pirate
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 718
- 703
Miaka fulani huko nyuma, jamaa wa kanisani alikuwa anaoa, harusi ukafanyika mitaa ya Sinza.
Nikajikokota ndani ya daladala mpaka eneo la tukio.
Kufika nikadakwa na mchumba wa jamaa ambaye tulikuwa tunasali naye na kuishi eneo moja kwenye viunga vya hapa Dar. Tukaaa meza moja na akaniomba usiku tuondoke wote ili tuchangie taxi.
Kabla harusi haijaisha nikaona anatoka nje, na akachukua muda mrefu kidogo nikapata wasiwasi huenda ndio ameshasepa nami nikatoka nje nikamcheki kwenye simu, inaita lakini hapokei.
Napita eneo la parking nikiangaza angaza, nakuta analiwa denda na jamaa wakiwa wamesimama, nikapita kama hatua kumi hivi akaniita.
Nikajifanya kama sijaona kilichotokea na sikuwa na sababu ya kuuliza kwa kuwa ni mchumba wa mtu.
Tukarudi ndani kumalizia sherehe ila kila mmoja akiwa kimya.
Baadae akaniambia tuondoke muda umeshaenda tayari.
Tulikodi taxi na wote tulikaa viti vya nyuma, kila mmoja akiwa mbali kabisa na mwenzake.
Tukiwa ndani ya tax binti akasema amechoka hivyo akajilaza kwenye mapaja yangu. Aliinza kulala chali, baadae akalala kifudifudi huku mkono wake ukiminya mapaja yangu. Ghafla akajiinua kidogo akawa anaitafuta zipu ilipo. Akashusha zipu taratibu akaingiza mkono, akaanza kuipapasa na mwisho akaitoa na akaanza kunyonya. Mimi nikabaki napapasa mgongo tu huku nikisikilizilia unyonyaji wa huyu mchumba wa mtu. Uvumilivu ukanishinda, nikamwaga, binti alimeza na kulamba"wazungu" wote. Alirudisha mbo***ndani ya zipu lakini akabaki amelala mapajani kwangu.
Tulifika anapoishi huyu binti, tukamlipa dereva wa tax. Binti alipiga simu akaja kufunguliwa mlango na mimi nikajisogeza kwenye nyumba niliyokuwa nikiishi ambayo ni mbele kidogo.
Saa kumi na mbili asubuhi binti anagonga mlangoni. Nikamkaribisha kisha akaniambia ameshindwa kulala kwa kuwa anahisi nitamwambia jamaa jambo nililoona, nikamhakikishia kuwa sitamwambia. Binti akakaa kitandani huku ameinama,nikawa nambembeleza kwa kumpapasa mgongoni mara nikaona anajigeuza na kujiweka sawa. Kupandisha gauni aliyovaa hana hata chupi ndani.
Nikala mzigo kavu kavu. Saa mbili asubuhi akarudi kwao.
Mara ya mwisho alinipa tunda siku moja kabla ya send off.
Tuliendelea kuonana ila nikimcheki jamaa alivyo mshikaji naona heri kupotezea tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaahh we jamaa una roho ngumu [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my iPhone using JamiiForums