher mwenzangu wa class. Tukajiongeza tukachukua ghetto kigamboni.
Sasa oneday mida ya jioni tunarejea maghetoni ndani ya pantoni, tulijikuta tumekaa opposite na viumbe vitatu vilivyojiremba vikarembeka.
Kiufupi wadada walipendeza utadhani wanakwenda mjini, kumbe ndio wanarudi uswazi ( hii baada ya kujua kua ni madenti wa palepale chuo na wanaishi hostel kigamboni).
Kati yao kuna mmoja aliakisi zaidi ufundi wa Allah, alikua dizaini ya wale watoto wazuri wa insta...enhee hao hao kina sanchoka!
Tall kiasi,uso soft wenye macho flani nyegezi, weupe wa kubusti kimtindo, nyonyo zimejaza kifua baraabara! dental fomyula safii yenye kimwanya flan hivi, bastola sasa mweeh! mipaja nhinhaa! Imezagaa pale kwenye benchi la panton[emoji16] guu guu yani bonge moja la pisi mzazi; na kile kisket alichovaa, nikatamani kungekua na foleni baharini tuchelewe.
Basi kabla picha halijafika ze end,yule mwanangu si akajiongeza! Akamsemesha pale ngazini wakati wa kushuka wakapena tarakimu, mi nipo kwa nyuma nahesabu tu ile mitetemo singida-dodoma-akinipa-atakoma [emoji48] then waleee tukaamsha ghetto.
Ikapita km miezi kadhaa, alhamisi moja ilikua ladies free tukajichanganya club kakara kulekule kigamboni (wadau mshaijua). Kabla ya kwenda kakara, gari liliwakia kwenye gambe za buku buku jeshini kule pembeni ya mikadi(wadau mshanisoma).
Basi finally mida mibovu wazee tukazama ndichi tungi letu!! Thug life beeybeee!![emoji2957]
Mzee fastaa nikajivuta kaunta ya juu nikakuta visista du vya mwl Nyerere university vinabusubusu bavaria. Mwana wa kaunta hakuremba..Boom!! serengeti kubwa nyeusi bardiii 3 hizi hapa! Nikazifungua na meno nikaanzisha moja tarumbeta style ya mlevi mkongwe[emoji146] nikajivuta docho navichora tu vile videmu nimbambie yupi.
Wakati huo yule mwanangu yupo zake kati dancefloor anavunja za maiko jackson hana habari[emoji23].
Huku na huku kufungua macho vizuri si nikaona kitu km nakijua hiviii, ahh shubamiit kumbe ile pisi ya kwenye panton mzazi! Imevalia kigauni sleeveless kifupi hataree damu yangu! Yupo na wenzake wamesimama wanaangalia floor chini daah!! Mixa na ile midiscolight mtoto aling'aaa km mchana saa sita!
Kumcheki vizuri mkononi ana redds ya chupa, Mjuba nikanunua 3! nikajikaza kilevi nikamfata nikamsemesha huku nampa moja ya zile chupa, mtoto hakujivunga wala nini. Nikazuga pale sekunde kadhaa nikamnong'oneza tukacheze. Bila hiyana akajitenga na wenzie, mjuba fastaa nikadaka uno mkono mwingine kwenye ule mtraako[emoji16].
Nikambambia sana yani kila mziki tumo! Redds zikiisha nampiga zingine, serengeti zikiisha najipiga zingine kudaadek! (hadi hapo sina habari yule mwanangu anafanya nini na nani).
Mida flani tukaenda kwenye makochi kulekule juu, nikamla denda la uchu wa kilevi hadi akapanua mipaja nikafanikiwa kuigusa k, ilikua yamotooo! Nikawa namnawa sana yani!
Ghafla From nowhere akasema anataka kuondoka amechoka so tutaonana siku nyingine!
Akainuka kuelekea kwa wenzie.. nikamvuta vuuup! Akadondokea juu ya mgegejo uliovimba, yani kwa hasira za ghafla nikamtawanya ile mitako hadi kibikini kikakatika.
Nikamwambia km unataka kusepa nakupeleka, akachomoa! nikamgeuza sura kwangu nikamnyonya ulimi sekunde kadhaa. Ile nampa nafasi ya kuhema akafunguka," basi twende ila na best wangu mmoja". Nikamwinua, nikachukua redds yake nusu chupa nikaipiga tarumbeta. nikamwambia haya twende wasahau wenzio![emoji48]
Kumbe njia ya kwenda hostel kwao inapita mtaa wa ghetto mzee! nikajisemea kaisha huyu. Nikamshtua bodaboda simama hapo nikachukue nare (kibiriti) niwashe embasado kwanza. Nikadrop pale,mara manzi anasema ohh mi sibaki na huyu saivi usiku twende wote..nikajisemea tena kwisha habari yake![emoji16]
Tumefika, kasimama mlangoni, baharia nikazama ndichi nikajifanya kutafuta lighter pale. Nikamwambia njoo kaa hapo kwenye kikochi niendelee kutafuta,ile kukaa tu si akajilaza mzee!Sekunde sifuri tu kazima. Mzee nikavua jinzi nikabaki na boksa, nikachana kondom nikavaa fasta then nikamfata bodaboda. Nikamchana ebwana safari imeishia hapa chukua chako kula u-turn.
Nikarudi ghetto kwa kasi ya roketi, usiku ule shahidi mbingu tu. Kufika namkuta mtoto mlangoni anataka kusepa, sikuuliza mzazi! Ile anataka kusema..aaa..tu! Nikamdaka mdomo na denda la kifaransa hadi akanizungushia mikono shingoni. Kwa mwani niliokua nao nikamgeuza pale mlangoni, funga mlango, nikamshikisha sakafu, nikavutia kigauni mgongoni, nikamalizia kukata kile kibikini msambwanda ukamwagika mwaah![emoji14]
Nikampiga paipu za kibabe km za justin slayer (wadau washamjua) km dk 20 hivii. Mtoto analalama tu ohh imetosha nimechoka twende kitandani.
Sikupoteza muda ile golden chance, nikahamishia godoro chini nikatoa foronya na shuka fasta, akaniambia lala chali niuchutamie mgegejo...aroo!hatari poti!!
Si akanipa mgongo, nyie mnaita sijui rivasi kaugeli sijui.. enhee hiyo hiyo! Kazi yangu ikawa kuyazaba vibao makalio yake[emoji48] huku napapasa kicheni kiunoni. Cha ajabu kila nikimchomeka dole gumba mtaroni anazidisha mauno eti bebi unantekenya usitoe! Mara ohhh nakojoaa tenaa!! Mara kesho nikumbushe nikukate kucha! Yani tafrani..ila dahh! Rahaa sana mazee asikwambie mtu!!
Kiufupi nilimnyandua style zote zilizonijia kichwani, mtoto mtamu yule acha tu! Halafu akishika maiki anafreestyle hadi beat inakata laahaula!
Ghafla katikati ya game mlango ukagongwa (alfajiri hiyo) kucheki dirishani; yule mwanangu ndio anarudi. Nikataka kumpiga exile( wadau wanaelewa) akagoma, akataka kula mtungo nikagoma. Basi ikabidi akaushe kwenye kikochi sebleni pale.[emoji49]
Nikashusha pazia mtabe nikaendelea kumnyandua yule manzi, halafu alikua ana miguno flani kinanda haiandikiki hapa wazee!
Mshkaji alivumilia hadi kumekucha[emoji846], sasa demu akataka kuoga asepe kabla wanga hawajaswaki.
Ile tunatoka sebleni si ndio wakaonana buu baa! mwana kakodoa [emoji102] demu naye anajibaraguza. Kumbe walikuaga wanachat tangu siku ile walipopeana tarakimu, na mwana alikua keshamtongoza[emoji849]
Mkulungwa sikusubiri mahojiano,kuepusha jau nikamvutia nje kishujaa, akaoga fasta, baada ya kuvaa nikampeleka hostel kwao (ilikua around saa12 kasoro asubuhi).
Kufika pale wenzake wamezima, amsha sanaa..holaa!! Pisi ikataka kwenda toilet, mjuba nikaunga nae. Nikaaplai intelijensia za kibaazazi akajikuta kainamia kindoo cha toi nikamkula tena! round hii nilitembelea rimu (wajuba wanaelewa).
Kiufupi nilivyorudi ghetto mpwa alinimaindi sana ila hakua na cha kufanya,nilimwambia mi sikujua km unawasiliana nae yule demu. Jamaa hakua na amani pale ghetto, baada ya wiki mbili akahamia hostel za chuo. Mjuba nikabaki man aa… nikiendelea kuunyandua ule mtrraako pasi na wasi!
Siku zingine alikua anashinda na kulala maghetoni kiroho safi [emoji41] japo uchumi haukua rafiki sana kwangu,na hadi tunahitimu chuo tulikua friends with benefit. Lakini baada ya kurudi kitaa Mawasiliano yakakata, naskiaskia tu ameolewa huko...but who cares!!?[emoji57]
Ni hayo tu kwa sasa. Jilinde utulinde kuna STDs + COVID19 [emoji40]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app